Tanzia: Msanii wa kundi la Jagwa Music Jack Simela afariki

Huwaga nashindwa kuelewa yani mtu unaenda kwenye show ya bongo fleva? Si bora uende kwenye bendi wanazopiga nyimbo za watu atleast u can dance mwanzo mwisho?

Kuliko kule playback wanakata kata unasikia yo yo yo piga keleee ...dj dj djjj ngoja kwanzaaa

Oyaa niendelee nisiendeleee...**** mako tumelipa ela zetu unatuuliza uendelee.

Ujinga sana
Hua najiuliza sana hawa wanaoenda katika show za bongo flavour wanafuata nini hasa?
Binafsi sijawahi kuhudhuria lakini kupitia tv tuu sijawahi kuvutiwa kabisaaa.... ukijaribu kuangalia wenzetu ulaya live show zao utafurahi maana mtu hana playback
Mnanda unapigwa live huku unaona vyombo vyote na ubunifu, kule kwetu Yombo huu mziki una heshima yake
 
Hua najiuliza sana hawa wanaoenda katika show za bongo flavour wanafuata nini hasa?
Binafsi sijawahi kuhudhuria lakini kupitia tv tuu sijawahi kuvutiwa kabisaaa.... ukijaribu kuangalia wenzetu ulaya live show zao utafurahi maana mtu hana playback
Mnanda unapigwa live huku unaona vyombo vyote na ubunifu, kule kwetu Yombo huu mziki una heshima yake
Piga keleeeeeeeeeeee oya dj dj ngoja kwanza dj stop kwanza
Oyaa mbona siwaskiia piga kelelee

Hah jamaa wananishangazaga sana
 
Miamba ya mnanda inazidi kutangulia mbele za haki.

Juma Mpogo keshakata kamba. Na sasa Jack Simela has joined the majority!! Daah R.I.P waswazi wenzetu.

From Temeke to Tandale, Tandika to Mbagala, Kigogo to Nyamala, Buguruni to Kiwalani... sote tunalia.

''Usiseme 'mpango mzima' mfukoni hauna hela''. by Simela. Long live mnanda.

Ladha za uswazi. Watoto mboga saba ushuani a.k.a Mom I need to Use your Car... hamuwezi kuelewa hizi ladha.

-Kaveli-
 
RIP Dogo Jack Simela, mmoja wa watu walinifanya nipende mchiriku.Poleni sana wapenzi wote Jagwa Musica.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom