Ikirudi 2,800-3,000 sio mbaya. Elfu 10 unapata 3L kutoka 2L. Karibia 40% drop.Hizo tozp ziko pale pale kilichopanda ni bei ya crude ambayo ime double. Ikirudi kwenye $60-70 kama zamani bei hata kwetu zitarudi.
Ata hiki kipindi Z’bar mafuta si bei nafuu?Kama serikali ingekuwa serious bei za zamani zingekuwa si zaidi ya 2500. Mbona Znz bei iko chini!
Mzee Kigamboni si kuna machimbo ya mafuta ya bei chee miaka yote hujapata wadau.Uwa nawaza nikiotea kama 100k haina majukumu niipeleke Puma, tatizo mimi nikiwa na mafuta mengi kwenye gari uchelewi kunikuta Kigamboni nimeenda kuliangalia daraja
Kila sehemu loopholes zipo. Tulikua tunaenda GPSA tunabeba wese kwenye madumu wakihoji tunasema ya generators za kazini. Sema mchongo wa wengi. Sahivi wamekua wakali. Kama mafuta ya generators wanataka uje na kibali kutoka kazini kinachostate kwamba hyu mtu katika lita 70 izo, 35 ziingie kwenye gari na 35 kwenye kwenye madumu. Aema njia mpya zipo ni vile siwezi zisema hapa. Cake ya Taifa tule woteMzee Kigamboni si kuna machimbo ya mafuta ya bei chee miaka yote hujapata wadau.
Ulikuwa una kwenye gari aina gani?Hii AI au? Aisee.
Juzi naenda naweka wese la 30k kumbe lita 7 tu. Aisee.
Honda Fit mkuu. Sema iyo inanitosha kwenda Morogoro kutokea UbungoUlikuwa una kwenye gari aina gani?
Komea hapo hapo usijeharibuKila sehemu loopholes zipo. Tulikua tunaenda GPSA tunabeba wese kwenye madumu wakihoji tunasema ya generators za kazini. Sema mchongo wa wengi. Sahivi wamekua wakali. Kama mafuta ya generators wanataka uje na kibali kutoka kazini kinachostate kwamba hyu mtu katika lita 70 izo, 35 ziingie kwenye gari na 35 kwenye kwenye madumu. Aema njia mpya zipo ni vile siwezi zisema hapa. Cake ya Taifa tule wote
Ila mkuu FT kutembea kilometa 900 ni kisanga ujue. Hii machine labda iwe ya kampuni ila binafsi maumivu.Wazee wa magari tarehe mbaya hizi na Hormuz imepigwa pin basi inakuwa double trouble.
Mshale wako umesimama wapi? Cc Mad Max
View attachment 3609618
Nilitoa 40,000/- nilipata lita 9 tuu , aisee niliumia sanaUnapotoa 10,000 halafu unapata lita 2 ni hatari.
Wewe Hybrid imekuharibu,usirudi ICE nenda EV kabisa. Hapo mwenzio nashangiliq maanake lile lingine FT ukifikisha 400km shukuru MunguIla mkuu FT kutembea kilometa 900 ni kisanga ujue. Hii machine labda iwe ya kampuni ila binafsi maumivu.
Gpsa ya zamani watu wamekunywa sana wese. Kigamboni kulikuwa pia na machimbo ya nusu bei gari inaingia sehemu inatoka full tankKila sehemu loopholes zipo. Tulikua tunaenda GPSA tunabeba wese kwenye madumu wakihoji tunasema ya generators za kazini. Sema mchongo wa wengi. Sahivi wamekua wakali. Kama mafuta ya generators wanataka uje na kibali kutoka kazini kinachostate kwamba hyu mtu katika lita 70 izo, 35 ziingie kwenye gari na 35 kwenye kwenye madumu. Aema njia mpya zipo ni vile siwezi zisema hapa. Cake ya Taifa tule wote
Mimi nishajizoesha kuweka FT. Halafu ikishuka mpaka 1/4 najaza kuokoa fuel pump. Ila inabidi uwe na msimamo.Kwa mara ya kwanza niliwekaga Full Tank gari nadhani 2020 kipindi covid-19 kama 60 liters hivi kwenye BMW. Mafuta yalikua 1/3 ya bei ya sasa hivi. Kipindi nna diesel ndio nilikua naweka karibia kila baada ya week 2-3. Hadi gari ikazoea kua FT. Baada ya hapo nimekuja kuweka kiberiti hiki lita 40 hivi mwaka jana. Sijaweka tena. Na sidhani kama nitakuja kuweka.
Runx ilikua unatembea na taa inawaka 24/7 hadi ikazoea. Nikaua pump. Nikikaa vema nitaanza na mimi marufuku taa kuwaka.Mimi nishajizoesha kuweka FT. Halafu ikishuka mpaka 1/4 najaza kuokoa fuel pump. Ila inabidi uwe na msimamo.