Tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana waliohitimu vyuo vikuu limefika kileleni. Serikali ichukue hatuna kuepusha matatizo ya kisiasa na kijamii

hivi hizi akili za kuandika haya bila kufikiria huwa mnazitoa wapi?
Basi wakae wasubiri za mshahara mkubwa
Sikatai wapo wanaobahatika kupata straight ila wengi u need to start from somewhere

mtaji huna na nguvu huna pia sio?.
 
Endelea kusubiri serikali
The hard truth is they dont give a damn wako bize wanajenga na kulipana posho
 
Basi wakae wasubiri za mshahara mkubwa
Sikatai wapo wanaobahatika kupata straight ila wengi u need to start from somewhere

mtaji huna na nguvu huna pia sio?.
umesoma vizuri ulichoandika, na nani kakuambia mimi ni mmoja wa hao unaowazungumzia?
 
umesoma vizuri ulichoandika, na nani kakuambia mimi ni mmoja wa hao unaowazungumzia?
Sijakutaja
Nazungumzia wahusika wasio na ajira/biashara

unawashaurije?.
Mitaji serikali wala benki haiwapi
Haya wape practical solution tukusikie...yawezekana Mawazo yangu sio sahihi
 
Dunia ya leo vyanzo vya ajira ni vingi sana kama vikiruhusiwa vijana wajipambanue kusaka fursa za kidunia ambazo ni pana zaidi kuliko tu fursa twa restricted area (yani Tanzania pekee) hapo ndo unakutana na msaada wa kiteknolojia sasa ambao vijana uzuri wake wana uelewa nao mzuri sana mfano instgram kuigeuza kuwa vipato, blogs, youtube, affiliate marketing, forex or commodities trading, etc hizi dunia za wenzetu zina watu wamewekeza na wanapiga hela maisha yanaenda ......njoo kwetu sasa kijana hata ki channel cha youtube na blog anaombwa akatie leseni kwa laki kadhaa nadhani utajua kiwango chetu cha kufikiri kilivyo haba.View attachment 1311176
Note: Vijana wa kitanzania watadumu kuwa maskini tu kwa aina ya sera na miongozo inayo fanywa na walioshiba salary slip.
Dah!hii ya you tube kulipia hela inauma sana bora alogundua you tube angefanya hivyo lakin sio hawa tcra.

tatizo lugha
 
Back
Top Bottom