vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,310
- 10,345
ok embu tueleze SGR yakutoka bongo kwenda Morogoro inasolve hili tatizo kwa asilimia ngapi? Nauli za ndege zimepanda two times, na moshi imepelekwa treni badala yakusafiri nusu siku unasafiri siku nzima, gari zimefungwa fleet management system safari iliokua ya siku moja tunatumia two days! Kama hizi ndio njia zakuongeza ajira kwa kuimprove mobility Kwakweli yajayo yanafurahishaBila kutengeneza miundombinu wezeshi hizo ajira zitatoka wapi? Tanzania ilikuwa imekaa kama kisiwa! Kusafiri kutoka mji mmoja hadi mwingine unatumia 12 up to 24 hours njiani na ukifika lazima ulale hiyo shughuri utaifanya kesho yake! Kujenga SGR, ununuzi wa ndege, madaraja mafupi na marefu, Barabara za mwendo kasi, umeme wa uhakika bonde la nyerere, mtandao mzuri wa barabara za lami, miundombinu ya uduma za afya, n.k. Haya yoote anayoyafanya JPM yangetakiwa yafanywe na watangulizi wake! Shame on his predecessors! Miundombinu na mazingira wezeshi ya kiuchumi yakiwa sawa ajira na kujiajiri inawezekana. SGR itamwezesha mtanzania kusafirisha ndizi za bukoba kutoka mwanza mpaka Dar ndani ya masaa 12. Vijana wetu wakiwa Dar au Mwanza wakipata mchongo wa hela ndani ya masaa 8 tayari mtu kaishasafiri toka Dar to Mwanza. Jamani msimtwishe JPM mizigo iliyotakiwa kubebwa na awamu zilizopita!