Tanzia: Simwaba wa Meta Sekondari Mbeya afariki dunia

Tanzia: Simwaba wa Meta Sekondari Mbeya afariki dunia

... nimefuatilia kwa karibu mnakasha huu! Watumishi aina ya Mwl. Simwaba ndio tulitegemea wawe promoted to ma-DAS na ma-DC; aina ya watu ambao utumishi wao hauna shaka! Lakini bahati mbaya ndio hivyo tena. RIP Mwl. Simwaba na wengie wa caliber yako.
Daah.. kweli,lakini hata hivyo anawakilishwa na baadhi ya wanafunzi wake,mfano Mtela Mwampamba ambaye ni DAS Kisarawe,alikua mwanafunzi wake 2005-2007.R.I.P mwalimu.
 
You can never change kafira (Africa) but Kafira will change you.....R.I.P Simwaba tupo msibani hapa Majengo nyumbani kwake na kina ticha Seti,Gwimire,Landi,Mpwiniza na Njegite......Mzee Simwaba kafa ghafla bin vuu.
Aliugua au ilikuaje,jamani mwalimu kanisikitisha sana.
 
Sazi salula, john mbena wp swala aka kusha, big, mtaliano, method, kingwande wp kibibi, simba sasa hv naskia ni mwalimu ganja man, dah siwezi kuendelea ila najua kati ya ni lio wataja hapa wengine ni memba ahhhh nimekumbuka wp bwenda hgl, wp flora, hv kimatale bado yupo? Aaah teddy, Eliza, frola. Rip simwaba
Kibibi.... mdada mmoja mweupeee........ hatari,au siyo huyo mkuu...?
 
Back
Top Bottom