thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,797
- 4,688
Jagwa Music - Vol. 4 Liwalo Na Liwe - Awesome Tapes From AfricaUnaweza kuziweka humu nasi tuzifaidi
Kwenye hiyo link ya wazungu kuna baadhi ya albam za jagwa zinapatakana humo
Jagwa Music - Vol. 4 Liwalo Na Liwe - Awesome Tapes From AfricaUnaweza kuziweka humu nasi tuzifaidi
Hii website nilikuwa naiangalia jana hata sikujua kama kuna list ya hizo track ,shukrani sanaJagwa Music - Vol. 4 Liwalo Na Liwe - Awesome Tapes From Africa
Kwenye hiyo link ya wazungu kuna baadhi ya albam za jagwa zinapatakana humo
Hua najiuliza sana hawa wanaoenda katika show za bongo flavour wanafuata nini hasa?Huwaga nashindwa kuelewa yani mtu unaenda kwenye show ya bongo fleva? Si bora uende kwenye bendi wanazopiga nyimbo za watu atleast u can dance mwanzo mwisho?
Kuliko kule playback wanakata kata unasikia yo yo yo piga keleee ...dj dj djjj ngoja kwanzaaa
Oyaa niendelee nisiendeleee...**** mako tumelipa ela zetu unatuuliza uendelee.
Ujinga sana
Piga keleeeeeeeeeeee oya dj dj ngoja kwanza dj stop kwanzaHua najiuliza sana hawa wanaoenda katika show za bongo flavour wanafuata nini hasa?
Binafsi sijawahi kuhudhuria lakini kupitia tv tuu sijawahi kuvutiwa kabisaaa.... ukijaribu kuangalia wenzetu ulaya live show zao utafurahi maana mtu hana playback
Mnanda unapigwa live huku unaona vyombo vyote na ubunifu, kule kwetu Yombo huu mziki una heshima yake
Hahahhaha, afu wanalipwa fedha nyingi sanaPiga keleeeeeeeeeeee oya dj dj ngoja kwanza dj stop kwanza
Oyaa mbona siwaskiia piga kelelee
Hah jamaa wananishangazaga sana
Ila hii album simskii Simera so inanipa matumaini jamaa wengine wataliendeleza gurudumu la Dege la Jeshi?Jagwa Music - Vol. 4 Liwalo Na Liwe - Awesome Tapes From Africa
Kwenye hiyo link ya wazungu kuna baadhi ya albam za jagwa zinapatakana humo
Nahisi album za zamani hizi.Ila hii album simskii Simera so inanipa matumaini jamaa wengine wataliendeleza gurudumu la Dege la Jeshi?
Yah ndio mana kundi lenyewe la zamani ila my point is hao jamaa waliobakia wanaweza kuliendeleza?Nahisi album za zamani hizi.
Sina uhakika, mi naona na lenyewe litakuwa kama seven survivors alipofariki juma mpogo.Yah ndio mana kundi lenyewe la zamani ila my point is hao jamaa waliobakia wanaweza kuliendeleza?
Mana hofu ni kua Jagwa itakufa....maana Simera ndo alikua Jangwa
Mm nashangaaga watu wanajazana kumuona Diamond akiimba kwa playback wakati kuna watu wanapiga madude live kabisa cha kusitisha jamii haiwapi heshima wanayostahili
Malumbano na zogo kubwa katika Basi lileeeee... Daah RIP Jack simela.
Yeah hivo nawezaUnaweza ku-convert to audio then una-upload hapa.Nina album yao moja tu Liwalo na Liwe
Nina album 4 za Jagwa.
Asha na Pili nazipenda sana
HahaaaaEnzi izo Bashite alikua hajaingia mjini bado