Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Duh JUMONG habari mbaya sana hii nilikuwa nafanya utaratibu wa kuslimu ili nikifa nifaidi mabikira 72.

Jamani hii ya mabikira sio haki ya kila mtu. Mi nijuavyo mt.ume aliitumia hii myth ili kuwa-convice askari wake kuupigania uisl.am hata kwa kifo na alijua akiwaambia akitumia hii myth ya kupewa mabikira 72 baada ya kuifia imani ya ui.slam watakubali.
Ila kuna clip moja ya she.he mmoja anasema "wanawake acheni wivu, ruhusuni waume zenu kuongeza wake walau muwe wanne. Kumbukeni kwa habari yenu sasa kama hamjasikia kule peponi hamtakuwa peke enu. Kama ni presha itawapanda haswaaa, maana wame wenu watapewa mabikira wareeeembo 72"
Hii ndo ilinifanya nianze kufikiri tofauti. Anyway, kila mtu na imani yake.
By the way, Karibuni kwa semina ya Neno la Mungu itakayoongozwa na mwl. Mwakasege hapa Morogoro!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ndio tumemaliza kumzika Marhum Sheikh Ilunga. Umma ni mkubwa sana sijapata ona, Makamu wa Rais ndio anajiandaa kuondoka ss hiv
 
Ndio tumemaliza kumzika Marhum Sheikh Ilunga. Umma ni mkubwa sana sijapata ona, Makamu wa Rais ndio anajiandaa kuondoka ss hiv
Haa! Makamu wa rais kahudhuria? Kweli msiba hauna ubaguzi.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kushika jeneza ilikua ni mtihani kidogo,,kama hukubahatika kulishika ndani msikitini basi huku nje ni tafrani.
 
Innallillahi Wainna Lilah Rajuulun. Poleni wafiwa.
Poleni wafiwa na Sheikh Ilunga RIP
Ila tujifunze yaompata mwenzetu, badala ya kuhubiri imani yake, anashambulia Ukristo.
Nilijua mwisho wake hauko mbali, alitakiwa aenezr upendo, ushirikiano na amani, si uongo na mifarakani- ngome ya Ibilisi.
 
Baadhi ya wajumbe wa ukawa wakiongozwa na maalim seif na prof lipumba wamehudhuria mazishi ya shekh ilunga dar

Halafu leo ktk story zangu na washkaji nimemnukuu na ile move yake ya akiuwawa sheikh, tafta padre, askofu au hata walei uue. Kwamba uhai wa mwislam upo ktk kulipa kisasi. Japo si vema kumwombea mtu kifo, lkn Ilunga anastahili kufa tena si kwa natural death bali hata kwa kuuwawa. Kama ni chuki kaisambaza sana.

Haiwezekani kila mauaji ya sheikh yeye ahitimishe kuwa ni wakristo waliotekeleza mauaji hayo. Lini wakristo wakapanga kumwaga damu? Kufa tu Ilinga
 
Duh JUMONG habari mbaya sana hii nilikuwa nafanya utaratibu wa kuslimu ili nikifa nifaidi mabikira 72.
Mkuu Ngongo, mbingu ni zaidi ya mabikira 72 (labda kama ndugu zetu wana mbingu tofauti na tunayoamini ktk Biblia maana sina elimu ya pepo) Kama pepo yao ni tofauti na mbingu takatifu ya Mwenyezi Mungu muumba vyote basi silimu ukafaidi hiyo migegedo!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Heri wafu wafao katika Bwana wapate kupumzika baada ya taabu zao, maana matendo yao yafuatana nao. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe.
 
Duh JUMONG habari mbaya sana hii nilikuwa nafanya utaratibu wa kuslimu ili nikifa nifaidi mabikira 72.

Ndugu Ngongo mbingu ni zaidi ya hao mabikira 72 unless ndg zetu wawe na mbingu tofauti na yetu (maana sina elimu tosha kuhusu pepo ya wenzetu kama ndio tofauti na mbingu) Kama pepo ni tofauti na mbingu takatifu yaliyo makao makuu ya Mungu Mwenyezi muumba mbingu na dunia na vitu vyote vinavyoonekana na visivyo onekana basi silimu ukafaidi hiyo migegedo 72! Ila kumbuka zinaa ni dhambi na adhabu yake ni moto wa milele ktk makazi ya shetani na malaika zake!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga

Ndio yeye mkuu, sema maadili hayaruhusu najua baadhi ya watu wangeweka clip yake ya kuhamasisha mauaji kwa viongozi wa Kikristo!
 
mkuu hujawahi msikia shekh mmoja hivi kwenye crip moja hivi anatoa mawaidha akisema mimi napenda wanawake wenene miss bantu, neema za allah hizo, mimi napenda tu, unakuwa na mwanamke mmoja kwani mama yako huyo? utacheka balaa!

hahaha...kaka huyo anaitwa ustaz kipozeo co ilunga....anasema hatari sana
 
Duh JUMONG habari mbaya sana hii nilikuwa nafanya utaratibu wa kuslimu ili nikifa nifaidi mabikira 72.

Kwani huko Mbinguni/Peponi tutakuwa na hii MIILI? I mean tutakuwa SEXUAL ORGANS za kuweza kujamiiana?!. Kweli inabidi niongeze juhudu ya kuifahamu ELIMU YA DINI inaelekea sifahamu mengi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom