Tanzia: Msanii wa kundi la Jagwa Music Jack Simela afariki

Ukiwa wa 'mikoani' mchiriku huwezi kuuelewa!
Mchiriku ndiyo nini? Hilo neno 'Mchiriku' linatokana na jina la ndege Chiriku?
Mtu mwenye kubwabwaja au kuongea ongea mfululizo vitu visvyoeleweka tulikua tunamwita Chiriku, basi kama huo Muziki unaitwa Mchiriku utakuwa ni Muziki wa hovyohovyo sana hata ukaitwa Mchiriku.
 
Msanii maarufu wa kundi la Jagwa Music ambaye alikuwa nyota wa kundi kwa sauti yake tamu na Nzuri bwana Jack Simela ametutoka kwa ajali ya gari aliyoipata mkoani Morogoro kwa kugongana na Scania.

Hii ni pigo kwa mashabiki wa Mchiriku sio tu Tanzana bali duniani kwa ujumla sababu Jack Simela alikuwa na mashabiki wengi Copenhagen,Berlin,ulaya na hata Marekani kwakuwa Kundi la Jagwa Music mara nyingi walikuwa wanaitwa kufanya ziara kwenye nchi mbalimbali za barani Ulaya


-Saidi michape
-kondakta

Ni baadhi ya ngoma nazikimbuka za Jagwa Music ambazo Simela alizinogesha ..





View attachment 961310View attachment 961311View attachment 961312View attachment 961313View attachment 961314View attachment 961315

RIP
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom