Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
huyu hata wasira anampiga chini au yule mpinzani wa museveni kule Uganda Dk
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Byesige😂😂😂
huyu hata wasira anampiga chini au yule mpinzani wa museveni kule Uganda Dk
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Daa weee jamaaLile shindano lilikuwa la Dar mana watu kutoka mikoani wasingeweza kusafiri,haisee kuna sura mbovu huko kanda ya ziwa masoud mrembo
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya jitihada uione yakwangu.
My shemeji utakuwa vere hendisamu
Hebu tuwekee yako tuone
Unaweza kukuta ni Head-SomeMy shemeji utakuwa vere hendisamu
Mademu wanapenda sana watu maarufu bila kujali aina ya umaarufu wao. Sasa hivi hata "P. Hela Likwidi" atakuwa anaandamwa sana na mademu ili awafikishe huko juu kileleni.Mademu wa ilala walikuwa wakigombana kwa ajili ya sura hiyo hiyo kweli CCM oyee
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahahLile shindano lilikuwa la Dar mana watu kutoka mikoani wasingeweza kusafiri,haisee kuna sura mbovu huko kanda ya ziwa masoud mrembo
Sent using Jamii Forums mobile app
pigo kwa Taifa ! watu wema wanapukutika mijitu yenye roho mbaya inadunda !
Papo fiki kikoloMkuu umenifanya nicheke ile mbaya " SURA MBOVU" Duuu!!!! ,,,,Hii kali ya funga Mwaka.