Hmm, mbona mambo mazito hivi mwaka huu!
Huu mwaka ukiamka asubuhi unajikagua kama bado upo Duniani au Mbinguni..
Huyu sie yule jamaa mwenye Sengo Security?
Maana kama siyo ugonjwa,basi utakufa kwa presha za biashara kukwama.Hivyo ni vema ulale na mtu wa karibu unapoamka muanze kuhojiana mlipo ni wapi!
IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
Kabisa pressure zitatuua sana 2020Maana kama siyo ugonjwa,basi utakufa kwa presha za biashara kukwama.Hivyo ni vema ulale na mtu wa karibu unapoamka muanze kuhojiana mlipo ni wapi!
IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
Ndugu Trillion,MACCM yalijisahau yanatuua na kututesa sana, acha Muumba awshitue labda wataelewa, dhuruma dhidi ya Watanganyika hakubaliki.
Toa full details. Alikuwa na shida ya kupumua?
Huyu sie yule jamaa mwenye Sengo Security?
Namfahamu aisee. Mwenyezi Mungu amrehemuNdio huyo huyo mkuu
we toa pole..hayo mengine ukiyajua hayatakusaidia chochote.Huyu sie yule jamaa mwenye Sengo Security?