Tatizo la umeme: Awamu ya tano haiwezi kukwepa lawama labda tu kama madai hayana ukweli

Mataga lazima usikitike
Sawa mzee ila maji na umeme tunakosa wote ikibidi na majenereta yao utanunua! Alafu sikia hii, 5 yrs ago hiki hakikutokea! Endeleeni kusikiliza hii chain ya upigaji. Tulifikiri ni kilio cha machinga, sasa wote tunalia na bado mbona .....
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Kupanga ni kuchagua SG ingekamilika tungekuwa mbali mbo
 
Ukweli ni kitu adimu sana kwenye ulimwengu wa siasa.
Magufuli alikuwa na upendo wa kipekee sana na Tanzania na kizuri zaidi Magufuli alikua na uwezo mkubwa wa kuelewa na kutafakari mambo. Lazima tukubaliane na uhalisia wa sasa kwamba tumempoteza kiongozi(head) hivyo kila mwenye dili lake anatumia ujuzi wa lugha na ushawishi wa namna yake kutwist ukweli ili agenda yake ipite.
Magufuli aliweka wazi ni hatari sana nchi kupoteza control kwenye eneo nishati hivyo kupunguza utegemezi ndio maana alifufua agenda ya strigler. Na aliamua kwenda kwenye maji kwa kutambua eneo ya natural gas limeshakamwata na wabia (kampuni za nje) hivyo tutakuwa tumepoza eneo hilo.
Lazima uelewe taifa lina idadi kubwa ya viongozi wabinafsi na wala rushwa hivyo ni nadra kwao kufikiri miaka 50 baada ya leo na kukubali kupokea 10% ambazo zinazaa manufaa binafsi na mzigo mkubwa kwa nchi.
Fuatilia huo uzi uone watu walivyokuwa wanalalamika kuhusu umeme, tena February!!

Nyuzi nyingine....

1. Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya December 05, 2020
2. Mgao mkali wa umeme Morogoro mjini - December 21, 2020
3. Wilaya ya Ubungo kuna mgao wa umeme? Mpaka sasa hakuna umeme March 01, 2021
4. TANESCO tutangazieni kama kuna mgao wa umeme nchini March 04, 2021

Hayo ni malalamiko yaliyotokea sehemu mbalimbali za nchi ndani ya miezi 3 TU!!!
 
Fuatilia huo uzi uone watu walivyokuwa wanalalamika kuhusu umeme, tena February!!

Nyuzi nyingine....

1. Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya December 05, 2020
2. Mgao mkali wa umeme Morogoro mjini - December 21, 2020
3. Wilaya ya Ubungo kuna mgao wa umeme? Mpaka sasa hakuna umeme March 01, 2021
4. TANESCO tutangazieni kama kuna mgao wa umeme nchini March 04, 2021

Hayo ni malalamiko yaliyotokea sehemu mbalimbali za nchi ndani ya miezi 3 TU!!!
Kuna watu wanapita hivi hivi bila kutazama uzi wako, hii yote kwa kuwa wanamchukia Rais wa sasa. Ukitaka kuwatawala watanzania wape maneno matamu hata kama uongo.
 
Mnataka kutuambia wakati wa Magufuli umeme ulikuwa haukatiki?

Nani angethubutu kutangaza mgao?
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe. Hata Adolf Hitler Wajerumani wanamheshimu kwa kuchangia sana ukuwaji wa teknolojia ya viwanda vikubwa.
Hakuna dhambi kukiri yale mazuri yaliyofanywa na Magufuli. Lakini huyu mama atawaacha wengi sana kwenye great disappointment.
 
Hakuna mtu analazimisha Samia atawale kama Magu!

Watu wanalalamika kuona kuna uhaba wa maji na umeme alafu lawama anatupiwa Magu ambae kipindi chake hatukuona magao kabia
Hao wanaomtupia lawama Magu ni wajinga pia, Magu ameshakufa, ni kuachana naye, tulio hai tusonge mbele, harudi tena! Na nyie mnaopambana kumtetea Marehemu as if yupo hai mnakosea pia, Mnapotaka kumgeuza Magu kuwa SI UNIT ya kutawala nchi hii mnakosea zaidi, hakuwa perfect!! Kinachoshangaza ni nyie wapambe kushupalia haya mambo, Sijawahi kumsikia Samia hata siku moja akimuongelea vibaya Magu, zaidi ya kummwagia sifa!! Siku Samia akiongea chochote kibaya kuhusu aliyekuwa bosi wake hapo mnaweza kuja juu na kutoa mapovu
 
Kama wewe ni msomi sababu za uhaba wa maji huko china kulingana na hii habari ni tofauti kabisa na hizi zetu hapa
Tofauti, lakini yanatokea kipindi kimoja.....Why hayo matatizo yote yatokee kipindi kimoja? Kwa nini miaka yote hayajatokea kwa pamoja namna hii? Lazima kuna common cause inayounganisha hayo matatizo dunia nzima
 
Kama unakumbuka serikali ilishasema mara nyingi kuwa umeme uliopo ni zaidi ya matumizi ya tanzania yote na wakasema kuna ziada ya mgw 270 au zaidi
Sasa je nini kimepunguza hizo ziada mpaka kuwepo na upungufu?
Ni.bwawa gani lina zaidi ya mgw 260 hapa tz na limesimama kufanya kazi?

