Tatizo la Rais Magufuli ni hili

Tatizo la Rais Magufuli ni hili

Ni akili ndogo kufikiri serikali inafanya kazi kwa mawazo yako. Suala la ajira serikali inajua inachokifanya ni sahihi na kina tija katika kuimarisha mfumo wa utumishi wa umma.
Eti inajua inachokifanya?


"TATIZO LENU MNA UWEZO MDOGO WA KUFIKIRI NA KUFANYA KAZI"

Hapa mjue timu yenu nzima mna akili ndogo kwann msiwatangazie hawa watu ajira zitatoka lini km mlivyotangaza mwanzo kuwa mesimamisha mwezi na 1 na nusu haitazidi miwili mpaka leo kimya. Watu wakueleje sasa km ww hautaki kusema?
Mshaurini ajitokeze aseme tu hadharani ni lini? Zipo au hazipo watu wajue.

Ni kama kwenye sherehe fulani hiv halafu ww ndiyo mwenyekiti wa chakula.

Umewapa watu maji wanawe mikono, na umewaambia baada ya dk 2 chakula tayari. Dakika zinapita kimya, watu wanauliza chakula vipi? umekaa kimya tu km siyo ww uliyesema.
Wanauliza tena chakula wapi? unawangalia tu km huwajui (hapo ndiyo ujue mwenyekiti ana akili ndogo) kwann mwenyekit asiseme tu chakula bado kinapikwa, ukifika muda fulani kitakuwa tayari.
Huu ni undezi kwann usiwaambie watu tu hata km ni masaa 6 chakula kitakuwa tayari kuliko kutowajulisha.

Upumbafu sana huu wa mwentekiti wa kamati ya chakula, bora angewaambia mapema ili watu wafanye kazi zingine kuliko kusubiria chakula ambacho mwenyekit haeleweki.
 
Tatizo kubwa la mtoa mada ni kubaki na akili za kukalili na kutoelewa kwamba kinachofanyika ni reforms katika administration of state. Reform zina maumivu ya muda ili tuende sawa. Tusikalili kila kitu kiwe kama wewe unavyotaka. Ukitambua hilo utaleta hoja mzuri sana
Kukalili ndo kufanyaje
 
Acha kuropoka wewe nchi haina dira inaenda kama gari bovu
Akili mbovu kama ya kwako ndio utasema hivyo kwa sababu huelewi. Inchi ina dira inaitwa National vision 2025 lakini kwa sababu hukusomea masuala ya policy hujui na hata kama unajua unasukumwa na aliyekupa buku ngapi kudanganya wajinga wasiojielewa
 
Mwacheni JPM afanye kazi yake. Nyie mnalalamika tu mmeifanyia nini Tanzania? Mwinyi mzee rukhsa mliona matunda yake, Che-nkapa aliuza kila kitu hasa kwa makaburu, JK likuwa kama Vasco da Gama, ambaye alifuja kodi za walipa kodi nchi ikawa inajiendea yenyewe kama mto wa maji. Sasa ni wakati wa kulia na kusaga meno.
 
Akili mbovu kama ya kwako ndio utasema hivyo kwa sababu huelewi. Inchi ina dira inaitwa National vision 2025 lakini kwa sababu hukusomea masuala ya policy hujui na hata kama unajua unasukumwa na aliyekupa buku ngapi kudanganya wajinga wasiojielewa
Acha kutetea ujinga ww,tatizo mkishashiba na kua na uhakika wa ulaji mnakuwa na vichwa vilivojaa maji hamkumbuki wanyonge waliopo mitaani.masikini akipata anaona wenzake aliowaacha ni hawana akili.
 
Eti inajua inachokifanya?


"TATIZO LENU MNA UWEZO MDOGO WA KUFIKIRI NA KUFANYA KAZI"

Hapa mjue timu yenu nzima mna akili ndogo kwann msiwatangazie hawa watu ajira zitatoka lini km mlivyotangaza mwanzo kuwa mesimamisha mwezi na 1 na nusu haitazidi miwili mpaka leo kimya. Watu wakueleje sasa km ww hautaki kusema?
Mshaurini ajitokeze aseme tu hadharani ni lini? Zipo au hazipo watu wajue.

Ni kama kwenye sherehe fulani hiv halafu ww ndiyo mwenyekiti wa chakula.

Umewapa watu maji wanawe mikono, na umewaambia baada ya dk 2 chakula tayari. Dakika zinapita kimya, watu wanauliza chakula vipi? umekaa kimya tu km siyo ww uliyesema.
Wanauliza tena chakula wapi? unawangalia tu km huwajui (hapo ndiyo ujue mwenyekiti ana akili ndogo) kwann mwenyekit asiseme tu chakula bado kinapikwa, ukifika muda fulani kitakuwa tayari.
Huu ni undezi kwann usiwaambie watu tu hata km ni masaa 6 chakula kitakuwa tayari kuliko kutowajulisha.

