Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza wewe ni tajiri?to sleep is for the rich...bill gate huwa analala lisaa limoja tu linamtosha.utani kidogo mkuuHabari ndgu,nimekuwa na tatizo la kukosa usingizi usiku,muda mwingine inanichukua masaa kama matatu kuupata baada ya kulala,nikishutuka usingzn ndo siupat tena had asubuh,nilipitiwa nkacnzia mchana hat kwa dk kdgo uck ndo nakesha kabisa,nipen ushauri make hili jambo laweza kuathiri afya yangu
Kweli kisukari, bidhaa isiyokua na garentii ikunyime usingizi?nami nilikuwa nikisikia hivyo nikawa siamini. Mpaka na mimi nilipokuja kupenda,nilipenda kwa kweli usingizi ulikuwa wa tabu,na imagine nae kila sehemu. na nikilala huwa namuota yeye karibu kila siku,na nikishtuka usiku ooh,akili inarudi kwake.nikiongea nae kwenye simu,sitaki simu aikate.kama sijawasiliana nae siku moja tu,basi nakuwa kama sichanganyi vizuri. usiombe ukapenda,bora upende juu juu tu kwani sometimes ni kama mateso fulani hivi.
duu, mi najua ukinywa chai au kahawa ndo unakosa usingz, lakin hapo ni tofaut..Wana JF, kuna ndugu yangu yaani yeye asipokunywa chai kabla hajalala basi atakesha akihesabu 'kenchi' na kuna siku alikosa chai akanywa kahawa na matokeo yake 'alikesha', je, hali hiyo ya kutopata usingizi bila kunywa chai ni ugonjwa?
Kuna namna ya kuepukana nayo?
punguza mawazo na anza kufanya mazoezi,mazoezi ndo dawa ya tatizo lako
duu, mi najua ukinywa chai au kahawa ndo unakosa usingz, lakin hapo ni tofaut..
Mmmh!! Tabu ni namba kumi yaani hata tusiburudishane kabisaaa.Usingizi ni kitu muhimu katika maisha ya mwanadamu.Mtu mzima(adult) anatakiwa alale masaa 6-7 kwa siku.
Tatizo la usingizi limegawanywa katika makundi matatu
1.Tatizo la kuanza kulala
2.Tatizo la kushtuka hovyo(kutokulala usingizi mzito)HIGH RAPID EYE MOVEMENT
3.Kushindwa kulala kabisa
Zipo dawa za usingizi kwenye group linaloitwa BENZODIAZEPINE na BENZODIAZEPINE LIKE DRUGS.mfano ZOPICLONE/ZOLPIDEM,SOBRIL...ila hazitakiwi kutumiwa kwa muda mrefu zaidi ya wiki 2-4 kwasababu unakuwa addicted nazo yaani utakuwa huwezi kulala bila kula hizo dawa.
Jinsi ya kutatua tatizo la usingizi
1.Lala kila siku kwa wakati maalum mfano kila siku saa nne
2.Epuka kulala mchana
3.Epuka kunywa chai/kahawa usiku
4.Weka chumbani katika madhari nzuri kuwe na hewa safi ya kutosha
5.Epuka kutumia computer,ipad,simu kitandani/chumbani
6.Kabla kulala jaribu kuupumzisha mwili ili iwe tayari kiakili kwaajili ya kulala sio uanze kupiga deki robo saa kabla kulala
7.Epuka kulala na njaa au ukiwa na shibe
8.Jaribu kuepuka kufikiria sana ukiwa uko katika harakati ya kulala,andika dairy kama una vitu unahitaji kuvisuluhisha jaribu kuvisuluhisha siku ifuatayo.
9.Jaribu kufanya mazoezi/kuwa na activities ili kuuchosha mwili na ubongo
10.Chumba kitumike kwaajili ya kulala tu sio shughuli nyingine
Habari madoctor,
mimi ni mama zaid ya miaka 32 na chini ya 36, naomba kufahamu juu ya hili.
Wakati wa kulala nisipopaka mafuta miguuni mpaka unyayoni na kwenye lips za midomo sipati usingizi kabisa, hata kama nimechoka sana usingizi hauji kabisa ntakaa macho nilipolala mpaka kunakucha, lakin nikipaka mafuta hasa haya mazito ,mfano vaseline,bodyline au vestiline na mengineyo mazito, miguuni mpaka unyayoni ,kwenye lips za midomo halafu ndiyo nalala. Nalala usingizi mzuri saaaana (kama alalavyo mtoto mchanga, kwa wale wenye watoto wachanga watanilewa kuwa ni usingizi wa aina gani),hata nikiamka asubuhi naamka nikiwa na siha njema kabisa.sipaki mafuta mengi napaka kawaida tu.hivyo ni lazima kilasiku nipake mafuta usiku sehemu hizo ili niweze kupata usingizi mzuri na tulivu.mimi nimeligundua hili tangu nilipoanza kujitambua japo wazazi wangu wanasema hili ni tatizo tangu nilipozaliwa.
Halinikeri sana,lakin ninapenda kufahamu kwanini inakuwa hivi, kwa sababu kuna watu wengine mfano wanangu,rafiki zangu,ndugu zangu wao wakioga na kulala pasipo kupaka mafuta wanapata usingizi bila wasiwasi.
Kuna uhusiano gani kati ya mafuta na usingizi kwa baadhi ya watu kama sisi??? .
Nategemea kupata majibu toka kwenu, asanteni.[/QUOTE