Tanzania's National Electoral Commission is toothless

Tanzania's National Electoral Commission is toothless

Kikwete is a shame to Tanzania

Wala hakuna shaka na hili , yeye amekuwa sana akijisifia kwa jnsi anayojua kuomba misaada kwa wazungu, kwa maneno yake wamarekani, kuna dada anaitwa Lisa M. Rockefeller kamchana live!
Aibu tunayo wa TZ!!
 
Hata mimi nimeanza kuwa na mashaka sana. Inashangaza sana kuona matokeo yanatangazwa kwenye maeneo ambayo JK kashinda. Hatusikii matokeo ya uraisi kutoka Mbeya, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro, Dar ambako ndo kuna wakazi wengi sana. Kuna nini kinaendelea hapa?
 
Nec haisimamii haki kwa sababu ya kukosa meno! Haiko huru kabisa
 
Kitu cha kwanza ni kuivunja hii NEC Mkienda bungeni please kama inawezekana
 
Mtu mwenye busara siku zote huwa hakurupuki kwenye maamuzi. Unajua hivi sasa CCM na serikali yake inataka pa-kusingizia.

Wamsingizie nani?? wakati wanajua fika wapi mapungufu yao yaliko? wasisontee mtu kidole hata siku mmoja

 
Hii national erosion committee naona imekuwa ni chama cha siasa na imeamua kutoa order ya wapi matokeo yatangazwe na saa ngapi. This is rediculous!!!!!!!!!!!!!!!!!. Not free and fair but a fear and false election.
 
hii national erosion committee naona imekuwa ni chama cha siasa na imeamua kutoa order ya wapi matokeo yatangazwe na saa ngapi. This is rediculous!!!!!!!!!!!!!!!!!. Not free and fair but a fear and false election.

wajitangaze mara ngapi?mie walipoanza kuyumbisha tu nikajua mh walewale
 
NEC Wanajisifia wamewahi kutoa matokeo tofauti na miaka mingine:sad:
check ITV Live
 
Wehu! Wakati hadi sasa kuna matokeo ya ubunge na udiwani wanayabania.
Na hayo matokeo ni ya mikoa ya pwani tui ndio yamewahi kutangazwa!!
 
:nono: :nono::nono::nono::nono:Sikubaliani na sifa isiyo na miguu wala kichwa labda kama wanajisifu kwa ubingwa wa kuchakachua.
 
Eti wanasingizia computer,miaka 5 walikua wapi kujua kutumia technology ya kisasa.jenerali ulimwengu kawaambia live bbc wajiuzulu wale wazee wa nec wawaachie vijana wenye upeo chanya.
 
Ni kweli this time kuna improvement..lakini mambo yangekuwa mswanu zaidi iwapo kila kitu kitakuwa kinajumlishwa kwenye vituo na matokeo yote kuinbgia kwenye active database ili at any given time unaweza kujua maendeleo ya atokeo moja kwa moja. Kituo kikifuyngwa biashara zote zimekamilika. Hii itawapa wananchi imani kwamba hakuna uchakachuaji na wanaogoma kusaini matokeo hawatakuwa na hoja nyingi sana za kujibu.
 
Katika kuonesha kuwa Tanzania hakuna tume huru ya uchaguzi majimbo mengi ambayo either wapinzani wamekaribia kushinda au kushinda kabisa, NEC imechelewa sana kutangaza matokeo hadi mashinikizo.

Jioni ya leo ITV wamewasiliana na Mkurugenzi wa uchaguzi Bukoba wanadai eti Mwaka huu wanatumia mfumo wa Computer ni mgumu sana. ila unasaidia, unajiuliza je huko kwingine wanatumia mfumo tofauti? Eti ni slow sana kweli computer nii slow na watu je? na hiyo ni technolojia au tatizo la ubongo wa watu?

halafu wanasema jiografia, hivi Dar ina Jografia gani mbaya kuliko Kigoma au Songea peramiho au Njombe!
Mbona wenzeetu zanzibar wameharakisha tu?

Lakini kwanini wakurugenzi wa wilaya na manispaa ndiyo wawe na madaraka ya ki NEC hali wao wanaripoti kwa mgombea mmojawapo? Haja ya kuwa na Slaa inaonekana wazi kabisa.

mabadiliko Tanzania yanatakiwa haraka hata kama watu wake wengi ni masikini na wajinga wasioelewa haki zao. Inauma sana kuona watu wanakwapua haki za watu wazi wazi hivi
 
Ivi unaweza mtangaza bosi wako kashindwa?
 
Lakini kwanini wakurugenzi wa wilaya na manispaa ndiyo wawe na madaraka ya ki NEC hali wao wanaripoti kwa mgombea mmojawapo? Haja ya kuwa na Slaa inaonekana wazi kabisa.

mabadiliko Tanzania yanatakiwa haraka hata kama watu wake wengi ni masikini na wajinga wasioelewa haki zao. Inauma sana kuona watu wanakwapua haki za watu wazi wazi hivi
progress.gif

Reply

Cha muhimu ni swali je NEC ni huru?

Hata kama wanasifa lakini chombo hicho siyo huru uchakachuaji ni mwendo mdundo................
 
Ivi unaweza mtangaza bosi wako kashindwa?
Kimsingi haya wanayofanya wamezidi kabisa, hadi wanaonesha ujinga wao na kuficha hekima yao NEC kwa kweli inatia aibu kubwa, Computer inajumlisha polepole!
Anyway bosi baadaye hasa kwa TZ tuliyonayo sasa. Bora utende haki
 
Back
Top Bottom