Upumbafu sana huu wa mwentekiti wa kamati ya chakula, bora angewaambia mapema ili watu wafanye kazi zingine kuliko kusubiria chakula ambacho mwenyekit haeleweki.
Kaka wewe hujui kwa nini serikali itangaze lini itatoa ajira na wakati kuna kazi inafanyika na wataalam hawajamaliza. Ni mtu wa ajabu ukazani serikali itangaze unachowaza wewe. Ni ujinga huo kaka. Subiri watu wafanye kazi zao wakimaliza watakuambia. Mambo mazuri hayahitaji haraka na ukurupukaji.
 
Tatizo humu JF kuna wafia chama.

-Watu wanauliza wapi ajira? Badala utoe jibu sahii unaleta SIASA ZA MAJI TAKA

-Wapi fao la kujitoa- jibu la SIASA ZA MAJI TAKA

-Wapi milion 50 za kila kijiji-Majibu ya SIASA ZA MAJI TAKA

-Wapi madawa- Majibu ya SIASA ZA MAJI TAKA

UNATOKWA NA MAPOVU KM SABUNI YA UNGA.

ACHENI KULETA SIASA ZA MAJI TAKA KWENYE MAISHA YA WATU. WATU TUNATAKA MAENDELEO WW UNALETA SIASA ZA MAJI TAKA.
PU..MBA. FU SANA
 
Mwacheni JPM afanye kazi yake. Nyie mnalalamika tu mmeifanyia nini Tanzania? Mwinyi mzee rukhsa mliona matunda yake, Che-nkapa aliuza kila kitu hasa kwa makaburu, JK likuwa kama Vasco da Gama, ambaye alifuja kodi za walipa kodi nchi ikawa inajiendea yenyewe kama mto wa maji. Sasa ni wakati wa kulia na kusaga meno.
Kwa sasa Rais Magufuli anawabatiza kwa moto ndio maana kelele za mafisadi zimekuwa nyingi.
 
kwakweli kazi ipo tuwe flexible sasa watanzania.
 
Sio kwamba ni mtu mbaya au ana nia mbaya ila tatizo lake sina uhakika anajua anachokifanya. Tatizo lake kubwa ni kuharibu mema aliyoyakuta kuwa mapya, haimaniishi waliopita waliyotenda yote ni mabaya ila kuna mazuri.

Tatizo lake ni pale anapoharibu yale mazuri aliyoyakuta kama vile
Mikopo ya elimu
Madawa hospitalini
Demokrasia
Uhuru wa habari
Ajira kila mwaka
Kupanda madaraja na mishahara

Angeweza kuwa bora na kuonekana bora sana kama angefanya anayoyafanya bila kuathiri aliyoyakuta. Sasa unapotafuta watumishi hewa huku hutaki kuajiri na kupandisha watu madaraja hatuwezi kuona umuhimu wa kutoa watumishi hewa.

Sasa unaponunua ndege ilihali watu wanakosa madawa hatuwezi kuona kama kununua ndege kuna umuhimu. Sasa unapopunguza mishara ya wakubwa wakati ya wadogo inakushinda kupandisha hatuwezi kukuelewa.

Rais acha kuharibu mazuri uliyoyakuta bali yaendeleze.
Watanzania tuache siasa za maji taka,kwani uyo Magufuli anayepingwa amekaa madarakani miaka mingapi?ngoja afanye anachotaka kama Rais tutamjaji baada ata ya miaka mitatu hivi.Ata Roma haikujengwa kwa siku moja.
 
Tatizo humu JF kuna wafia chama.

-Watu wanauliza wapi ajira? Badala utoe jibu sahii unaleta SIASA ZA MAJI TAKA

-Wapi fao la kujitoa- jibu la SIASA ZA MAJI TAKA

-Wapi milion 50 za kila kijiji-Majibu ya SIASA ZA MAJI TAKA

-Wapi madawa- Majibu ya SIASA ZA MAJI TAKA

UNATOKWA NA MAPOVU KM SABUNI YA UNGA.

ACHENI KULETA SIASA ZA MAJI TAKA KWENYE MAISHA YA WATU. WATU TUNATAKA MAENDELEO WW UNALETA SIASA ZA MAJI TAKA.
PU..MBA. FU SANA
Kaka usikae na mawazo mgando jua mabadiliko yana uchungu kidogo. Ila jitahidi kuleta hoja ili uendelee kupata unachokitaka
 
Kaka wewe hujui kwa nini serikali itangaze lini itatoa ajira na wakati kuna kazi inafanyika na wataalam hawajamaliza. Ni mtu wa ajabu ukazani serikali itangaze unachowaza wewe. Ni ujinga huo kaka. Subiri watu wafanye kazi zao wakimaliza watakuambia. Mambo mazuri hayahitaji haraka na ukurupukaji.
Sasa nani kakurupuka km siyo ww na mwenyekiti wako?

Km aliona hili zoezi litakuwa gumu kwann alitangaza siyo km kukurupuka huko?

Angekaa kimya ingekuwa bora sana 100% kuliko kusema kipind fulan halafu kinatimia una kaa kimya siyo kama alikurupuka.

