Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Shalom,
Kisomo changu hakina faida kwako wewe,na kw akifupi haikuhusu..umekosa hoja sasa unaleta vioja..
Mambo ya zitto na mtu kuwa na Master yametoka wapi,after all i know zitto kwa muda mrefu sasa(though hajui kama mimi ndiyo Gembe)..kwa taarifa yako!
Umesahau uliyaleta mwenyewe? Haya sasa kazi kwako!