Kauli ya waziri mara ya kwanza ni kuwa wanafanya ukarabati et watu waliogopa kukata umeme.
Mara ya pili wanasema ni kupungua kwa maji
Sasa jiulize hizo kauli kinzani zina maana gani kama sio kutaka kutupiga ili wanunue mafuta mazito kwa bei kubwa ili wagawane chao?

Wazili hajui nini tatizo la umeme na kesho atasema gesi imepungua.
Lengo amchafue magufuli kisha atupige wadanganyika huku tukilaumu kitu kisichokuwapo.

Kwa hiyo hata kutoa taarifa kuwa wanakata umeme nalo ni kosa la magufuli?
Makamba na zito sasa wanataka kuitafuna tanesco,
?walianz kutaka kuibinafsisha tena wamekuja na mambo mengine.

You said it all
 
Magufuli aliingia madarakani 2015, hiyo "migao yako" ni baada ya miaka mitano mbele, nasema migao yako kwasababu naona hao waandishi walikuwa wanauliza kama mgao upo, kama umeme ulikatika kwa ajili ya matengenezo wangejuaje?

Hawa marafiki zako wameingia ikulu juzi tu, leo wana miezi 8 wameshatuletea habari za mgao, combination ya Zitto na Makamba nani mwenye akili timamu ataiamini? hawa wanatuletea tabia zilezile za awamu ya JK kutupeleka kwenye richmond nyingine, ni walaghai wanajulikana
Kumbe hujui lolote...

To prove me wrong, nijibu maswali yafuatayo:-

1. Je, hivi sasa ni kweli kuna ukame au hakuna?
2. Baada ya kuvutwa gesi kutoka Mtwara, serikali ilipanga Kinyerezi I, II, III, na IV ili kupunguza tatizo la umeme! Je, hadi sasa zimejengwa ngapi?
3. Katika umeme uliongizwa kwenye gridi ya taifa, umeme wa maji ni % ngapi na umeme wa gesi ni % ngapi?

Tuanze hapo kwanza ili nifahamu najadiliana na mtu anayejua anachokiongea au ni mropokaji tu ambae huko vichochoroni akisikia hiki, nae anakimeza kama kilivyo bila kutafuta taarifa za ndani!!
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Inamaana miradi ya umeme waliyokuwa wanaizindua ,nyuma na mbele ya mikamera yalikuwa ni maigizo? duu! mnanikumbusha 'ze comedy'
 
Kama unakumbuka serikali ilishasema mara nyingi kuwa umeme uliopo ni zaidi ya matumizi ya tanzania yote na wakasema kuna ziada ya mgw 270 au zaidi
Sasa je nini kimepunguza hizo ziada mpaka kuwepo na upungufu?
Ni.bwawa gani lina zaidi ya mgw 260 hapa tz na limesimama kufanya kazi?

Kauli ya waziri mara ya kwanza ni kuwa wanafanya ukarabati et watu waliogopa kukata umeme.
Mara ya pili wanasema ni kupungua kwa maji
Sasa jiulize hizo kauli kinzani zina maana gani kama sio kutaka kutupiga ili wanunue mafuta mazito kwa bei kubwa ili wagawane chao?

Wazili hajui nini tatizo la umeme na kesho atasema gesi imepungua.
Lengo amchafue magufuli kisha atupige wadanganyika huku tukilaumu kitu kisichokuwapo.

Kwa hiyo hata kutoa taarifa kuwa wanakata umeme nalo ni kosa la magufuli?
Makamba na zito sasa wanataka kuitafuna tanesco,
?walianz kutaka kuibinafsisha tena wamekuja na mambo mengine.
Na wewe ukaamini kwamba Tanzania kuna umeme zaidi ya ule unaohitajika?!

Hivi katika pitapita yako, unafahamu chanzo chochote kipya kilichoongezwa wakati wa JPM na kikawa kinazalisha umeme hivi sasa ulio kwenye grid ya taifa?

Lakini ndo yale yale... yaani serious issues zinapokuwa raised, oh wanalenga kumchafua Magufuli wakati kila mwenye uelewa anafahamu kwamba Magufuli alipiga chini miradi yote ambayo hivi sasa ingekuwa imeshakamilika, na akahamishia nguvu kwenye Bwawa la Nyerere mradi ambao tungetakiwa kuanza moja!!

