Mkandara, unapointi nzuri.
Kila siku nakaa naangalia Tourism marketing strategy, hata sielewi. Anyways, kuna tangazo la benki ya HSBC naliona kila siku atleast mara 5 hivi katika TV hapa UK. Tangazo hili linahusu Savings katika benki hii, na linaonyesha global outreach ya benki hii. Tangazo linapoanza tu, unaona mlima Kilimanjaro, but straight away inatajwa Kenya. I bet you this image is seen by millions in the UK, if not world wide. Whether Kenyans paid for that (which I doubt), but it shows, there is a strong belief worldwide in regards to Kilimanjaro being in Kenya. Everytime I see that image, najisikia siko sawa kama mtanzania.
Anyways, katika mambo yote kuhusu uwekezaji. Kinachoniuma sana ni kilimo, na kabla sijarudi kwenye Kilimo, ngoja niongelee resources zingine. Unajua, haya Oil/Gas/Coal, ni utajiri utakaoisha. And chances are, utajiri huo utaisha kabla hata hatujafaidika kimaana. Haya mambo (technology yake) najua, kwasababu nimesomea. I am pretty sure, viongozi katika energy sekta hapo Tanzania watakua wanajua (na kama hawajui, nitakuwa dissapointed sana, as its an open secret) kwamba USA (and most probably UK and other developed countries), wana tumia mafuta sana, pia wanastorage facilities kubwa ambapo wana store mafuta for the longer term. Na sehemu ambazo wamemaliza resources zao (au ni bei sana kuchimba), wameacha makusudi, na wanachimba mafuta nchi zingine. To these guys, kuanzisha vita na instability, ni cheaper, just to get to the oil in the longer run. Marekani kuongeza vituo vya majeshi afrika (who knows, even Tanzania from the sounds of it) ni longterm strategy yao. Its cheaper to buy Oil, then eventually you are going to buy from them (perhaps another technology of Energy source). Wanacontrol nuclear energy (wakati tayari technology wanayo), eventually you will buy from them. Wanapiga makelele kuhusu going 'green', wakati wenyewe walishapita. Which means, kwa vyovyote vile, hayo makaa yaliyo Tanzania, for the technology to develop it, you will need Western investment, at their conditions (and yes, there is Green technology for coal, unlike somewhere I read on Mjengwa's blog, which makes me question how many journalists know what they are talking about. No disrespect, just a little research is usefull).
Sasa Mkandara anapoongelea umalaya (though I wouldnt use that word, ingawa linapendezesha), ni kama vitu vya kununua technology. Jamaa wanakuja na technology zao, watafanya watakacho, wakiondoka wewe huna kitu. Ni kitu hicho hicho kinachotokea nchi za uarabuni. Pamoja na utajiri wote huo, hawasomeshi watu wao wabuni technologia. Machinery kubwa zote, wanakuja nazo wazungu. Middle East may look rich, lakini, longterm, watakua na matatizo sana.
Tanzania is filthy rich, even though wazungus say we are one of the poorest countries in the world.
Ok, kabla sijapotea mwelekeo, ngoja nirudi kwenye kilimo. Unajua, mtu ukiwa na ardhi/land, basi wewe sio masikini. Now, imagine, Tanzania isiwe na utajiri wa madini. Tutafanya nini na ardhi? Au tunaifanyia nini ardhi?
Hii topic interesting, na mimi nimeona jinsi Mh. JK anavyozunguka na entourage kutafuta wawekezaji. In theory, good idea. Mkandara unaposema watengeneze environment nyumbani. You are right on. We on the same wavelength. These guys are interested in getting investors for Kilimo among many other things.
First of all (if I look at the UK), the food products market, is controlled by Indians. The success of your product from your kilimo (in a developing country), can be looked at from a direction of how well you are selling your products in the supermarkets here in the UK. And I mean big supermarkets like Sainsbury, Tesco, Asda. Not corner shops selling unga wa Bhakressa (and I am not disrepecting at all). Sasa, I dont know how many of you are aware that, food products from Tanzania are diverted to India. They are then processed and repackaged as Indian products, then they are exported to the UK. And a quick estimate, say a kilo of cashew nuts is maybe a few pence (when bought in TZ), if that kilo is processed and sold at Tesco/Sainsbury, it will sell at anything between £10 to £20. Now this is a rough estimate. Sasa you ask yourself, if something aint wrong in Tanzania (and needs to be corrected), how do you expect an Investor to come to Tanzania, when it is convenient to buy from India. And probably, that Tanzania - India -UK route is held by some maffia. How do you break that? Isnt the problem in Tanzania?
On the same note, Tanzania's budget was less that 2% (correct if am wrong) for 2006/07 on agriculture. Agriculture is supposed to contribute 50% of the GDP. Are you telling, if I was an investor, how will I look at you if you read these figures to me?
So I think, cleaning needs to start home before asking for investors to come home. One of our major assets is land and water in abundance. And find ways, come with policies, to stop the post processing of Tanzania products in India. Only Tanzania can stop it. Kweli, kama mimi ni mhuni na napenda malaya, sitamwambia jinsi gani aache umalaya. Lakini mimi sitaki kuwa malaya, nina nia na uwezo wa kujiengua, kwanini nikuombe mhuni uniengue?? Aisee Mkandara (am scaring myself, am starting to copy your filthy language hahaaaaa)!!