Tuwasikilize wenye akili kubwa kuiboresha nchi yetu

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,620
46,260
1.Tundu Lissu
Majimbo ya uchaguzi yagawanywe kulingana na idadi ya watu, sio jiografia au matakwa na maslahi binafsi tu ya watawala kama ilivyo sasa. Mkoa wa mtwara wenye wapiga kura laki tisa una majimbo 10 ya uchaguzi sawa na mkoa wa Dar es Salaam wenye wapiga kura million tano na nusu nao una majimbo 10 tu ya uchaguzi huku Zanzibar yenye wapiga kura laki tano ina majimbo 50 ya uchaguzi!

2.Fatma Karume
Tume ya uchaguzi haina mamlaka ya kuwaondoa watu kiholela na kinyamelea kwa sababu ya kukosea tu kujaza fomu za uchaguzi au kutoweka nukta mwisho wa sentensi. Pia tume ya uchaguzi isitumike kufanya mambo ya hovyo kama watumishi wake kujificha ile kutopokea fomu za wagombea wa upinzani. Hata majaji wa mahakama huwa wanakosea kuliita na kuandika jina lake, fatuma badala ya fatma!

3.Ananilea Nkya
Viti maalumu vya ubunge havina faida yoyote kwa sababu wabunge wa viti maalumu hawawajibiki wa jimbo lolote. Kwa miaka mitano wabunge 113 wa viti maalumu wanalipwa billion 200 ambazo zinaweza kulipia bima ya afya kwa watoto wote wa nchi kwa kipindi hicho.
 
Chadema iitishe uchaguzi haraka sana, mwenyekiti wake amepitiliza kukalia kiti, hii si afya katika chama kinachojitanabai ya kwamba kina demokrasia safi, hili sio demokrasia hilo ni udikteta, hii inareflect nini kitatokea watakapo twaa madaraka.
 
Chadema iitishe uchaguzi haraka sana, mwenyekiti wake amepitiliza kukalia kiti, hii si afya katika chama kinachojitanabai ya kwamba kina demokrasia safi, hili sio demokrasia hilo ni udikteta, hii inareflect nini kitatokea watakapo twaa madaraka.
Bora hata uenyekiti wa CHADEMA na ACT watu huwa wanachukua fomu na kugombea kisha mshindi anatangazwa.
 
1.Tundu Lissu
Majimbo ya uchaguzi yagawanywe kulingana na idadi ya watu, sio jiografia au matakwa na maslahi binafsi tu ya watawala kama ilivyo sasa. Mkoa wa mtwara wenye wapiga kura laki tisa una majimbo 10 ya uchaguzi sawa na mkoa wa Dar es Salaam wenye wapiga kura million tano na nusu nao una majimbo 10 tu ya uchaguzi huku Zanzibar yenye wapiga kura laki tano ina majimbo 50 ya uchaguzi!

2.Fatma Karume
Tume ya uchaguzi haina mamlaka ya kuwaondoa watu kiholela na kinyamelea kwa sababu ya kukosea tu kujaza fomu za uchaguzi au kutoweka nukta mwisho wa sentensi. Pia tume ya uchaguzi isitumike kufanya mambo ya hovyo kama watumishi wake kujificha ile kutopokea fomu za wagombea wa upinzani. Hata majaji wa mahakama huwa wanakosea kuliita na kuandika jina lake, fatuma badala ya fatma!

3.Ananilea Nkya
Viti maalumu vya ubunge havina faida yoyote kwa sababu wabunge wa viti maalumu hawawajibiki wa jimbo lolote. Kwa miaka mitano wabunge 113 wa viti maalumu wanalipwa billion 200 ambazo zinaweza kulipia bima ya afya kwa watoto wote wa nchi kwa kipindi hicho.
 
Nchi yetu ilipofikia sasa inahitaji Rais ajaye awe Katili sana. Aje awatapishe mafisadi pesa zote walizopora, walizoficha Nje ya Nchi zirejeshwe, wafungwe gerezani au tuwatie ndani, aaachane na Plea Bargain inahamasisha wizi.

Barabara ya Dar Moro Mbeya ipigwe njia njia nne.

DPW Wafukuzwe Bandarini.

Tupanue Bandari ya Salama meli ikifika hakuna kusubiri.

Sitisha Bandari ya Bagamoyo.

Fukuza Mwizi anayetaka kuumiza Watanzania na Barabara ya KIBAHA - CHALINZE kwa kulipia.

Eneo la Kurasini liliolipiwa fidia na Serikali Boresha na Gawia Nchi za Rwanda, Zambia, Malawi nk ambazo ni wateja wa bandari zetu wapaki gari zao bure.

