SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,971
- 13,663
Siku hii niliota Magufuli anadondoka kutoka ghorofani, lakini kitu cha kushangaza akafika anasimama!Tarehe kama ya leo 25.10.2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha
Mnakumbuka?
Habari ndio hiyo.
View attachment 910048
Sikujua maana ya ile ndoto ila alipotangazwa na kuanza kutawala ndipo nikaelewa.