titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,572
- 9,760
Kuna movie inaitwa chumo mle ndani yake kuna nyimbo inaitwa mwana wa kitwana ni mchiriku yule ambaye anayeuimba ndio huyo ambae amefariki..? Kundi ni jagwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna movie inaitwa chumo mle ndani yake kuna nyimbo inaitwa mwana wa kitwana ni mchiriku yule ambaye anayeuimba ndio huyo ambae amefariki..? Kundi ni jagwa
Wapi dalii kimoko.... director gola!....Dah!nakumbuka wapi Jack simela,wapi Kamongo manja,wapi Bonge mzito,
Jagwa ndo wasanii waliokua wanafanya Show za ukweli huko mbele . Ukweli ndo huoHawa ndio wale wanaowekaga mikakati ya kufungia nyimbo na wasanii.
Jagwa wameliwakilisha Taifa pengine kuliko hata Diamond ingawa ukweli huwa hausemwi.
Diamomd kateka kimataifa ipi hiyo mkuu?Utashangaa TBC inakuwekea festivals za walami watupu au wachina tu wakati kuna watanzania wanaperform ile mbaya.
Kwa maini yangu Diamond ameweza kuteka kimataifa baada ya kutumia vionjo vya mnanda.
Jamaa wanakufa sana Mkuu kina Juma Mpogo Omary Omary wote wametangulia...Huyu ndio aliyekuwa amebaki ktk waimbaji wakali miaka hiyo ktk wakongwe alikuwa mdogo sana anaitwa Dogo Jaq msiba wa huyu dogo umeniuma sana
Enzi izo Bashite alikua hajaingia mjini badoDah...kitambo sana. Tmk mikoroshoni,mtoni, mwananyamala manzesee,kiwalani.nk ..kipindi hicho Dar ndio Dar.
Watu wa Mkoani bhana utawajua tu.Alikua anaimba kitu gani hapo?
Mm pia mshabiki wa huu mziki, nilikuwa namuhusudu sana huyu jamaa anavyoimba japo nilikuwa sijui jina lake ....upumzike kwa amani kakaAisee mziki wa hisia sana huu, kwa sie wakazi wa Temeke hii ni burudani yetu maridhawa kabisa, ukiikuta live acha kabisa,
Mola amrehemu
Jagwa bila jack ni kama chai bila sukari ase hii ni pigo sana kwa Jagwa wanaweza kuendelea lakini bila jack ladha imepotea maana huyu ndio alikuwa star na anaibeba sana jagwa na kama muimbaji mkuu..Hata ukitembelea page fb utaona wazungu wanamuongelea sana huyu wanamuita jackieHuyo ndo MSANII PEKEE kutoka Tanganyika aliyekua anaenda mbele KUFANYA SHOW!
Wengine wote wanaenda kwenye vitchen party vya wabeba mabox wa kibongo.
Huyu jamaa ndo alikua wa kuitoa Tanganyika kimataifa katika muziki!
Jagwa Music bila Jack Simera itakuaje sasa? Any ideas?
Jagwa ilikuwa na waimbaji wangapi?Jagwa bila jack ni kama chai bila sukari ase hii ni pigo sana kwa Jagwa wanaweza kuendelea lakini bila jack ladha imepotea maana huyu ndio alikuwa star na anaibeba sana jagwa na kama muimbaji mkuu..Hata ukitembelea page fb utaona wazungu wanamuongelea sana huyu wanamuita jackie
Jagwa itakuwa sio ile tena sabb jackie alikuwa anautofauti sana na waimbaji wengine wa fani hii
Nalitambua hilo swala mkuu ndo mana nikajua kama kuna mrithi wake ?Jagwa bila jack ni kama chai bila sukari ase hii ni pigo sana kwa Jagwa wanaweza kuendelea lakini bila jack ladha imepotea maana huyu ndio alikuwa star na anaibeba sana jagwa na kama muimbaji mkuu..Hata ukitembelea page fb utaona wazungu wanamuongelea sana huyu wanamuita jackie
Jagwa itakuwa sio ile tena sabb jackie alikuwa anautofauti sana na waimbaji wengine wa fani hii
Huo ndo ukweli unaofichwa mKuu...ila tunaonesha wakina fulani wakienda kufanya show za vitchen party kwa wabeba maboxWazungu walikuwa wanacheza mnanda kama hawana akili nzuri.
RIP JackyView attachment 962639View attachment 962640View attachment 962641
Hili kundi la Jagwa la mnanda ndio hili hili la miaka ya 90's? Je Simela alianza nalo au alijiunga kati kati na lini?Wazungu walikuwa wanacheza mnanda kama hawana akili nzuri.
RIP JackyView attachment 962639View attachment 962640View attachment 962641