FUTA ICD zoote za huku vichochoroni maana ndizo zinasababisha adha na uharibifu wa barabara.
ICD zijengwe kuanzia Kibaha kuelekea hukooo mbele. Malori yoote kutoka abroad yafike Dar kwa nadra.

Vunja Ndoa za Ikulu na Tycoons kudhamini safari za Viongozi wa serikali mwishowe hawa matajiri hufanya lolote.

Imarisha mahusiano ya Kijamii hasa Viongozi wa Dini waisapoti Serikali, kuliko sasa tunahubiriana visasi.

Futa teuzi za Mchongo.


Jenga Trunk Road ya pekee Bandarini hadi Kibaha/vigwaza yaaani malori yatembee 24/7 sio leo mwaka 2024 malori yanshindwa kutembea full time.

Boresha mazingira ya Uwekezaji kuongeza ajira.

Mwisho, asipende Kick, asicheke na Chawa na ngedere hakika Tanzania hiyo Bandari pekeee inaweza kutuneemesha basi tu Nchi tumeacha iwe shamba la bibi.
Kwaresma njema na maandalizi mema ya mfungo mtukufu.
 
Nchi yetu ilipofikia sasa inahitaji Rais ajaye awe Katili sana. Aje awatapishe mafisadi pesa zote walizopora, walizoficha Nje ya Nchi zirejeshwe, wafungwe gerezani au tuwatie ndani, aaachane na Plea Bargain inahamasisha wizi.

Barabara ya Dar Moro Mbeya ipigwe njia njia nne.

DPW Wafukuzwe Bandarini.

Tupanue Bandari ya Salama meli ikifika hakuna kusubiri.

Sitisha Bandari ya Bagamoyo.

Fukuza Mwizi anayetaka kuumiza Watanzania na Barabara ya KIBAHA - CHALINZE kwa kulipia.

Eneo la Kurasini liliolipiwa fidia na Serikali Boresha na Gawia Nchi za Rwanda, Zambia, Malawi nk ambazo ni wateja wa bandari zetu wapaki gari zao bure.

FUTA ICD zoote za huku vichochoroni maana ndizo zinasababisha adha na uharibifu wa barabara.
ICD zijengwe kuanzia Kibaha kuelekea hukooo mbele. Malori yoote kutoka abroad yafike Dar kwa nadra.

Vunja Ndoa za Ikulu na Tycoons kudhamini safari za Viongozi wa serikali mwishowe hawa matajiri hufanya lolote.

Imarisha mahusiano ya Kijamii hasa Viongozi wa Dini waisapoti Serikali, kuliko sasa tunahubiriana visasi.

Futa teuzi za Mchongo.


Jenga Trunk Road ya pekee Bandarini hadi Kibaha/vigwaza yaaani malori yatembee 24/7 sio leo mwaka 2024 malori yanshindwa kutembea full time.

Boresha mazingira ya Uwekezaji kuongeza ajira.

Mwisho, asipende Kick, asicheke na Chawa na ngedere hakika Tanzania hiyo Bandari pekeee inaweza kutuneemesha basi tu Nchi tumeacha iwe shamba la bibi.
Kwaresma njema na maandalizi mema ya mfungo mtukufu.
akili nzuri. tatizo sisi waafrika ni viumbe wa kufikirika. tuliumbwa kimakosa
 
Nchi yetu ilipofikia sasa inahitaji Rais ajaye awe Katili sana. Aje awatapishe mafisadi pesa zote walizopora, walizoficha Nje ya Nchi zirejeshwe, wafungwe gerezani au tuwatie ndani, aaachane na Plea Bargain inahamasisha wizi.

Barabara ya Dar Moro Mbeya ipigwe njia njia nne.

DPW Wafukuzwe Bandarini.

Tupanue Bandari ya Salama meli ikifika hakuna kusubiri.

Sitisha Bandari ya Bagamoyo.

Fukuza Mwizi anayetaka kuumiza Watanzania na Barabara ya KIBAHA - CHALINZE kwa kulipia.

Eneo la Kurasini liliolipiwa fidia na Serikali Boresha na Gawia Nchi za Rwanda, Zambia, Malawi nk ambazo ni wateja wa bandari zetu wapaki gari zao bure.

FUTA ICD zoote za huku vichochoroni maana ndizo zinasababisha adha na uharibifu wa barabara.
ICD zijengwe kuanzia Kibaha kuelekea hukooo mbele. Malori yoote kutoka abroad yafike Dar kwa nadra.

Vunja Ndoa za Ikulu na Tycoons kudhamini safari za Viongozi wa serikali mwishowe hawa matajiri hufanya lolote.

