Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 768
...Mkuu, ninakumbuka haya Dr Remmy alisema hivyo hivyo wakati akikata rufaa kwa kunyimwa Ushindi kwenye mpambano ule eti kwa sababu mpinzani wake Masoud alikuwa ni Mrembo tu kulinganishwa na yeye...!Lile shindano lilikuwa la Dar mana watu kutoka mikoani wasingeweza kusafiri,haisee kuna sura mbovu huko kanda ya ziwa masoud mrembo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kali 'sura mbovu' jibholile,,,,,, angonywile imbafu uju!!!!
Kuna siku nilioneshwa kule posta daa nilimtizama mara 2 mbili jamani nikaona huruma kabisa
Pamoja na ujana wake alionekana sura mbovu balaa na ndo maana aliibuka mshindi.kipindi hicho masoud alikuwa bado kijana mdogo sana kuzidi washindani wake....sijui alivyozeeka sita ilikuaje