Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Jamaa alisema waislamu waue askofu au kadinali...nilishtuka manake navyojua kadinali yupo mmoja tu East Africa...nafikiri Pengo alishtuka zaidi
 
Habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh Ilunga Hassan Kapungu muasisi wa maneno mfumo kristo Tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kisukari na baadae figo zake kushindwa kufanya kazi.

Swala ya maiti itaswaliwa msikitini wa Kichangani-Magomeni na atazikwa Leo.

Innalilahi waina Ilaihi Rajiuun.


===============
UPDATE:

Sheikh Ilunga aliyefariki Dar es Salaam, anatarajiwa kuzikwa leo katika Makaburi ya Mwinyimkuu yaliyoko Magomeni Mapipa.

Maiti yake itasaliwa katika msikiti wa Kichangani, Magomeni - Dar es Salaam katika sala ya Alasiri saa kumi jioni.

Sheikh Ilunga ambaye alikwenda nchini India kwa matibabu, aliwahi kukamatwa na Ppolisi na kufunguliwa mashtaka kwa tuhuma za kutoa mahubiri ya uchochezi.

Msiba wake upo Mbezi - Goigi, jijini Dar es Salaam.

Nilimchukia lakini Mungu amempenda zaidi
 
Kiukweli Ilunga alikuwa mchochezi sana .
Maneno yake yalikuwa ni sumu, japo vita yetu si katika damu na nyama.
 
Ustadh ILunga umetimiza wajibu wako umetufundisha Mengi kazi imebaki kwetu. Nenda kapumzike salama, Allah akupe pepo ya juu kabisa pepo ya manabii.
 
Ilunga kashamaliza mizigo 40, mingine 60 inamsubiri kesho.

Hivi kama Peponi raha kihivyo, kwa nini wanapenda sana kutanguliza wenzao?


Kwa kuwa (inasemekana) kati ya vitu watakavyopewa walioyatoa maisha yao kuisimamisha dini ya Mwenyezi Mungu kama akina Sheikh Ilunga ni mabikra 72 wakila nao raha mchana kutwa usiku kucha, hebu tupe ilmu:-

(i) Je, ni kweli kwamba suala la mabikra 72 ni dhana tu au ni uhalisia?
(ii) Kama ni uhalisia, wanawake kama wewe mtakapokufa thwawabu yao nini? Maana wanaume hupewa mabikra, mahajjat nao je?

RIP Ilunga.
 
Last edited by a moderator:
Sisi sote ni marehemu watalajiwa acha kujidanganya.
Naku support kwa kulitambua hilo mkuu,na unatakiwa kufahamu kuwa kazi ya Mungu haina makosa.Kama imani yako inakufundisha kuwa kuna Kiama,then you should know that there is life after death,na wapi unakwenda baadaye inategemea zaidi maisha unayoishi sasa hivi ukiwa ktk mwili.

Kwa kifupi binadamu huvuna alichopanda,ukipanda uharibifu utavuna unachostahili,ndiyo maana mara nyingi nimekuwa nikipigania watu kuzitambua nafasi zao na kuwatendea haki wale mnaowaongoza,ili ukitenda vema ni Mungu pekee ndiye anayejua wapi unastahili kwenda,kuliko kujifanya mungu mtu na kusahau yupo MUNGU wa kweli na mwenye haki asiyeangalia wingi wa mali wa wasio haki.

Nashukuru kulitambua hilo ila rekebisha neno ulilotumia,nadhani ni Watarajiwa na si watalajiwa,hasa ukizingatia fani yako ya sheria kuwa inaweza kubadili maana kusudiwa. Asante.
 
mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee ilunga
ndiyo yeye huyo: Tutamkumbuka sana kwa maneno yake ya uchochezi wa kidini. Apokelewe anapostahili!!!
 
R.I.P "COMRADE" ILLUNGA.Bado ASKOFU MPEMBA.
 
Kidume kimetutoka...Allah amsamehe kwa alokosa...Ameen
 
Hivi hadi saa hii huu uzi umetengeneza 'ban' ngapi?!
 
Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga
Ndo huyohuyo mkuu... Alikuwa anapenda sana kuwagawa watanzania kwa dini zao. Alikuwa ni mchochezi sana..
 
Hivi huu mstari uwa una maana gani katika biblia?

"Mpende adui yako" maana kama unafunga kula kwa kumuombea kifo (au jambo lolote baya) adui, then sijui huo ni uikristo gani!
Ungeishi kwa misingi ya huo mstari unaojaribu kuu-quote bila kuuelewa nadhani dunia ingekuwa mahali pema pa mwanadamu kuishi kama Mungu alivyopakusudia.

Uovu ndio umeiharibu dunia,badala ya wanadamu kuelewa adui yao ndiye adui wa Mungu,wao badala ya kushirikiana kupminga shetani wanaungana na shetani kuiharibu kazi ya Mungu.

Ukitafakari utaelewa kuwa imekuwa rahisi kwa mwanadamu kuteam na shetani ili kupambana na Mungu kuliko ku-team up na Mungu kuziharibu kazi za shetani.

So haya yote ni matokeo yanayotegemea uko kwenye team ya nani, ya MUNGU au ya shetani.

Uhakika wa matokeo ni kuwa kamwe shetani hatashindana na Mungu. Hongera kama uko team ya Ushindi, na kama ni vinginevyo tafakari uhamie team ya ushindi before it's too late for you.
 
Allah amlaze mahala pema peponi,
Ilunga katuletea ukombozi wa kifikra waislaam kwa kutufundisha madhala ya mfumo kristo na jinsi unavyofanya kazi Tanzania.
Ilunga ndie alietoa nondo pale alipotuelezea dhulma za Muungano.

Ilunga alituelimisha jinsi Bakwata ilivyokuwa tawi la kanisa katoliki.

CD za Ilunga zitadumu na tutaendelea kufanyia kazi fikra zake chanya za kujikomboa toka mikononi mwa madhalimu.

Shekh Ilunga Allah Kamchukua ,lkn Kikra zake Zitadumu milele na huu ni wakati wa waislaam na wale wasiokuwa waislaam kutafuta CD zake ili kuendelea kuelimika.

Rest in peace Shekh Ilunga,umekufa kishujaa na allah akupumzishe mahala pema peponi.


Hakuwa mbali sana na ukweli kaka. Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kanisa katoliki na Uislamu. Uhusiano huu upo toka enzi za Pontio wa Pilato. Tazama presentation hii hapa :The Islamic Connection to Rome Catholicism - YouTube
 
Kidume kimetutoka...Allah amsamehe kwa alokosa...Ameen

Ni kweli ALLAH atamsamehe kwa kuwa alitimiza maagizo yake. Lakini Mungu muumba wa mbingu na nchi, mwenye upendo kwa watu wote, hasietaka visasi (JEHOVA) hatomsamehe
 
Huo ndio upendo mnaofundishwa kanisani na kujitangaza wakristo mnafundishwa upendo?
Kazi ya Mungu haina makosa.
Hakuna mwanadamu anayeweza kushindana na kazi ya Mungu akabaki salama.
Mtu huvuna anachopanda. Inabidi kutawala sana ulimi,kwani ulimi ndio source ya madhara yote ktk maisha yetu. Hivyo ukiutumia vibaya,aliyekuumba anao uwezo wa kukuondoa ili usiharibu kazi yake.
Ni swala la muda tu kwa kila anayeingilia interests za Mungu wa kweli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom