DAGAA WA MWANZA
Senior Member
- Jan 27, 2019
- 169
- 464
Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro, Isihaka Sengo amefariki dunia leo, Aprili 27, 2020 katika Hospital ya Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA). Imeelezwa kuwa alikuwa akisumbuliwa na kisukari na shinikizo la damu
Alikuwa ni Diwani wa Kata ya Kiwanja cha Ndege iliyopo ndani ya Manispaa
Alikuwa ni Diwani wa Kata ya Kiwanja cha Ndege iliyopo ndani ya Manispaa