Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
uwe unaangalia kitu cha kuposti ww...usiwe mpuuzi kiasi hicho km huna point siovlazima upost
 
Acha upumbavu ww. Angekufa PEngo ungefurahi......?

Tutake radhi!

Pengo ni muhubiri wa AMANI na UPENDO!

Huyu alikuwa muhubiri wa vita,visasi na fujo!

Hakika alikuwa mfuasi wa LUCIFER!
 
1: Dawa ya kafiri ni bunduki.
2: Akiuawa shehe,tafuteni vi askofu na vi padri viwili vitatu mviue.
3: Kafiri si wa hadh sawa na muislamu.
Akafie mbali mchochezi mkubwa.

Wewe hutokufaaa utaota jiwe

Hakufanya uchochezo wwt
 
Wewe hutokufaaa utaota jiwe

Hakufanya uchochezo wwt

Aliyekuwa anahimiza Mapadri na Maaskofu wauwawe ni nani? Au kwako wewe huo si uchochezi ndiyo kuitetea dini?

Kama umebahatika kusoma jaribu kutumia japo robo ya hiyo elimu yako.
 
Kwan yesu ndo nani...? Yesu hamjui hata huyo pengo. Yy hakuw kafiri.

Ni Yesu mnayemuongelea misikitini kila siku.

Hadi mwisho wa dunia jina la Muddy halitatajwa kanisani.

Hebu weka ushahidi ni wapi Pengo alihimiza binadamu amuue binadamu mwenzake.
 
Wewe hutokufaaa utaota jiwe

Hakufanya uchochezo wwt

hakika hakufanya uchochezo bali alihamasisha amani na upendo kati ya waislam na wakristo...hakika dvd zinazoonesha mahubiri yake ya kuhamasisha chuki dhidi ya wasio waislam ni fake! aka wamemsingizia
 
Poleni wafiwa....huyu jamaa alikuwa akitafutwa na serikali akapotea amekuja kuibuka mfu!
 
God forgive him and let his soul rest in peace,

KAMA huna dhambi basi na uwe wa kwanza kumhukumu na kumdhihaki huyu jamaa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom