ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,725
Mnanda wa jagwa sio POA nimehudhuria mapumziko ya weekend maeneo ya wazaramo nilifurahi kuzisikiliza
Halafu cha kustaajabisha daily wanaitwa ulaya wakaperfom na kumbi zinajaa nyomi kuliko hata akina kiba au Dai tena wote wanaojaa ni wazungu weupe, juzi tu walikuwa Uganda kwenye festivalVyombo vyetu vya habari havituhabarishi performance hizi hadi wapewe vibahasha.
Ha ha ha ...wale wameuedit for viewers around the Globe.Mnanda wa jagwa sio POA nimehudhuria mapumziko ya weekend maeneo ya wazaramo nilifurahi kuzisikiliza
Utashangaa TBC inakuwekea festivals za walami watupu au wachina tu wakati kuna watanzania wanaperform ile mbaya.Halafu cha kustaajabisha daily wanaitwa ulaya wakaperfom na kumbi zinajaa nyomi kuliko hata akina kiba au Dai tena wote wanaojaa ni wazungu weupe, juzi tu walikuwa Uganda kwenye festival
Huku Bongo heshima hawakupewa ile waliyostahili
Ha ha ha ...wale wameuedit for viewers around the Globe.
Tafuta Gari kubwa mkuu
Mara nyingi wapenda burudani hasa za kwenye matamasha au club wanauzoefu wa fujo baada ya burudani.huu mziki ulisumbua sanaa.
mpaka ukaitwa wa wahuni.kitaani kukipigwa mjiandae kwa fujo.
gari kubwa hawa hapa nyimbo Ali Mwinyi.enzi hizo za utawala wa mwinyi
Halafu cha kustaajabisha daily wanaitwa ulaya wakaperfom na kumbi zinajaa nyomi kuliko hata akina kiba au Dai tena wote wanaojaa ni wazungu weupe, juzi tu walikuwa Uganda kwenye festival
Huku Bongo heshima hawakupewa ile waliyostahili
Yaani ukiwa DEREVA SIKU hizi kunywa kabisa via red bull kukuepushia uchovu ,ajali Nyengine ni usingizi tu.
sina mkuu,aissee hili ni pigo kwenye tasnia, hawa jamaa walikuwa wanaamshaamsha balaa kwenye show zaoMSAGA SUMU una taarifa hizi?
Hawa ndio wale wanaowekaga mikakati ya kufungia nyimbo na wasanii.
Jagwa wameliwakilisha Taifa pengine kuliko hata Diamond ingawa ukweli huwa hausemwi.