Na alifanya hayo wakati taifa limeshaingia gharama ya kujenga bomba kutoka Mtwara, na ambacho kilibaki ni kujenga mitambo tu ya kuzalisha umeme pale Kinyerezi... Je, alijenga hiyo mitambo ukiacha Kinyerezi II ambayo alikuta mchakato umeshaanza?
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Nchi ilikuwa mali binafsi ya mtu
 
Na wewe ukaamini kwamba Tanzania kuna umeme zaidi ya ule unaohitajika?!

Hivi katika pitapita yako, unafahamu chanzo chochote kipya kilichoongezwa wakati wa JPM na kikawa kinazalisha umeme hivi sasa ulio kwenye grid ya taifa?

Lakini ndo yale yale... yaani serious issues zinapokuwa raised, oh wanalenga kumchafua Magufuli wakati kila mwenye uelewa anafahamu kwamba Magufuli alipiga chini miradi yote ambayo hivi sasa ingekuwa imeshakamilika, na akahamishia nguvu kwenye Bwawa la Nyerere mradi ambao tungetakiwa kuanza moja!!

Na alifanya hayo wakati taifa limeshaingia gharama ya kujenga bomba kutoka Mtwara, na ambacho kilibaki ni kujenga mitambo tu ya kuzalisha umeme pale Kinyerezi... Je, alijenga hiyo mitambo ukiacha Kinyerezi II ambayo alikuta mchakato umeshaanza?
Huyu alikuwa mpiga dili tupu
 
Na wewe ukaamini kwamba Tanzania kuna umeme zaidi ya ule unaohitajika?!

Hivi katika pitapita yako, unafahamu chanzo chochote kipya kilichoongezwa wakati wa JPM na kikawa kinazalisha umeme hivi sasa ulio kwenye grid ya taifa?

Lakini ndo yale yale... yaani serious issues zinapokuwa raised, oh wanalenga kumchafua Magufuli wakati kila mwenye uelewa anafahamu kwamba Magufuli alipiga chini miradi yote ambayo hivi sasa ingekuwa imeshakamilika, na akahamishia nguvu kwenye Bwawa la Nyerere mradi ambao tungetakiwa kuanza moja!!

Na alifanya hayo wakati taifa limeshaingia gharama ya kujenga bomba kutoka Mtwara, na ambacho kilibaki ni kujenga mitambo tu ya kuzalisha umeme pale Kinyerezi... Je, alijenga hiyo mitambo ukiacha Kinyerezi II ambayo alikuta mchakato umeshaanza?
Kwa hiyo wewe unamwamini.nani akisema kuna kitu flani basi unamwamini lakini kwa tanzania huamini?
 
Usiwe zwazwa kama huyo Zito wako!

Habari za watu kuokotwa kwenye viroba ulitangaziwa ila ya mgao wa umeme usitangaziwe?

Hivi umeme ukikatika watu hawawezi kujua?

Kwamba mgao ulikuwepo lakini hauonekani? Hivi mgao ni jambo la kuficha kweli? Kuna mambo Baba wa watu atasingiziwa sana kwa vile hayupo.
 
View attachment 2015658

Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.

TANESCO long term plan yao ya umeme inapatikana kwenye link hapo juu na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower (stigler gorge is also mentioned), gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.

Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa with very simple arguments, watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.

Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.

Bwawa la Nyerere gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.

Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.

More safe maana bomba la gas lina line moja tu hakuna back. Likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatokana na Gas kuongeza tena hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.

Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.

Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika vitu ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ni ujinga mtupu.
Kongole kwa uchambuzi
 
Na wewe ukaamini kwamba Tanzania kuna umeme zaidi ya ule unaohitajika?!

Hivi katika pitapita yako, unafahamu chanzo chochote kipya kilichoongezwa wakati wa JPM na kikawa kinazalisha umeme hivi sasa ulio kwenye grid ya taifa?

Lakini ndo yale yale... yaani serious issues zinapokuwa raised, oh wanalenga kumchafua Magufuli wakati kila mwenye uelewa anafahamu kwamba Magufuli alipiga chini miradi yote ambayo hivi sasa ingekuwa imeshakamilika, na akahamishia nguvu kwenye Bwawa la Nyerere mradi ambao tungetakiwa kuanza moja!!

Na alifanya hayo wakati taifa limeshaingia gharama ya kujenga bomba kutoka Mtwara, na ambacho kilibaki ni kujenga mitambo tu ya kuzalisha umeme pale Kinyerezi... Je, alijenga hiyo mitambo ukiacha Kinyerezi II ambayo alikuta mchakato umeshaanza?
Kuna mitambo ililetwa ya kuzalisha umeme wa gesi kama huelewi nenda kaulize tanesco na ndio maana walizima mitambo ya mafuta baada ya kukamilisha ujenzi wa hiyo mitambo na kupanua kinyelezi one na two ili kuongeza mgwt,
Kaulize huko tanesco kama hujui.
 
Back
Top Bottom