Tanzia: Simwaba wa Meta Sekondari Mbeya afariki dunia

Tanzia: Simwaba wa Meta Sekondari Mbeya afariki dunia

Jamaa alikuwa anajua sana kuchambua Novels, plays ,Poems na Short stories akikusimulia kitabu huyo haina haja ya kukisoma unaenda tu kujibu kwenye pepa
 
Hebu mliofundishwa na huyo mwalimu mahiri wa kiingereza angalau kwenye uzi huu tu tujaribu kumuenzi kwa kutiririka kwa lugha hiyo aliyoipenda mpendwa wetu.
😂😂😂 akili za kupewa walichanganya na za kwao, R.I.P Mwalimu
 
Na kumbuka shule ya Meta ilikuwa ya serikali imekuaje sasa ni ya wazazi? Au Meta nyingine siyo ile ya Forest karibu ya gereza iliyotokea Loleza.
Meta haijawahi kuwa ya serikali. Shule za serikali Mbeya mjini enzi hizo zilikuwa tatu tu, Iyunga, Loleza na Mbeya Day. Sasa hivi ndio zimekuja nyingi sana hizi za Kata.
Meta, Sangu na Itende ni za wazazi chini ya CCM, Meta ilianza mdogo mdogo sana ilikuwa na jina kubwa kweli ila ukifika unakuta imejengwa na matofali ya matope, ila wanafunzi walikuwa nyomi na wengi walikuwa wanapenda kupanga magheto uswazi yaani forest, jakaranda na mabatini....
 
Hata mimi nilifundishwa na huyu mtaalamu wa lugha mwaka 2002 nikiwa kidato cha tano pamoja na walimu wengine kama Mtefu (history)na Mgaya (geography) ingawa mwaka uliofuata nilitimkia shule nyingine. Kiukweli alikuwa ni kichwa sana na hata "vitini" vyake vilikuwa vinaeleweka sana.
 
Hebu mliofundishwa na huyo mwalimu mahiri wa kiingereza angalau kwenye uzi huu tu tujaribu kumuenzi kwa kutiririka kwa lugha hiyo aliyoipenda mpendwa wetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I think you are right.
 
Jamani wanafunzi wa Meta walikua manunda...tulikua tukiwaona town sisi tunawashangaa hahaha si wa kike au kume..walikua kma bangi bangi hv ..lol..!kifupi meta ilikua chakaramu balaa..!
 
Back
Top Bottom