Tanzia: Simwaba wa Meta Sekondari Mbeya afariki dunia

Tanzia: Simwaba wa Meta Sekondari Mbeya afariki dunia

Josephat Sanga

Senior Member
Joined
Aug 29, 2016
Posts
151
Reaction score
98
Tarifa zinasema mwalimu simwaba amafariki tarehe 27/04/2019 uko jijini mbeya

Hakika tutamkumbuka kwa umahiri wake katika somo la kingereza, wanafunzi tuliopata kufundishwa naye tutamkumbuka kwa mengi katika somo la kingereza

Nenda simwaba nenda mwalimu siyo sisi tu hata taifa limekupoteza mwalimu mahili uliyeipenda kazi yako

R.I.P SIMWABA

meta.jpg
 
Tarifa zinasema mwalimu simwaba amafariki tarehe 27/04/2019 uko jijini mbeya

Hakika tutamkumbuka kwa umahiri wake katika somo la kingereza, wanafunzi tuliopata kufundishwa naye tutamkumbuka kwa mengi katika somo la kingereza

Nenda simwaba nenda mwalimu siyo sisi tu hata taifa limekupoteza mwalimu mahili uliyeipenda kazi yako

R.I.P SIMWABA
Pumzika kwa amani
GBWA-20190427230550.jpg
 
Duuu mbona sijasikia,, maana kama miezi miwili imepita alipita kijiweni kwetu hapa Mbalizi road tunapochomelea na tupo karibu na shule ya meta secondary,,,,,,,,,,,
Alikuwa anaumwa au????
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24],ulitufundisha Kiingereza kwa umahiri mkubwa (2003-2005),hakika sitakusahau.Rest in Peace my teacher!!
Nilikuwa natoka mbalizi kufata hicho kichwa.yawezekana wewe jamaa tukafahamiana mkuu.
 
R.I.P mwalimu,ni mw.mzuri alikua anaongea vizuri Sana.Mungu aifariji familia yake.
 
Dah! R.I.P simwaba mzee wa kafila will never change, We will miss you mzee simwaba, nasikia alikuwaga mwenyekiti wa panel ya somo la kingereza katika usahihishaji wa mitihani ya kidato cha nne na cha sita NECTA.
Ni kweli amefariki na hicho cheo.(mwenye wa panel ya kingereza.)
 
Back
Top Bottom