Sawa kaka wewe si upo tanzania na sisi tuko nchi nyingine hatui kinachoendelea ndani ya nchi!Acheni ushabiki wa kisiasa, NEC wanafanya haki yao kwa mujibu wa sheria. Nyie mwataka NEC ifanye kazi kwa mujibu wa vyama vyenu ambacho hakiwezekani. Kama chama chako kimeshindwa kuwa mpole na jipange kwa 2015.
Nadhani anayepinga hoja kwmba tume ni mamluki ya ccm naye katumwa tangu lini mkurugenzi wa halimashauri atakiuka amri ya rais? Kwani hajaona makambiii alivyokwenda kubadili matokeo shinyanga mjini wakiwa na jiziiwaneee? Huu ni ukandamizaji na ndio unatuletea umaskini na maisha duni yasiyokuwa na tija, ni ukaburu unaofanyika hakuna haki ni utapeli na ubeberu wa ajabu unaofanyika ni uzandiki -bora kusiwe na uchaguzi watangaze wao watawale manake tunajua ni masultani, akifa mmoja mtoto au mjukuu anachukua huu ni wendawazimu mkubwa
GeniusBrain bana, yaani wewe unavyoona ni sawa tu? Anyway, naona ulaji wako wa kodi zetu uko poa.
Lakini cha msingi tujaribu kuona sasa ni wapi kuna mapungufu ya NEC na kama hali ndo hiyo unadhani watu ni wajinga, acha watu waendelee kupata shida lakini yana mwisho wake.
Na tutarudi kwenye hii sehemu siku moja na ukweli utawekwa bayana. Na watu watanyea debe.
Nchi nyingi tu tume nyingi zinateuliwa na Rais. Hoja hapa ni nyie kutaka Tume ifanye mnavyotaka nyie , hili haliwezekani. Inafanya kazi kwa mujibu wa sheria ya nchi na sheria ya uchaguzi.
Kikwete is a shame to Tanzania