Hebu chukua zoezi dogo tu hapo unapoishi. Mwambie mtoto wako au jirani yako hata mpenzi wako kwamba Juma pili nitakupa 30,000.
Inafika j2 umekaa kimya tu, anakuuliza ile hela vipi uliyoniahidi utanipa? Umekaa kimya tu
Hiv unafikiri atakuelewaje? Kwann usimwambie tu km kwa sasa sina pesa nikipata nitakupa kuliko kukaa kimyaa.

Kuendelea kukaa kimya huyo mtoto au mpenzi wako lazima akuone boya sana na hauna akili na hata mawasiliano yenu yatakuwa na mashaka sana
MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU. WAAMBIE WATU UKWELI WAJUE
 
Kwa sasa Rais Magufuli anawabatiza kwa moto ndio maana kelele za mafisadi zimekuwa nyingi.
Ww mfia chama tumia akili sio ma.tako.kuna fisadi anaehangaika na kupata dawa hospitali za tz,fisadi anaruka nje hospital za kisasa,kuna fisadi analilia ajira za mshahara wa laki 5 kwa mwezi?fisadi alishajijenga hawezi hangaika na magufuli tena,kuna fisadi mtoto wake analilia ki mkopo cha serikali mtoto wake asome?fisadi watoto wao wanasoma nje kwa gharama kubwa.hivi mbona mnajitoa akili hivi?wanaoteseka ni wanyonge mnaowakebehi kua walizoea kula kwa ujanja ujanja.tumia akili sio unatumia mata.ko kufikiri ndugu
 
Nakupinga vibaya sana ! Hakuna Mtakatifu yeyote mwenye kasoro bhana .
Unajua maana ya mtakatifu? Takatifu ni yakimungu na Mungu ndie anaejua nani mtakatifu na kasoro (dhambi) ni za kibinadamu. Usituchanganyie mada hapa! Umeshindwa kusema tu hakuna binadamu asiye na kasoro?
 
Tatizo Pia Ana Chuki Na Wanaccm Hasa Wale Wajumbe Toka Mikoani Na Kamati Kuu Kwa Vile Hakuwa Chaguo Lao.
 
Sasa nani kakurupuka km siyo ww na mwenyekiti wako?

Km aliona hili zoezi litakuwa gumu kwann alitangaza siyo km kukurupuka huko?

Angekaa kimya ingekuwa bora sana 100% kuliko kusema kipind fulan halafu kinatimia una kaa kimya siyo kama alikurupuka.

Hebu chukua zoezi dogo tu hapo unapoishi. Mwambie mtoto wako au jirani yako hata mpenzi wako kwamba Juma pili nitakupa 30,000.
Inafika j2 umekaa kimya tu, anakuuliza ile hela vipi uliyoniahidi utanipa? Umekaa kimya tu
Hiv unafikiri atakuelewaje? Kwann usimwambie tu km kwa sasa sina pesa nikipata nitakupa kuliko kukaa kimyaa.

Kuendelea kukaa kimya huyo mtoto au mpenzi wako lazima akuone boya sana na hauna akili na hata mawasiliano yenu yatakuwa na mashaka sana
MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU. WAAMBIE WATU UKWELI WAJUE
Kaka acha kulalama wacha serikali ifanye kazi kama unaona watu hawatendewi haki kuna mahakama ambayo inauwezo wa kutafsiri sheria. Mi najua suala moja tu serikali inafanya mambo kwa umakini na kila ishu ikiisha mambo yataenda
 
Sio kwamba ni mtu mbaya au ana nia mbaya ila tatizo lake sina uhakika anajua anachokifanya. Tatizo lake kubwa ni kuharibu mema aliyoyakuta kuwa mapya, haimaniishi waliopita waliyotenda yote ni mabaya ila kuna mazuri.

Tatizo lake ni pale anapoharibu yale mazuri aliyoyakuta kama vile
Mikopo ya elimu
Madawa hospitalini
Demokrasia
Uhuru wa habari
Ajira kila mwaka
Kupanda madaraja na mishahara

Angeweza kuwa bora na kuonekana bora sana kama angefanya anayoyafanya bila kuathiri aliyoyakuta. Sasa unapotafuta watumishi hewa huku hutaki kuajiri na kupandisha watu madaraja hatuwezi kuona umuhimu wa kutoa watumishi hewa.

Sasa unaponunua ndege ilihali watu wanakosa madawa hatuwezi kuona kama kununua ndege kuna umuhimu. Sasa unapopunguza mishara ya wakubwa wakati ya wadogo inakushinda kupandisha hatuwezi kukuelewa.

Rais acha kuharibu mazuri uliyoyakuta bali yaendeleze.
Mkuu mi naona umemaliza kila kitu, labda na mimi nikomelee na hii nukuu

"Unapokuwa mpya watu wanataka mambo mapya pia, lakini yawe mapya ya maendeleo na sio (mapya) ya kuharibu kule tulipotoka"Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete, 24/10/2016, Udsm.
 
Back
Top Bottom