byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,224
- 3,580
Simela ni wa juzi mkuu alikuwepo j4 aka Baba j tegemeo...Jamaa wanakufa sana Mkuu kina Juma Mpogo Omary Omary wote wametangulia...
Yule Mzaramo wa Segere naye katangulia.
Vp Jagwa bila Simera unaionaje?