Imarisha mahusiano ya Kijamii hasa Viongozi wa Dini waisapoti Serikali, kuliko sasa tunahubiriana visasi.

Futa teuzi za Mchongo.


Jenga Trunk Road ya pekee Bandarini hadi Kibaha/vigwaza yaaani malori yatembee 24/7 sio leo mwaka 2024 malori yanshindwa kutembea full time.

Boresha mazingira ya Uwekezaji kuongeza ajira.

Mwisho, asipende Kick, asicheke na Chawa na ngedere hakika Tanzania hiyo Bandari pekeee inaweza kutuneemesha basi tu Nchi tumeacha iwe shamba la bibi.
Kwaresma njema na maandalizi mema ya mfungo mtukufu.
Haya yote yanaweza kufanyika kwa Rais kuzingatia utawala wa sheria bila kuwa katili.
 
Nchi yetu ilipofikia sasa inahitaji Rais ajaye awe Katili sana. Aje awatapishe mafisadi pesa zote walizopora, walizoficha Nje ya Nchi zirejeshwe, wafungwe gerezani au tuwatie ndani, aaachane na Plea Bargain inahamasisha wizi.

Barabara ya Dar Moro Mbeya ipigwe njia njia nne.

DPW Wafukuzwe Bandarini.

Tupanue Bandari ya Salama meli ikifika hakuna kusubiri.

Sitisha Bandari ya Bagamoyo.

Fukuza Mwizi anayetaka kuumiza Watanzania na Barabara ya KIBAHA - CHALINZE kwa kulipia.

Eneo la Kurasini liliolipiwa fidia na Serikali Boresha na Gawia Nchi za Rwanda, Zambia, Malawi nk ambazo ni wateja wa bandari zetu wapaki gari zao bure.

FUTA ICD zoote za huku vichochoroni maana ndizo zinasababisha adha na uharibifu wa barabara.
ICD zijengwe kuanzia Kibaha kuelekea hukooo mbele. Malori yoote kutoka abroad yafike Dar kwa nadra.

Vunja Ndoa za Ikulu na Tycoons kudhamini safari za Viongozi wa serikali mwishowe hawa matajiri hufanya lolote.

Imarisha mahusiano ya Kijamii hasa Viongozi wa Dini waisapoti Serikali, kuliko sasa tunahubiriana visasi.

Futa teuzi za Mchongo.


Jenga Trunk Road ya pekee Bandarini hadi Kibaha/vigwaza yaaani malori yatembee 24/7 sio leo mwaka 2024 malori yanshindwa kutembea full time.

Boresha mazingira ya Uwekezaji kuongeza ajira.

Mwisho, asipende Kick, asicheke na Chawa na ngedere hakika Tanzania hiyo Bandari pekeee inaweza kutuneemesha basi tu Nchi tumeacha iwe shamba la bibi.
Kwaresma njema na maandalizi mema ya mfungo mtukufu.
Umeongea point sana. Katika sentensi ya kwanza tu ndipo umeharibu. Katika dunia ya leo ukatili hauna nafasi.

Tunahitaji rais na taasisi zilizo imara zenye kujitambua tu na kuzingatia utawala wa sheria, hayo yote yatafanyika bila kuhitaji ukatili. Tusiombe kurudi tulipotoka, mliomba katili tukapewa, badala ya kuutumia huo ukatili kushughulika na hao mafisadi akauhamishia kwa watu wasio na hatia na kuyaacha mafisadi yakidunda huku mengine yakipiga humohumo na kuwatesa watu kwa mwavuli wa uchapakazi.
 
Chadema iitishe uchaguzi haraka sana, mwenyekiti wake amepitiliza kukalia kiti, hii si afya katika chama kinachojitanabai ya kwamba kina demokrasia safi, hili sio demokrasia hilo ni udikteta, hii inareflect nini kitatokea watakapo twaa madaraka.
UDP=John cheyo Chama kilianzishwa mwaka 1994 akiwa Mwenyekiti wake mpaka leo bado ni mwenyekiti wa chama hicho Mwaka wa 30 sasa..

CUF= Lipumba amechukua Madaraka Ya Uenyekiti mara baada ya uchaguzi wa 1995 ilikuwa ni mwaka 1996 Na mpaka sasa Ni mwenyekiti wa CUF huu ni mwaka wa 28

NCCR/TLP= Mrema alikuwa Mwenyekiti wa hivyo vyama kwa miaka zaidi ya 25 na sikusikia tukipiga kelele hivi..

