Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Pole kwa wafiwa
Ukiona mtu katoa taarifa nusunusu we jiongeze tu mkuu ujue ndy yaleyaleKutuambia amefariki tu bila kutoa chanzo cha kifo chake,taarifa inakuwa haina tija kamili.
Sent using iphone pro max
CoronaUkiona mtu katoa taarifa nusunusu we jiongeze tu mkuu ujue ndy yaleyale
Sent using Jamii Forums mobile app
Naibu Meya Manispaa ya Morogoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Diwani wa Kata ya Kiwanja cha Ndege, Isihack Sengo amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Aprili 27, 2020 mkoani Morogoro.
Corona