Membensamba
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 157
- 10
Mambo yanavyokwenda hivi sasa kwa habari ya uchakachuaji wa kura za ubunge na uraisi, ningetegemea angalau wawepo wazee wenye hekima wenye "moral authority" ya kuikemea serikali na tume ya uchaguzi iamke na kuacha mchezo huu wa kijinga unaoweza kuitumbukiza nchi kwenye machafuko. Au kufa Nyerere ndio mwisho wa hekima nchini?