Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Mkuu Kakende wacha kutania dini za watu sidhani kuna kitu cha jinsi hii katika quran tukufu sasa wanawake wana watapewa nini ?.

Soma hizi aya zinaelezea wasifu wa mabikra, zinasema wana macho mazuri Al-Quran 44:54
Quaran 78:33. Idadi kamili ya mabikra inapatikana hapa. hadith 2687
 
Last edited by a moderator:
Ni yupi huyu, tafadhali picha kama iko maana wengine hatumfaham! Poleni sana wafiwa, Mungu awatie nguvu
Ni mkongomani mmoja alikua anawashwa sana aone watanzania tunauana kwa kutumia dini....

bahati nzuri kafa hajaona kitu
 
IWAPO PEPO ingekuwa inatolewa na SERIKALI ama MAONI ya watu, WENGI washaingia na wengi HAWAIPATI lakini suala la pepo MPIMAJI SIO serikali bali ni muumba sisi TUTAMKE Innalilah Wainaillah Rajiuunn na kama SERIKALI ISHAUNDA PEPO NA MOTO WAKE hapa duniani JERA na MAGOROFA, washamaliza huko utawala hautokuwa huu wa MIZINGA 60.
TUE WENYE KUIONA HAKI na TUIFUATE......
 
MKUu huyo unayejibizana nae anaonekana ni mtu mzima kwa avatar yake mpe heshima yake hata kidogo..

Sawa mkuu ila na yeye ajiheshimu.

Respect is earned not given.
 
Habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh Ilunga Hassan Kapungu muasisi wa maneno mfumo kristo Tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kisukari na baadae figo zake kushindwa kufanya kazi.

Swala ya maiti itaswaliwa msikitini wa Kichangani-Magomeni na atazikwa Leo.

Innalilahi waina Ilaihi Rajiuun.


===============
UPDATE:

Sheikh Ilunga aliyefariki Dar es Salaam, anatarajiwa kuzikwa leo katika Makaburi ya Mwinyimkuu yaliyoko Magomeni Mapipa.

Maiti yake itasaliwa katika msikiti wa Kichangani, Magomeni - Dar es Salaam katika sala ya Alasiri saa kumi jioni.

Sheikh Ilunga ambaye alikwenda nchini India kwa matibabu, aliwahi kukamatwa na Ppolisi na kufunguliwa mashtaka kwa tuhuma za kutoa mahubiri ya uchochezi.

Msiba wake upo Mbezi - Goigi, jijini Dar es Salaam.
Huyu jama si ni yule aliyekuja hapa Kenya na kuwashauri waislamu wawaue ma-padre. Aha!! kumbe hata nao hufa. Sasa huyu hatapata faida ya mabikira maana hakufa kwa risasi.
 
Soma hizi aya zinaelezea wasifu wa mabikra, zinasema wana macho mazuri Al-Quran 44:54
Quaran 78:33. Idadi kamili ya mabikra inapatikana hapa. hadith 2687

Mkuu hebu fanya kutuwekea kilichomo kwenye aya hizo ili sisi tusio na kuran tupate ILMU tafadhari.

BACK TANGANYIKA
 
Sheikh atazikwa saa kumi jioni makaburi ya mwinyimkuu magomeni......wote tuhudhurie inshallah.
 
SILENCE KILLER imemshughulikia kwani angeuawa ghafra kama yule wa Kenya kungejitokeza maswali mengi
 
Poleni wafiwa na familia yote...
Apumzike kwa amani Ustaadh
 
SILENCE KILLER imemshughulikia kwani angeuawa ghafra kama yule wa Kenya kungejitokeza maswali mengi

Wafuasi wake wanaakili ndogo sana, ukiwamezesha hii propaganda wanaimeza nzima nzima.
 
Poleni wafiwa wote na mungu amweke anapostahili
 
Dah! Mungu bwana jamaa kaenda hata hajaiona Tanganyika mpya na Zanzibar huru...ok pumzika kwa amani japo ulishaanza kutuvuruga na udini wako!
 
Huwezi kubadili jamii,taifa au dunia ifanane na unavotakabali weweza wewe kibadilika uli uendane na uhalisia, tumeikuta na tutaiacha dunia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom