funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,560
- 21,040
Nimeuliza hivyo kwa kuwa namjua kupitia kampuni yake waliwahi kulinda kwangu wakati naishi Moro. Wenye kumjua wamesema ni yeye. Nimewapigia simu pia na nitawarushia ya ubani sitaishia kusema pole hapa JFwe toa pole..hayo mengine ukiyajua hayatakusaidia chochote.