Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Amekufa kabla ya kujibu mashitaka? Sasa itakuwaje?
 
Kama ndo huyu alisema watu wauane bora amekufa kama sio yeye rip!


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Inna lillah waina ilayh rajiun

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
maombi ya kufunga "kula 7" mfululizo, yamejibu.maombi ndio silaha yetu kubwa wakristo.
Huyu maneno yalikua yanamtoka nilijua tumekua adui mkubwa wawaislam anasema kamata padre kata kichwa makafir Dah cjui km serakali walikua wanaona matendo yake marehemu
 
Invisible, unganisha thread hii na ile nyingine iliyo katika jukwaa la siasa
 
Last edited by a moderator:
lillaahi maa aatwaa walahuu maa akhadhaa wakullu shay'in in'dahuu bimiqdaar
maana yake:Allah ametoa na yeye ametwaa na kila kitu kinakwenda kwa mipango yake
tunamuomba ALLAH amsamehe madhambi yake amkubalie mema yake na amuingize peponi kwa rehma zake
 
Allah amlaze mahala pema peponi,
Ilunga katuletea ukombozi wa kifikra waislaam kwa kutufundisha madhala ya mfumo kristo na jinsi unavyofanya kazi Tanzania.
Ilunga ndie alietoa nondo pale alipotuelezea dhulma za Muungano.

Ilunga alituelimisha jinsi Bakwata ilivyokuwa tawi la kanisa katoliki.

CD za Ilunga zitadumu na tutaendelea kufanyia kazi fikra zake chanya za kujikomboa toka mikononi mwa madhalimu.

Shekh Ilunga Allah Kamchukua ,lkn Kikra zake Zitadumu milele na huu ni wakati wa waislaam na wale wasiokuwa waislaam kutafuta CD zake ili kuendelea kuelimika.

Rest in peace Shekh Ilunga,umekufa kishujaa na allah akupumzishe mahala pema peponi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom