Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Ni kweli ALLAH atamsamehe kwa kuwa alitimiza maagizo yake. Lakini Mungu muumba wa mbingu na nchi, mwenye upendo kwa watu wote, hasietaka visasi (JEHOVA) hatomsamehe

Mambo mengine upumbavu mtupu....sasa mwenye upendo gani tena awe na kisasi? Hakuna cha jehova wala jaluo...hao sio miungu...ni goi goi
 
Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga

Aende akakutane na adhabu yake... Mungu mwenyewe anajua anapoweka watu wa aina yake... wachochezi nk.
 
Ulikua our inspiration dhidi ya mfumo kristo.....umejitahid kiasi chako bila woga....
 
Allah Amsamehe makosa yake na amuweke katika bustani za peponi.

Mh! sijui, ila ufike wakati tuache unafki, watu watapona... Si ni huyu huyu alikuwa anahubiri chuki na mauaji? au ni mwingine?
 
Inna lillah wainna ilayh raajiun.
Allah ampe makaz mema kaburin

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Huyu Shehe alikuwa mchochezi mkubwa na anachonganisha watu kwa mambo ya kipumbavu kabisa!! Wangemfunga jiwe wakamtupe baharini...ili apotee kabisa kama Osama!!
 
Amekufa kabla ya kujibu mashitaka? Sasa itakuwaje?
Baada ya kifo ni hukumu, ni wakati mwafaka mashitaka yake kuanza kusikilizwa mkuu. Kwani umesahau kuwa yupo Mungu wa kweli na wa haki? Kifo si mwisho bali ni mwanzo wa maisha ya milele either pamoja na Mungu au ahera pamoja na shetani.
Mwanadamu ni Mwili,Roho na Nafsi. Hivyo kutengana kwa mwili na roho ni mwanzo wa maisha mengine ya roho yako ktk heri/shari milele.
Kifo kibaya zaidi ni kile cha mwanadamu kutengwa na Muumba wake milele huku akiwa ktk hali ya mateso yasiyo na ukomo.
Ni heri usimame ktk mahakama ya mwanadamu na siyo ya Mungu hasa ukiwa mtuhumiwa wa kuharibu kazi yake.
 
Hivi kweli atmsamehe mtu aliyekuwa akichochea waislam wawaue wakristo.
 
Mnashangilia kufariki sheikh Ilunga, mnahisi na dini ya kiislamu ndio imekufa sio? Watu kama akina Ilunga wapo wengi sana na ipo cku watasikika nao muwaombee vifo vilevile. Pia ninyi mtaishi milele ktk dunia hii kwani nahisi Mungu kawachagueni maalumu kwa ajili ya kuangalia nani jamii ya marehemu sheikh Ilunga kafariki na nani bado, dunia hii jamaa zangu, toeni maneno ya kejeli lakini iko siku nanyi mtafukiwa ardhini. :/

Hakuna ayeshangilia mtu yeyote kufa, ila tunasema alikua mchochezi sana, Mungu amsamehe tu maana ndie ajuaye yanayomkuta huko aliko
 
Ni pigo kubwa kwetu waislam ulijitaidi sana kutuamsha tulipolala inshallah tutayafanyia kazi mawaidha yako na ipo siku tutajikomboa kutoka kwenye mfumo kristo. Inalillah wainalilah rajiun
Chukua tahadhari kabla ya hatari. You could be next in line. Mungu hadhihakiwi,chochote apandacho mwanadamu ndicho atakachovuna.
 
Sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea. Poleni sana familia.
 
Kazi ya Mungu haina makosa.
Hakuna mwanadamu anayeweza kushindana na kazi ya Mungu akabaki salama.
Mtu huvuna anachopanda. Inabidi kutawala sana ulimi,kwani ulimi ndio source ya madhara yote ktk maisha yetu. Hivyo ukiutumia vibaya,aliyekuumba anao uwezo wa kukuondoa ili usiharibu kazi yake.
Ni swala la muda tu kwa kila anayeingilia interests za Mungu wa kweli.

Muongo!Mnafiki!Unataka kusema wrote waliondoka ktk ulimwengu huu walitumia ulimi vbaya?Vp wanaokufa utotoni nayo walimkosea nn Muumba?
 
Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga

ndo huyo wala ujakosea
 
Inalilah waina lilah rajuun...Allah amwepushe na adhabu za kaburi.
 
Kwa hiyo ndiye muasisi wa neno mfumo Kristo??Kwa nini hakusema pia mfumo Uislam? Nenda panapostahili kwa matendo yako duniani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom