Watu
Platinum Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,472
Kwamba sasa afisa wa TAKUKURU Bhoke Ryoba ameuawa na "watu wasiojulikana" mbele ya kadamnasi ya watu inaendeleza kile ambacho wengine tumekisema kwa miaka sita sasa - kuna tatizo la msingi la muundo na utendaji katika Usalama wa Taifa.
Ninakumbushia tu.
Kama wajua y? Kauwawa tudadavulie usilete majungu utajishushia hadhi yako?