kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,781
- 12,207
Tz ilishajijenga na kujengwa na nyerere kinachotakiwa sasa ni busara tu kuongoza sio kukurupuka na ubishi usio wa maanaWatanzania tuache siasa za maji taka,kwani uyo Magufuli anayepingwa amekaa madarakani miaka mingapi?ngoja afanye anachotaka kama Rais tutamjaji baada ata ya miaka mitatu hivi.Ata Roma haikujengwa kwa siku moja.