Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Sheikh ameshajiondokea.mazuri na mabaya yake hatutayaona tena.tujihoji sisi tuliobaki, tunairithisha nini dunia ili siku tukiondoka,dunia imshukuru Mungu kwa enzi zetu,na watakaoendelea wapende kuendeleza yale tuliyoanzisha.
 
Ni yupi huyu, tafadhali picha kama iko maana wengine hatumfaham! Poleni sana wafiwa, Mungu awatie nguvu

mkuu hujawahi msikia shekh mmoja hivi kwenye crip moja hivi anatoa mawaidha akisema mimi napenda wanawake wenene miss bantu, neema za allah hizo, mimi napenda tu, unakuwa na mwanamke mmoja kwani mama yako huyo? utacheka balaa!
 
INNALILLAHI WAINNA ILAYHI RAAJI'UN.
Allahumma ghufirlil mayyitnaa,washaahidnaa,waghaaibnaa,waswaaghirnaa,wakaabirnaa,wadhaakirnaa,waunthana.
Allahumma,man ahyaitahu minna fa-ahyihi alal islaam. Waman tawaffaitahu minna tawaffihi alal iiman.
Allahumma,laa tajrimna ajrahu wala taftina ba'dahu.
 
Raha ya milele umpe ewe BWANA na mwanga Wa milele umwangazie.
Aliyotafanya ameyafanya hatumhukumu maana ni kiumbe wako, basi hatuna mamlaka juu yake, Pia basi tuna mapungufu yetu.
 
Innalil-lahi wain-na ilayhirajiuna - mpinzani wa kweli wa utawala unaonyanyasa ,mwenyezi mungu atatuletea mwingine mwenye upeo kama wake na zaidi ya wake. Kwa allah hakuadimiki kitu.
 
Ilunga amefariki huku bado hajakamilisha ndoto zake za kuwaua wakristo, nani ataenzi nafasi yake? Maustaadhi tujuzane tafadhali, Allah akbar, Allah akbar, Allah Akbar!
 
Acha upunguani wewe.

Pole mfiwa.. tumeondokewa na mtu makini hasa katika vita hii ya mfumo kristo.. kwanini Nyerere aitwe baba wa taifa lakini wazee wetu wa gerezani hawaitwi baba wa taifa..!
 
Muongo!Mnafiki!Unataka kusema wrote waliondoka ktk ulimwengu huu walitumia ulimi vbaya?Vp wanaokufa utotoni nayo walimkosea nn Muumba?
Unatakiwa kufanya utafiti huo kuhusu watoto ktk hali ya ustaarabu ili ueleweshwe,lakini ukiwa na jazba namna hiyo huenda hata ukweli ulioanza kuupinga hutakuwa tayari kuupokea.
Jaribu kupata fresh air kidogo na ku relax ili upatiwe ukweli kwa mujibu wa Maandiko matakatifi{Biblia} na si kutawaliwa na jazba,kwani kumbuka hasrira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.
Narudia kuwa Kazi ya Mungu haina makosa,Ukipanda uovu utavuna uharibifu. Ninayo majibu mazuri kwako kuhusiana na vifo vya watoto wasio na hatia,ukisha relax tunaweza kusaidiana,lakini ktk jazba ulonayo hutaweza kuelewa na jazba yako haitabatilisha ukweli kwa mujibu wa biblia.
 
Takbir, Allah Akbar, Allah Akbar, Allah Akbar hatimae tunaelekea makaburi ya Mwinyi Mkuu kumpumzika Shekhe Ilunga Hassan Kapungu.
 
Ilunga amefariki huku bado hajakamilisha ndoto zake za kuwaua wakristo, nani ataenzi nafasi yake? Maustaadhi tujuzane tafadhali, Allah akbar, Allah akbar, Allah Akbar!

Tupo wengi sana tena damu bado mbichiii....
 
Duh atakuwa anafaidi ma-bikira 72 sasa hivi huko aliko

Jamani hii ya mabikira sio haki ya kila mtu. Mi nijuavyo mt.ume aliitumia hii myth ili kuwa-convice askari wake kuupigania uisl.am hata kwa kifo na alijua akiwaambia akitumia hii myth ya kupewa mabikira 72 baada ya kuifia imani ya ui.slam watakubali.
Ila kuna clip moja ya she.he mmoja anasema "wanawake acheni wivu, ruhusuni waume zenu kuongeza wake walau muwe wanne. Kumbukeni kwa habari yenu sasa kama hamjasikia kule peponi hamtakuwa peke enu. Kama ni presha itawapanda haswaaa, maana wame wenu watapewa mabikira wareeeembo 72"
Hii ndo ilinifanya nianze kufikiri tofauti. Anyway, kila mtu na imani yake.
By the way, Karibuni kwa semina ya Neno la Mungu itakayoongozwa na mwl. Mwakasege hapa Morogoro!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Baadhi ya wajumbe wa ukawa wakiongozwa na maalim seif na prof lipumba wamehudhuria mazishi ya shekh ilunga dar
 
Tahadhari ya nn, kufa ama?
Sawa mimi nitakufa wewe utaishi milele?
Ukielewa maana halisi ya kufa huwezi kuuliza swali ulilo uliza.
Kifo halisi ni roho ya mwanadamu inapotengwa milele na Muumba wake.
Hiki unachodhania ni kifo,ni mwanzo wa maisha ya milele either na Muumba wako au na mwasi shetani Ahera milele.
Roho haifi mkuu,inaishi milele,ila maandalizi ya maisha ya milele ni sasa unapoweza kuamua mwenyewe wapi unataka kuishi milele. Mwili unapotengana na roho ni mwanzo wa maisha ya milele mkuu.Hivyo swala la kuvua hili coat(mwili) nakubaliana nawe ni letu sote lakini umilele upo mkuu.
 
Sasa na hii nayo ni habari? Inaelekea UKAWA imeshawatoa akili kabisaaaa?
 
Takbir, Allah Akbar, Allah Akbar, Allah Akbar hatimae tunaelekea makaburi ya Mwinyi Mkuu kumpumzika Shekhe Ilunga Hassan Kapungu.
 
Do terrorists go to heaven? As hateful as this so-called Sheikh was and as inciteful against Christians this man was, I find no sanctuary nor do I harbor any resentment over him. I do not feel joy nor sadness over his demise. I just hope he was able to make peace with his Creator for all the ill-will he wished his fellow man. I never agreed with this philosophy neither did I respect his deposits but I understood his position. Tolerance is a virtue. C'est la vie!
 
Sasa na hii nayo ni habari? Inaelekea UKAWA imeshawatoa akili kabisaaaa?

Mkuu ulitaka habari za aina gani labda, tatizo la kutaka habari zile tu zinazokufurahisha ni hatari any way mleta mada kanijuza nami nimejua kumbe seif na lipumba wamefika msiban vipi wewe ulijua!

BACK TANGANYIKA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom