LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Wewe Mtanzania ambae bado haujajuwa kwamba sasa hivi tunaishi kwenye zama za internet na kwa sasa dunia umebadili uelekeo wake utakuja kustuka ukiwa umechoka sana.
Unyanyapaa dhidi ya elimu.
1. Wasomi wana nyanyapaliwa.
2. Elimu ina nyanya paliwa.
3. Mifano inatolewa mingi kwamba ambao hawajaenda shule ndio wanafanikiwa zaidi kuliko walioenda shule...
Kuna muda utafika kusoma itaonekana ushamba na kupoteza muda.
Zamani kupiga 5 n.a. 6 ilikuwa big deal siku hizi madogo wanapata division one form four wanaenda chuo kusomea skills ( na kiuhalisia huo ndio uamuzi mzuri kwa sababu kuwa na skills ni bora kuliko degree. )
Ona kwa mfano huu msemo unao wakejeli wanafunzi waliokuwa wnakuwa wa kwanza darasani kwamba now hawana maisha yoyote.
Mbaya zaidi kauli kama inatolewa na wasomi na watu wanao heshimika katika jamii.
Mtoto anaesoma akikutana na comments zinazo waponda watu ambao walikuwaga wanashika namba za juu shuleni anaweza kuwa disappointed. Anaweza kuona kumbe kusoma ni ujinga.
Nilifanya uamuzi mzuri sana kuwatoa wanangu kwenye shule za mamilioni na kuwaleta Kayumba kwa sababu tunakoelekea elimu hii ya mtaala wa Necta itakuwa haina tena vigezo cha kuitwa elimu na haitokuwa na thamani ya kulipiwa mamilioni.
Ninasema tunakoelekea as if bado hatujafika.
Unyanyapaa dhidi ya elimu.
1. Wasomi wana nyanyapaliwa.
2. Elimu ina nyanya paliwa.
3. Mifano inatolewa mingi kwamba ambao hawajaenda shule ndio wanafanikiwa zaidi kuliko walioenda shule...
Kuna muda utafika kusoma itaonekana ushamba na kupoteza muda.
Zamani kupiga 5 n.a. 6 ilikuwa big deal siku hizi madogo wanapata division one form four wanaenda chuo kusomea skills ( na kiuhalisia huo ndio uamuzi mzuri kwa sababu kuwa na skills ni bora kuliko degree. )
Ona kwa mfano huu msemo unao wakejeli wanafunzi waliokuwa wnakuwa wa kwanza darasani kwamba now hawana maisha yoyote.
Mbaya zaidi kauli kama inatolewa na wasomi na watu wanao heshimika katika jamii.
Mtoto anaesoma akikutana na comments zinazo waponda watu ambao walikuwaga wanashika namba za juu shuleni anaweza kuwa disappointed. Anaweza kuona kumbe kusoma ni ujinga.
Nilifanya uamuzi mzuri sana kuwatoa wanangu kwenye shule za mamilioni na kuwaleta Kayumba kwa sababu tunakoelekea elimu hii ya mtaala wa Necta itakuwa haina tena vigezo cha kuitwa elimu na haitokuwa na thamani ya kulipiwa mamilioni.
Ninasema tunakoelekea as if bado hatujafika.