Bobwe1
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 396
- 95
huyo hastaili msiba wangemtupa kwenye mtalo aliwe na mbwa filauni mkubwa
kafiri mkubwa weye.
huyo hastaili msiba wangemtupa kwenye mtalo aliwe na mbwa filauni mkubwa
Hili swali nami najiuliza, ngoja tukamzike Ilunga kwanza, nitarudi kulianzishia thread hilo... sasa wanawake wana watapewa nini ?.
Habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh Ilunga Hassan Kapungu muasisi wa maneno mfumo kristo Tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kisukari na baadae figo zake kushindwa kufanya kazi.
Swala ya maiti itaswaliwa msikitini wa Kichangani-Magomeni na atazikwa Leo.
Innalilahi waina Ilaihi Rajiuun.
===============
UPDATE:
Sheikh Ilunga aliyefariki Dar es Salaam, anatarajiwa kuzikwa leo katika Makaburi ya Mwinyimkuu yaliyoko Magomeni Mapipa.
Maiti yake itasaliwa katika msikiti wa Kichangani, Magomeni - Dar es Salaam katika sala ya Alasiri saa kumi jioni.
Sheikh Ilunga ambaye alikwenda nchini India kwa matibabu, aliwahi kukamatwa na Ppolisi na kufunguliwa mashtaka kwa tuhuma za kutoa mahubiri ya uchochezi.
Msiba wake upo Mbezi - Goigi, jijini Dar es Salaam.
Kwa kuwa (inasemekana) kati ya vitu watakavyopewa walioyatoa maisha yao kuisimamisha dini ya Mwenyezi Mungu kama akina Sheikh Ilunga ni mabikra 72 wakila nao raha mchana kutwa usiku kucha, hebu tupe ilmu:-
(i) Je, ni kweli kwamba suala la mabikra 72 ni dhana tu au ni uhalisia?
(ii) Kama ni uhalisia, wanawake kama wewe mtakapokufa thwawabu yao nini? Maana wanaume hupewa mabikra, mahajjat nao je?
RIP Ilunga.
Naku support kwa kulitambua hilo mkuu,na unatakiwa kufahamu kuwa kazi ya Mungu haina makosa.Kama imani yako inakufundisha kuwa kuna Kiama,then you should know that there is life after death,na wapi unakwenda baadaye inategemea zaidi maisha unayoishi sasa hivi ukiwa ktk mwili.Sisi sote ni marehemu watalajiwa acha kujidanganya.
ndiyo yeye huyo: Tutamkumbuka sana kwa maneno yake ya uchochezi wa kidini. Apokelewe anapostahili!!!mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee ilunga
Ndo huyohuyo mkuu... Alikuwa anapenda sana kuwagawa watanzania kwa dini zao. Alikuwa ni mchochezi sana..Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga
Ungeishi kwa misingi ya huo mstari unaojaribu kuu-quote bila kuuelewa nadhani dunia ingekuwa mahali pema pa mwanadamu kuishi kama Mungu alivyopakusudia.Hivi huu mstari uwa una maana gani katika biblia?
"Mpende adui yako" maana kama unafunga kula kwa kumuombea kifo (au jambo lolote baya) adui, then sijui huo ni uikristo gani!
Allah amlaze mahala pema peponi,
Ilunga katuletea ukombozi wa kifikra waislaam kwa kutufundisha madhala ya mfumo kristo na jinsi unavyofanya kazi Tanzania.
Ilunga ndie alietoa nondo pale alipotuelezea dhulma za Muungano.
Ilunga alituelimisha jinsi Bakwata ilivyokuwa tawi la kanisa katoliki.
CD za Ilunga zitadumu na tutaendelea kufanyia kazi fikra zake chanya za kujikomboa toka mikononi mwa madhalimu.
Shekh Ilunga Allah Kamchukua ,lkn Kikra zake Zitadumu milele na huu ni wakati wa waislaam na wale wasiokuwa waislaam kutafuta CD zake ili kuendelea kuelimika.
Rest in peace Shekh Ilunga,umekufa kishujaa na allah akupumzishe mahala pema peponi.
Kidume kimetutoka...Allah amsamehe kwa alokosa...Ameen
Kazi ya Mungu haina makosa.Huo ndio upendo mnaofundishwa kanisani na kujitangaza wakristo mnafundishwa upendo?