Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
wengine tupo gizani nini alifanya? tupeni wasifu wake ss twamjua shehe ponda tu
 
maombi ya kufunga "kula 7" mfululizo, yamejibu.maombi ndio silaha yetu kubwa wakristo.

inaonekana mlifunga kumuombea kifo eeh, au na nyie mlimshtakia mungu (albadir), nyie si mnasema hamlipi ubaya kw ubaya.!? wazee wa kusamehe saba mara sabini, sasa kwanini mlimuombea mwenzenu afe.!?
 
Raha ya milele umpe eeh Yesu na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. AMEN!
 
'Kwa hakika kila nafsi itaonja mauti'

R.I.P Utadhi Ilunga
 
wengine tupo gizani nini alifanya? tupeni wasifu wake ss twamjua shehe ponda tu
Nikikuwekea link hapa nitachukuliwa kama vile msambazaji wa DVD za uchochezi, ila unaweza kugoogle ktk youtube ujionee mwenyewe alivyonukuu quran ikisisitiza kwamba kulipiza kisasi kwa waisilamu ni jambo sahihi, na jamaa akawaeleza waisilamu wamuue Kardinali (Tanzania yupo Kardinali mmoja tu, so alikusudia wamuue Pengo)
 
Hivi huu mstari uwa una maana gani katika biblia?

"Mpende adui yako" maana kama unafunga kula kwa kumuombea kifo (au jambo lolote baya) adui, then sijui huo ni uikristo gani!
huo utakuwa uislamu aisee...
 
Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga

Huyu shekh alikuwa anatafutwa na serikali kwa makosa ya uchochezi, kuna CD zilikuwa zinahamasisha waislamu wawaue mapadree, alikuwa akizungmzia mauaji ya kule Mombasa Kenya- akiwashangaa waislamu kuandamana badala ya kuwaua wakristo. Mungu amsamehe.
 
Mnashangilia kufariki sheikh Ilunga, mnahisi na dini ya kiislamu ndio imekufa sio? Watu kama akina Ilunga wapo wengi sana na ipo cku watasikika nao muwaombee vifo vilevile. Pia ninyi mtaishi milele ktk dunia hii kwani nahisi Mungu kawachagueni maalumu kwa ajili ya kuangalia nani jamii ya marehemu sheikh Ilunga kafariki na nani bado, dunia hii jamaa zangu, toeni maneno ya kejeli lakini iko siku nanyi mtafukiwa ardhini. :/
 
Inna Lillah Wainna Ilayhi Raajiun.
Kila nafsi itaonja Kifo.
 
Innallilah wainna illah rajiun; Mola amsamehe makosa yake; amuondelee adhabu za kabri; awape subra wafiwa
Ameni.
 
Huyu shekh alikuwa anatafutwa na serikali kwa makosa ya uchochezi, kuna CD zilikuwa zinahamasisha waislamu wawaue mapadree, alikuwa akizungmzia mauaji ya kule Mombasa Kenya- akiwashangaa waislamu kuandamana badala ya kuwaua wakristo. Mungu amsamehe.


Tena turidanganywa naserikali kuwa alitoroka hakuwa nchini ndiyo maana hakukamatwa.
 
Huna hata ubinadamu kushabikia kifo cha binadamu mwenzio kisa tu, mmetofautiana imani? Jamaa, We una mkataba na muumba?

Simchukii kwasababu ni Muislaam ila nachukia matendo yake...hakika sasa Tanzania matishio yatapungua...

Bado Ponda.
 
sasa chuki kwishaaa..
r.i.p Ilunga tutaish kwa amani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom