chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,118
- 22,506
hii siku Tanzania ilipata kichaa kutawala inchi kwa mara ya kwanza.
Niliyempigia kura bahati Mbaya kura hazikutosha
Duh!Na ilaaniwe siku ile.
Hongera mkuu kama hujutii kura yako,Yangu siijutii maana niliyempigia kura , kura hazikutosha ama halali au isiwe halali
Poleni wote mliokuwa mnatia na mnaweka waa
Kwa sasa tunaisoma namba wote
Hivi kwanini tulifanya haya maamuzi ya hovyo tarehe 25/10/2015 ya kumpa madaraka huyu Chatu wa Chato?Tarehe kama ya leo tulifanya maamuzi ya kidemokrasia kama taifa katika uchaguzi mkuu na kupata serikali iliyoko madarakani sasa. Je wewe mdau wa maendeleo ya taifa lako unasemaje, unatembea kifua mbele na kujipongeza kwa uchaguzi wako kwa kutumia kura yako ama unajutia kwa kupeleka kura yako ulikoipiga,
Nikitembea kifua mbele niliyomchagua tarehe kama ya leo anakifumua...wacha nitulie ndani...!! Anasema uongozi ni mzigo ila 2020 atakuja kuomba kula na kura tens
Hahahaaaahaahaa!hii siku Tanzania ilipata kichaa kutawala inchi kwa mara ya kwanza.
Kwahiyo mkuu unajuta ulikopeleka kura yako,Hivi kwanini tulifanya haya maamuzi ya hovyo tarehe 25/10/2015 ya kumpa madaraka huyu Chatu wa Chato?
miaka 2 baadae tukapigwa bilioni 1500Ndiyo tulimtoa fisadi kwenye ramani ya siasa
Uzushimiaka 2 baadae tukapigwa bilioni 1500
Watu wanamsingizia kisa anachapa kazi sanamiaka 2 baadae tukapigwa bilioni 1500
HajutiiiiiKwahiyo mkuu unajuta ulikopeleka kura yako,
SADAM HUSEIN NI RAIS WA KUWAITTarehe kama ya leo tulifanya maamuzi ya kidemokrasia kama taifa katika uchaguzi mkuu na kupata serikali iliyoko madarakani sasa. Je wewe mdau wa maendeleo ya taifa lako unasemaje, unatembea kifua mbele na kujipongeza kwa uchaguzi wako kwa kutumia kura yako ama unajutia kwa kupeleka kura yako ulikoipiga,
Why ufurahie au ujutie? Maana anayefurahia anafaidika na anayejutia hafaidiki na kuna ambao yote ni sawa tu kwao maana hakuna lililopungua au kuongezeka. Kwa watumishi nidhamu imerudi kazini na wanalipwa mshahara on time lazima wafurahi ingawa nyongeza ya mshahara huenda bado. Kwa wafanyabiashara lazima “wafurahi” maana hawawezi tena kukwepa kodi. Kwa upinzani nao lazima “wafurahi” maana hawatumii hela nyingi kupiga siasa majukwaani kila siku mikoa yote na pia hawaumizwi sana maana hakuna maandamano kwa minajili hiyo hawasumbuliwi na vizuizi vya polisi. Kwa wasiofanya kazi lazima nao “wafurahi” maana asiyefanya kazi na asile.Tarehe kama ya leo tulifanya maamuzi ya kidemokrasia kama taifa katika uchaguzi mkuu na kupata serikali iliyoko madarakani sasa. Je wewe mdau wa maendeleo ya taifa lako unasemaje, unatembea kifua mbele na kujipongeza kwa uchaguzi wako kwa kutumia kura yako ama unajutia kwa kupeleka kura yako ulikoipiga,
Watu wanamsingizia kisa anachapa kazi sana