TANU/CCM= Nyerere amekuwa Mwenyekiti wa TANU/CCM tangu mwaka 1954 mpaka mwaka 1990 kwa miaka 36 Sikuona hata mmoja aliyelalamika

Na wapo wengine wengi..
Ila CHADEMA Mbowe kuongoza kwa miaka 20 imekuwa Nongwa ukiona Adui anapiga Kelele Dawa imemuingia
 
UHABA LA DOLA KTK MZUNGUKO NA ANGUKO LA KIUCHUMI

Nini Kifanyike?

Malipo ya tozo,fees,ada,pango Kwa dola ni uhujumu uchumi..Fedha Za Tanzania zitumike..Hatuna sababu ya kutengeneza mahitaji (Demand) isiyo ya lazima..

Bandari/shipping lines/CFS/Transporters ..Apartments..Vyuo..Kwa nini walazimishe kulipwa USD?..Ikibidi hata mishahara ya watumishi kwenye baadhi ya Makampuni,taasisi na mashirika (NGO’s) ilipwe Kwa TZS.

Tumepoteza wafanyabiashara wengi waliohamia nchi jirani Kama Malawi,Zambia,DRC,Mozambique sababu ya ongezeko la kodi ktk bidhaa nyingi..Tuangalie upya..

Mwisho nchi ipunguze miradi ya miundombinu inayokula fedha nyingi ambazo kimsingi wanalipwa wakandarasi wa kigeni..

Zabuni kubwa Za mabilioni ya fedha ktk procurement (IFB/ICT/ICB/RT)ya nchi wapewe wazawa kimkakati ili malipo yake yabaki nchini badala ya sasa fedha nyingi kwenda nje..
 
1.Tundu Lissu
Majimbo ya uchaguzi yagawanywe kulingana na idadi ya watu, sio jiografia au matakwa na maslahi binafsi tu ya watawala kama ilivyo sasa. Mkoa wa mtwara wenye wapiga kura laki tisa una majimbo 10 ya uchaguzi sawa na mkoa wa Dar es Salaam wenye wapiga kura million tano na nusu nao una majimbo 10 tu ya uchaguzi huku Zanzibar yenye wapiga kura laki tano ina majimbo 50 ya uchaguzi!

2.Fatma Karume
Tume ya uchaguzi haina mamlaka ya kuwaondoa watu kiholela na kinyamelea kwa sababu ya kukosea tu kujaza fomu za uchaguzi au kutoweka nukta mwisho wa sentensi. Pia tume ya uchaguzi isitumike kufanya mambo ya hovyo kama watumishi wake kujificha ile kutopokea fomu za wagombea wa upinzani. Hata majaji wa mahakama huwa wanakosea kuliita na kuandika jina lake, fatuma badala ya fatma!

3.Ananilea Nkya
Viti maalumu vya ubunge havina faida yoyote kwa sababu wabunge wa viti maalumu hawawajibiki wa jimbo lolote. Kwa miaka mitano wabunge 113 wa viti maalumu wanalipwa billion 200 ambazo zinaweza kulipia bima ya afya kwa watoto wote wa nchi kwa kipindi hicho.
Kama nia yetu ni kuiboresha Nchi !
Yes you’re right 🙏🙏
 
UDP=John cheyo Chama kilianzishwa mwaka 1994 akiwa Mwenyekiti wake mpaka leo bado ni mwenyekiti wa chama hicho Mwaka wa 30 sasa..

CUF= Lipumba amechukua Madaraka Ya Uenyekiti mara baada ya uchaguzi wa 1995 ilikuwa ni mwaka 1996 Na mpaka sasa Ni mwenyekiti wa CUF huu ni mwaka wa 28

NCCR/TLP= Mrema alikuwa Mwenyekiti wa hivyo vyama kwa miaka zaidi ya 25 na sikusikia tukipiga kelele hivi..

TANU/CCM= Nyerere amekuwa Mwenyekiti wa TANU/CCM tangu mwaka 1954 mpaka mwaka 1990 kwa miaka 36 Sikuona hata mmoja aliyelalamika

Na wapo wengine wengi..
Ila CHADEMA Mbowe kuongoza kwa miaka 20 imekuwa Nongwa ukiona Adui anapiga Kelele Dawa imemuingia
Tena ashikilie hapo hapo !
 
Chadema iitishe uchaguzi haraka sana, mwenyekiti wake amepitiliza kukalia kiti, hii si afya katika chama kinachojitanabai ya kwamba kina demokrasia safi, hili sio demokrasia hilo ni udikteta, hii inareflect nini kitatokea watakapo twaa madaraka.
Uchaguzi hauitishwi na Mbowe ataendelea kuongoza hadi ulie kwa kwikwi.
 
Back
Top Bottom