Tarehe kama ya leo Oktoba 25, 2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha, mnakumbuka?

Tarehe kama ya leo tulifanya maamuzi ya kidemokrasia kama taifa katika uchaguzi mkuu na kupata serikali iliyoko madarakani sasa. Je wewe mdau wa maendeleo ya taifa lako unasemaje, unatembea kifua mbele na kujipongeza kwa uchaguzi wako kwa kutumia kura yako ama unajutia kwa kupeleka kura yako ulikoipiga,
Hivi kwanini tulifanya haya maamuzi ya hovyo tarehe 25/10/2015 ya kumpa madaraka huyu Chatu wa Chato?
 
Tarehe kama ya leo tulifanya maamuzi ya kidemokrasia kama taifa katika uchaguzi mkuu na kupata serikali iliyoko madarakani sasa. Je wewe mdau wa maendeleo ya taifa lako unasemaje, unatembea kifua mbele na kujipongeza kwa uchaguzi wako kwa kutumia kura yako ama unajutia kwa kupeleka kura yako ulikoipiga,
SADAM HUSEIN NI RAIS WA KUWAIT
 
Tarehe kama ya leo tulifanya maamuzi ya kidemokrasia kama taifa katika uchaguzi mkuu na kupata serikali iliyoko madarakani sasa. Je wewe mdau wa maendeleo ya taifa lako unasemaje, unatembea kifua mbele na kujipongeza kwa uchaguzi wako kwa kutumia kura yako ama unajutia kwa kupeleka kura yako ulikoipiga,
Why ufurahie au ujutie? Maana anayefurahia anafaidika na anayejutia hafaidiki na kuna ambao yote ni sawa tu kwao maana hakuna lililopungua au kuongezeka. Kwa watumishi nidhamu imerudi kazini na wanalipwa mshahara on time lazima wafurahi ingawa nyongeza ya mshahara huenda bado. Kwa wafanyabiashara lazima “wafurahi” maana hawawezi tena kukwepa kodi. Kwa upinzani nao lazima “wafurahi” maana hawatumii hela nyingi kupiga siasa majukwaani kila siku mikoa yote na pia hawaumizwi sana maana hakuna maandamano kwa minajili hiyo hawasumbuliwi na vizuizi vya polisi. Kwa wasiofanya kazi lazima nao “wafurahi” maana asiyefanya kazi na asile.
 

Attachments

  • 1540452205734.png
    1540452205734.png
    81.8 KB · Views: 26
Back
Top Bottom