Pole sana ndugu mwakibete ulitumia njia gani kulimaliza tatizo lako?
Mkuu, binafsi nilimlilia Mungu kwa imani yangu mpaka kikaeleweka kwa kumuona mbaya wangu. Na toka siku nilipomuona ndiyo ikawa mwisho wa matatizo yangu.
Asubuhi nilimtwanga na meseji moja ambayo mpk kesho hajawahi kujibu wala hata kuwasiliana nami.