Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Ni kweli bangi tulikuwa tunavutia mto meta/mbaliz road/mabatini....duh...mby umekaa kumbe??
Khaa ....aisee..yes nimesoma pande hizo ...Lutengano walikua wazuri kwenye hesabu balaa...Mbeya day shazi la 4 balaa na zero..Iyunga walikua bright balaa...sema wakorofi mno mno...yaan ilikua tukiwaona pale mwanjelwa matron anasema waachen wapite hao..hahah...sisi hapo majority geti kali....kuja mbalizi tena yelewiiii....yaan those days bwana had raha