Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,498
- 1,297
Dah!nakumbuka wapi Jack simela,wapi Kamongo manja,wapi Bonge mzito,
Acha kabisa....Manjaliinoooo, Saidi Kichupi... hawa jamaa ni balaa
Mcheki hapa - Mwana wa Kitwana
Dah!nakumbuka wapi Jack simela,wapi Kamongo manja,wapi Bonge mzito,
Kati ya kondakta na mwanamgambo yule, kondakta anadai nauliyakee eeh na mgambo anasema yeye ni chombo cha dola.Malumbano na zogo kubwa katika Basi lileeeee... Daah RIP Jack simela.
Kati ya kondakta na mwanamgambo yule, kondakta anadai nauliyakee eeh na mgambo anasema yeye ni chombo cha dola.
Bonge la song...Ila huu sio wimbo wa Jagwa ni kundi lingine nadhani.
Tabia na uzuri wake asha ukanifanya nikatoe barua asha daaah R.I.P simela watoto wa kiswaz ndio zetu mboga saba hawaziwezDaah huu msiba mkubwa sana kwa sisi wapenzi wa muziki wa asili,wanangu wa kigogo,mburahati,manzese,mabibo mpaka mbagala.Alazwe pema mkali wa hizi kazi,sie bado tuko bampani.
Baba dulaaa oohh ohh ooohTabia na uzuri wake asha ukanifanya nikatoe barua asha daaah R.I.P simela watoto wa kiswaz ndio zetu mboga saba hawaziwez
Mkuu nimehuzunika sana mana nikishakula vitu vyangu ndio nyimbo zangu '"nikifikiria duniaaaa najuta kwann nimezaliwaaaaaBaba dulaaa oohh ohh oooh
bab dulaaaa
Na ile Kondakta.Hawa jamaa ni hatari sana.
Asha
Oscar Mkoba
liwalo na liwe
Sarafina
Mwana wa Kitwana
Kichwa cha Nyoka
Kuluthumu
Mpangaji Mungu
Napenda sana hizo nyimbo.
Mkuu nimehuzunika sana mana nikishakula vitu vyangu ndio nyimbo zangu '"nikifikiria duniaaaa najuta kwann nimezaliwaaaaa
Asante sana mkuu, nitawatafuta hawa.Wanaitwa chaukucha family...mwananyamala...ila watu wanachanganya!!
Ukiwa wa 'mikoani' mchiriku huwezi kuuelewa!Alikua anaimba kitu gani hapo?
Mchiriku ndiyo nini? Hilo neno 'Mchiriku' linatokana na jina la ndege Chiriku?Ukiwa wa 'mikoani' mchiriku huwezi kuuelewa!
Msanii maarufu wa kundi la Jagwa Music ambaye alikuwa nyota wa kundi kwa sauti yake tamu na Nzuri bwana Jack Simela ametutoka kwa ajali ya gari aliyoipata mkoani Morogoro kwa kugongana na Scania.
Hii ni pigo kwa mashabiki wa Mchiriku sio tu Tanzana bali duniani kwa ujumla sababu Jack Simela alikuwa na mashabiki wengi Copenhagen,Berlin,ulaya na hata Marekani kwakuwa Kundi la Jagwa Music mara nyingi walikuwa wanaitwa kufanya ziara kwenye nchi mbalimbali za barani Ulaya
-Saidi michape
-kondakta
Ni baadhi ya ngoma nazikimbuka za Jagwa Music ambazo Simela alizinogesha ..
View attachment 961310View attachment 961311View attachment 961312View attachment 961313View attachment 961314View attachment 961315