Hapana, Meta ilikuwa Middle School wasichana karibu na shule ya wasichana Saint Elizabeth na kabla ya hapo ilikuwa pamoja na Loleza sekondari, shule ya Middle ya wavulana ilikuwa NA baadae LA na ilikuwa karibu na uwanja wa mpira, shule ya wazazi ilikuwa Mabatini ikijulikana TAPA; Vinginevyo tuseme shule ya Meta iliyotokea Loleza imepotea kama ulivyopotea uwanjani wa mpira.
Kwa kifupi mimi nilisoma middle school ya LA na kisha Iyunga ambayo kabla ya hapo ilikuwa Mbeya School.
Swali, Mbeya haikuwa na shule ya middle ya wasichana?