junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 976
Msanii maarufu wa kundi la Jagwa Music ambaye alikuwa nyota wa kundi kwa sauti yake tamu na Nzuri bwana Jack Simela ametutoka kwa ajali ya gari aliyoipata mkoani Morogoro kwa kugongana na Scania.
Hii ni pigo kwa mashabiki wa Mchiriku sio tu Tanzana bali duniani kwa ujumla sababu Jack Simela alikuwa na mashabiki wengi Copenhagen,Berlin,ulaya na hata Marekani kwakuwa Kundi la Jagwa Music mara nyingi walikuwa wanaitwa kufanya ziara kwenye nchi mbalimbali za barani Ulaya
-Saidi michape
-kondakta
Ni baadhi ya ngoma nazikimbuka za Jagwa Music ambazo Simela alizinogesha ..
Hii ni pigo kwa mashabiki wa Mchiriku sio tu Tanzana bali duniani kwa ujumla sababu Jack Simela alikuwa na mashabiki wengi Copenhagen,Berlin,ulaya na hata Marekani kwakuwa Kundi la Jagwa Music mara nyingi walikuwa wanaitwa kufanya ziara kwenye nchi mbalimbali za barani Ulaya
-Saidi michape
-kondakta
Ni baadhi ya ngoma nazikimbuka za Jagwa Music ambazo Simela alizinogesha ..