Anatetea haki gani ya wanyonge?
Km mnyonge leo hii umezuia ajira zake, umeondoa mkopo, umeondoa fao la kujitoa, hospital hazina dawa, watu hawajalipwa mishahara miezi 7, umeondoa posho na hajapandisha watu madaraja.
Haki gani hiyo anayoipaigania? Angekuwa anapigania hiv vyote vingeenda sambamba .
He is a sadist na ana uwezo mdogo wa kufikiria na kufanya kazi.
Hiv kwa mfano. Ww ni dokta halafu unawaambia wagonjwa warudi nyumbani na huwezi kutibu kwa miezi 3 sbb unafanya ukarabati wa majengo ya hospitali na kununua vifaa. Je, wagonjwa watakuelewa? Ma je, utakuwa mtetezi wa wagonjwa?
Je, kwann usikarabati majengo na kununua vifaa huku unatibu wagonjwa?
HAPO NDIYO HUJUE KUWA UNA UWEZO MDOGO WA KUFIKIRIA NA KUFANYA KAZI