Tatizo la Rais Magufuli ni hili

Tatizo la Rais Magufuli ni hili

So, is that how the most powerful (ideally) person in the country deals with mafisadi? Just wishing them devilish living? Is this all you could think of defending Magufuli's sadistic narratives?
Wee km unadhani JPM kapotoka sana nawewe gombea urais 2020 tukuone.
 
Tatizo kubwa ni sadist mwenye poverty mentality...what kinda president would openly say he wants to see his/her people living like devils? He thinks any Tanzanian who has made it big time, he/she is a fisadi!
Hii imechoma moyoni.
Jamaa ana roho ya kimasikini..
 
Hali ni mbaya sana kwa Watumishi wa umma, sijui anategemea vipi kufikia matarajio yake huku anawa-frustrate watendaji wake wanaosaidia matarajio hayo yafikiwe.

Mimi hata simuelewi anawaza nini
yaani mm amenishusha stimu zoteee..

hapa nafanya tu kazi Ila ufanisi noo!!

last yr somo langu ninalifundisga from very time nlitoa A na B za kutosha

Ila mwakani...mwakani..ari yangu imekufa

Sina munkari...ntaenda km wanavyotaka wao!!

Sasa silazimishi mwanafunzi,ukifeli feli tu..si unafeli na baba ako
 
Wee km unadhani JPM kapotoka sana nawewe gombea urais 2020 tukuone.
Kwa kuwa tunajifanya kuwa na demokrasia, basi tuwe na uvumilivu wa kupokea mawazo tofauti na yale tunayopenda kusikia. Vinginevyo, mshaurini bwana mkubwa afute uwepo wa demokrasia Tanzania, na hutasikia nikitoa mawazo tofauti.
 
Sio kweli kwamba dawa hakuna ispokuwa mnamfanyia hujuma ili aonekane mbaya mbele ya waliomtangulia kila kitu kitakuwa sawa kwa sasahivi muacheni asafishe uchafu alioukuta kwanza hii nchi imeoza ilikuwa ni shamba la bibi,Mfano:Wafanyakazi hewa,vyeti feki,wanafunzi feki kuanzia msingi mpaka chuo kikuu,hawa wote wakati wa jk walikuwa wanalipwa hivyo sio kwamba serikali haina hela but anaondoa uozo kwanza next term.mtafurahi.
Ajabu ni kwamba, Magufuli alikuwa sehemu ya waliotengeneza huo uchafu. Na kiukweli amekuwa sehemu ya ubovu na uchafu kwa miaka 20. Lakini hata siku moja sikuwahi kumsikia akikemea uchafu huo. Zaidi, nilimsikia akitetea na kusifia safari za Kikwete pale watu walipohoji manufaa ya safari hizo kwa taifa. Safari ambazo aliposhida urais, akaanza kuziponda!!
Sasa sijui ni kivipi unamtenganisha Magufuli na yaliyotokea wakati wa Kikwete!!

Ningemwona wa maana kama angetuomba msamaha watanzania kwa yeye pamoja na chama chake kuifikisha nchi alivyoikuta. Angeomba msamaha, kisha kuwafikisha mahakamani wahusika wote, na siyo kusema atawalinda.

Yaani nikizidi kufikiri zaidi, naona jinsi Magufuli anavyojichanganya katika maneno na matendo yake na kuona aidha ni a fraud au hajui analopaswa kufanya.
 
Ukiyasikia ya waliomtangulia utaona afadhali ya huyu,hela zipo lakini ndio anajipanga ku secure system yake baadae mambo yatakaa vizuri tu.
 
Tatizo kubwa la mtoa mada ni kubaki na akili za kukalili na kutoelewa kwamba kinachofanyika ni reforms katika administration of state. Reform zina maumivu ya muda ili tuende sawa. Tusikalili kila kitu kiwe kama wewe unavyotaka. Ukitambua hilo utaleta hoja mzuri sana

Hoja zake ni za maana sana lakini.... ondoka tu kwenye box, utamwelewa vizuri.
 
Sijaliona tatizo hapo bali ninazisoma kelele tu ambazo hazina hata msingi wa kinachodaiwa ni tatizo la Rais Magufuli.

Bla bla za siasa za kiuharakati mnazifanya zisimame kama tatizo.

Talk is cheap!

Wanafunzi kukosa mikopo ni cheap talk? stop being a buffoon.
 
Kwa kuwa tunajifanya kuwa na demokrasia, basi tuwe na uvumilivu wa kupokea mawazo tofauti na yale tunayopenda kusikia. Vinginevyo, mshaurini bwana mkubwa afute uwepo wa demokrasia Tanzania, na hutasikia nikitoa mawazo tofauti.
Democracy ipo ndiyo maana una Uhuru wa kutoa mawazo tofauti.
 
Umesema Anachotaka !!!!
Poor Tz
Sasa wewe ulitaka afanye unachotaka wewe au anachotaka yeye?kwani kati ya wewe na yeye nani mwenye madaraka?mulizoea kupiga madili,yeye amesema serikali yake siyo ya wapiga madili.Kwaiyo jifunzeni namna ya kufanya nae kazi.Na mwisho kabisa naomba nikuulize; kwani wewe ni mtanzania?ulikuwepo wakati wa utawala wa awamu ya nne?
Watu wanalipwa mishahara wakati hawaitumikii serikali,hawalipi kodi,madawa ya kulevya yanauzwa kama pipi,mafisadi wanatamba mtaani,only in Tanzania!!!na bado mnampinga Magufuli.
Rich Tz
 
Tz ilishajijenga na kujengwa na nyerere kinachotakiwa sasa ni busara tu kuongoza sio kukurupuka na ubishi usio wa maana
Kwani hao watawala ambao walikuwa hawakurupuki,wamefanya kipi cha maana.Magufuli anazungumza na kutenda.Sio ooh mara tupo kwenye mchakato,ubabaishaji tu,is that what you want him to be like?be serious brother!!!Alikwenda mlimali UDSM akasema atajenga Hostel na kweli anajenga,alisema tatanunua ndege leo zipo ameleta!!!mnataka turudi kwenye zama za upigaji wa madili?
 
Back
Top Bottom