Tanzia: Simwaba wa Meta Sekondari Mbeya afariki dunia

Tanzia: Simwaba wa Meta Sekondari Mbeya afariki dunia

Hivi landi mzee was kemia yupo bado meta

RIP ticha
landi mzee wa maneno mengi. alizingua kutuandalia practical ya kemia kwenye necta, kila tukifanya hamna badiliko lolote linalotokea, hapo kulia unataka na kucheka unataka maana hamna mtu aliyepata jibu, tukabaki tunaangaliana tu.
 
landi mzee wa maneno mengi. alizingua kutuandalia practical ya kemia kwenye necta, kila tukifanya hamna badiliko lolote linalotokea, hapo kulia unataka na kucheka unataka maana hamna mtu aliyepata jibu, tukabaki tunaangaliana tu.
Ila jamaa alikuwa poa sana kwenye prac alikuwa anajaza nyomi sana madenti wa iyunga,mbalizi,sangu,meta na shule za kata zote palikuwa hapatoshi .

Hata hivyo sisi iyunga tulikuwa na ticha mzuri sana wa kemia Madam Fumah
 
... nimefuatilia kwa karibu mnakasha huu! Watumishi aina ya Mwl. Simwaba ndio tulitegemea wawe promoted to ma-DAS na ma-DC; aina ya watu ambao utumishi wao hauna shaka! Lakini bahati mbaya ndio hivyo tena. RIP Mwl. Simwaba na wengie wa caliber yako.
 
Ila jamaa alikuwa poa sana kwenye prac alikuwa anajaza nyomi sana madenti wa iyunga,mbalizi,sangu,meta na shule za kata zote palikuwa hapatoshi .

Hata hivyo sisi iyunga tulikuwa na ticha mzuri sana wa kemia Madam Fumah
Yeah ni teacher mzuri sana, wanamtegemea sana kwenye kuandaa prac.
 
Dah si mchezo...old days are always good days....kuna umiseta moja tuliwahi kuchapana na watoto wa Iyunga...sema walituzidi wakorofi kinyama...
Ahaaaa JKT itende tulikuwa tunajiita,nadhani ilikuwa 1996 lipua sana transformer pale Rwanda magereza si unajua tulikuwa Tech watu walidhani mabomu
 
Kuna shule za private, za community (Kata) na government ( hizi kila kitu ni Mali na nguvu ya serikali)
Shule za Mbeya:
1. META GIRLS MIDDLE
SCHOOL darasa la 5 - 8
Local Gvt.
2. L.A. BOYS MIDDLE SCHOOL
(N.A) 5 - 8 Local Gvt.
3. LOLEZA GIRLS SECONDARY
SCHOOL form 1 - IV
4. IYUNGA (Mbeya School)
form 1 - IV.
5. MBEYA DAY SECONDARY
SCHOOL form 1 - IV
Sasa Meta Girls Middle School ilikwenda wapi? shule hii ilijengwa Forest karibu ya gereza.
 
You can never change kafira (Africa) but Kafira will change you.....R.I.P Simwaba tupo msibani hapa Majengo nyumbani kwake na kina ticha Seti,Gwimire,Landi,Mpwiniza na Njegite......Mzee Simwaba kafa ghafla bin vuu.
 
Ahaaaa JKT itende tulikuwa tunajiita,nadhani ilikuwa 1996 lipua sana transformer pale Rwanda magereza si unajua tulikuwa Tech watu walidhani mabomu
Mkuu kama ulikuwepo kwenye kundi la wale vijana.....basi mlikuwa hatari sana!!...maana mlipiga matukio ya hatari....nadhani impact yake mlikuwa hamuijui vizuri....
 
Mkuu kama ulikuwepo kwenye kundi la wale vijana.....basi mlikuwa hatari sana!!...maana mlipiga matukio ya hatari....nadhani impact yake mlikuwa hamuijui vizuri....
Utoto tena,wenzetu baadhi walifukuzwa na baada ya tukio FFU walipiga kambi Iyunga ilikuwa kulala kwenye mashamba ya mahindi.
 
Utoto tena,wenzetu baadhi walifukuzwa na baada ya tukio FFU walipiga kambi Iyunga ilikuwa kulala kwenye mashamba ya mahindi.
Utoto raha sana...Iyunga wanaenda kudoea wali MTC enzi hizo, ila MTC walafaidi sana kipindi kile.
 
Utoto tena,wenzetu baadhi walifukuzwa na baada ya tukio FFU walipiga kambi Iyunga ilikuwa kulala kwenye mashamba ya mahindi.
Duuh! balaa sana nakumbuka hilo tukio.....mliandamwa sana...kuna kichwa kimoja cha Iyunga kwenye umiseta moja ilifanyikia Iyunga kilikuwa kinajiita "Mkuu wa Luyu"....kilikuwa na mikwara kinoma kikiwa kwenye kundi na wenzake.....tulikidhibiti engo moja tukakipa kichapo cha hatari....ndio ukawa mwanzo na mwisho wa mm kukanyaga Iyunga.......
 
Duuh! balaa sana nakumbuka hilo tukio.....mliandamwa sana...kuna kichwa kimoja cha Iyunga kwenye umiseta moja ilifanyikia Iyunga kilikuwa kinajiita "Mkuu wa Luyu"....kilikuwa na mikwara kinoma kikiwa kwenye kundi na wenzake.....tulikidhibiti engo moja tukakipa kichapo cha hatari....ndio ukawa mwanzo na mwisho wa mm kukanyaga Iyunga.......
Ahaaaa ahaaaa,watu walikuwa wakorofi enzi hizo lakini muda wa class walikuwa wanajua nini wamefata.
 
Sazi salula, john mbena wp swala aka kusha, big, mtaliano, method, kingwande wp kibibi, simba sasa hv naskia ni mwalimu ganja man, dah siwezi kuendelea ila najua kati ya ni lio wataja hapa wengine ni memba ahhhh nimekumbuka wp bwenda hgl, wp flora, hv kimatale bado yupo? Aaah teddy, Eliza, frola. Rip simwaba
 
Wewe itakuwa umesoma HKL wewe [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahahaaa! Kwasababu Simwaba anasimama kwenye English,Gwimz kwenye Kiswahili... wakati Mtefu kwenye History 2.... hatari sana,R.I.P waalimu.
 
Back
Top Bottom