JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,938
Aiseee!Lile shindano lilikuwa la Dar mana watu kutoka mikoani wasingeweza kusafiri,haisee kuna sura mbovu huko kanda ya ziwa masoud mrembo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hebu acha masihara umeiangalia hiyo sura kwa umakini!!! Yani sura haikuishia tu kua mbaya bali ilikua mbovu vilevile. RIP bro
Kufa ni wajibu mkuu!Huu mwaka unanyakua watu Sana,kueni waangalifu
Eboo! marehemu hasemwi vibaya mkuu! Muache mtani akapumzike kwa amani! Aliwapa changamoto tamu sana!
Kila kiumbe chenye uhai kitaonja umauti,Kifo hakiepukiki,ulitoka kwa udongo na utarudi kwa udongo,huo ndio mwisho wa viumbe vyote vilivyo hai.Huu mwaka unanyakua watu Sana,kueni waangalifu
Umenena vyema mkuu!Kila kiumbe chenye uhai kitaonja umauti,Kifo hakiepukiki,ulitoka kwa udongo na utarudi kwa udongo,huo ndio mwisho wa viumbe vyote vilivyo hai.
Nakumbuka yale mashindano nilihidhuriaKwa ile afya amedumu sana jaman!
Kweli aisee RIP mzee masoudJamaa kafanana na Smeagol the Gollum.
Hahahaha R.I.P mzee Masudi.
Mademu wa ilala walikuwa wakigombana kwa ajili ya sura hiyo hiyo kweli CCM oyee
Daah masoud sura mbayaa jamani
Mkuu umenifanya nicheke ile mbaya " SURA MBOVU" Duuu!!!! ,,,,Hii kali ya funga Mwaka.Lile shindano lilikuwa la Dar mana watu kutoka mikoani wasingeweza kusafiri,haisee kuna sura mbovu huko kanda ya ziwa masoud mrembo
Sent using Jamii Forums mobile app