Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,620
- 20,951
Amefariki leo siku ya Jumamosi, na kwa kwa mujibu wa ndugu wa marehemu atazikwa kesho katika makaburi ya Ilala Kota Mchikichini.
INNALILAHI WA .....
APUMZIKE KWA AMANI.
Hapo kwenye picha ni Remmy Ongala(katikati) Masudy sura mbaya(kushoto) na Mzee Jangala(kulia).
Kulikuwa na shindano la mtu mwenye sura mbaya kuliko wengine Tanzania na hawa ndio vinara watatu bora ambapo: -
1. Alichukua Masudy Sura Mbaya
2. Akachukua Remmy Ongala
3. Ikakamatwa na Mzee Jangala
Kilicho staajabisha watu zaidi ni pale Remmy Ongala alipolalamika saaaana kuwa ameonewa kwamba alikuwa anastahiri kuibuka mshindi wa kwanza yeye na sio Masudy. Akasema "jamani Masudy hanishindi kwa ubaya majaji mmembeba"
Masoud Sura Mbaya kama anavyojulikana sasa ni msanii ambaye alivuma miaka ya 90 baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya mwanamume mwenye sura mbaya.
Kwa mara ya kwanza alishiriki katika mashindano ya wanaume wenye sura mbaya yaliyofanyika Buguruni Dar es Salaam na kuibuka mshindi wa kwanza ambapo alipata zawadi ya redio.
Mashindano hayo ya kusisimua yalifanyika kwa mara ya pili katika Wilaya ya Kinondoni ambapo, Masoud aliwashinda wasanii wengine maarufu wakiwamo mwanamuziki wa siku nyingi Remmy Ongala na msanii maarufu wa vichekesho Khalid John, maarufu kama Mzee Jangala.
Masoud anasema anaamini kuwa hakuna mwanamume mwenye uwezo wa kumnyanganya nafasi hiyo nchini Tanzania kwa kuwa ana uwezo wa kubadilisha sura yake kwa kutumia hisia mbalimbali. Mimi ni sura mbaya nambari wani Tanzaniawa kunishinda hajapatikana.
Wapo waliojaribu kukata rufaa kupinga ushindi wangu lakini niliwashinda hata kwenye rufaanajivunia ushindi wangu na kila ninapojiangalia kwenye kioo naona wazi kuwa nina haki ya kushinda, anasema Masoud.
Zaidi soma;
INNALILAHI WA .....
APUMZIKE KWA AMANI.
Hapo kwenye picha ni Remmy Ongala(katikati) Masudy sura mbaya(kushoto) na Mzee Jangala(kulia).
Kulikuwa na shindano la mtu mwenye sura mbaya kuliko wengine Tanzania na hawa ndio vinara watatu bora ambapo: -
1. Alichukua Masudy Sura Mbaya
2. Akachukua Remmy Ongala
3. Ikakamatwa na Mzee Jangala
Kilicho staajabisha watu zaidi ni pale Remmy Ongala alipolalamika saaaana kuwa ameonewa kwamba alikuwa anastahiri kuibuka mshindi wa kwanza yeye na sio Masudy. Akasema "jamani Masudy hanishindi kwa ubaya majaji mmembeba"
Masoud Sura Mbaya kama anavyojulikana sasa ni msanii ambaye alivuma miaka ya 90 baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya mwanamume mwenye sura mbaya.
Kwa mara ya kwanza alishiriki katika mashindano ya wanaume wenye sura mbaya yaliyofanyika Buguruni Dar es Salaam na kuibuka mshindi wa kwanza ambapo alipata zawadi ya redio.
Mashindano hayo ya kusisimua yalifanyika kwa mara ya pili katika Wilaya ya Kinondoni ambapo, Masoud aliwashinda wasanii wengine maarufu wakiwamo mwanamuziki wa siku nyingi Remmy Ongala na msanii maarufu wa vichekesho Khalid John, maarufu kama Mzee Jangala.
Masoud anasema anaamini kuwa hakuna mwanamume mwenye uwezo wa kumnyanganya nafasi hiyo nchini Tanzania kwa kuwa ana uwezo wa kubadilisha sura yake kwa kutumia hisia mbalimbali. Mimi ni sura mbaya nambari wani Tanzaniawa kunishinda hajapatikana.
Wapo waliojaribu kukata rufaa kupinga ushindi wangu lakini niliwashinda hata kwenye rufaanajivunia ushindi wangu na kila ninapojiangalia kwenye kioo naona wazi kuwa nina haki ya kushinda, anasema Masoud.
Zaidi soma;
Masoud Sura Mbaya
Mwanaume Alivyotumia Sura Mbaya Kupata Umaarufu, Marafiki Imeandikwa na Kaanaeli Kaale; Tarehe: 14th September 2009 Masoud Sura Mbaya kama anavyojulikana sasa ni msanii ambaye alivuma miaka ya 90 baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya mwanamume mwenye sura mbaya. Kwa...
www.jamiiforums.com