MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,433
Sawa mzee ila maji na umeme tunakosa wote ikibidi na majenereta yao utanunua! Alafu sikia hii, 5 yrs ago hiki hakikutokea! Endeleeni kusikiliza hii chain ya upigaji. Tulifikiri ni kilio cha machinga, sasa wote tunalia na bado mbona .....Mataga lazima usikitike