Tanzania's Foreign Policy

Kikwete: Wekeni ukurasa wa Watanzania
wa nje katika tovuti.

Rais Jakaya Kikwete ameishauri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kufungua ukurasa katika tovuti yake kwa ajili ya vyama vya Watanzania wanaoishi�katika nchi mbalimbali.
Alisema hatua hiyo itatoa fursa kwa watanzania hao kuwasiliana kwa urahisi na wizara hiyo na wadau wengine pale wanapohitaji taarifa fulani au msaada kutoka serikalini.
``Hivi katika tovuti yenu mnao ukurasa ambao unaonyesha anuani za vyama vya Watanzania waoishi nje ya nchi, kama hakuna basi wekeni ukurasa huo, hii itakuwa njia nzuri kwao kuwasiliana nanyi lakini pia na wao kuwasiliana na wadau wengine ili pale wanapopata fursa za uwekezaji na biashara,`` alisema.

Alitoa ushauri huo mwishoni mwa wiki wakati alipokuwa akisalimiana na Watanzania wanaoishi na kufanya shughuli mbalimbali nchini Ghana.
Rais Kikwete alikuwa akihudhuria mkutano wa tisa wa kawaida wa Wakuu wa Nchi na serikali wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika.
Alijibu hoja mbalimbali kutoka kwa Watanzania hao ikiwamo ile ya uraia wa nchi mbili, mchakato wa uanzishwaji wa Shirikisho la Afrika Mashariki na msimamo wa Tanzania kuhusu mjadala wa kuanzishwa kwa serikali ya Afrika.
Rais alisema, suala la uraia wa nchi mbili linafanyiwa kazi na Tume ya Kurekebisha Sheria na baada ya kutoa mapendekezo yake, suala hilo litafikishwa kwa wananchi ili walijadili.

Kuhusu mchakato wa Shirikisho la Afrika Mashariki, Rais alisema yeye kama Rais asingeweza kutoa maoni yake kwa sasa mpaka hapo wananchi watakapokamilisha kutoka maoni yao.
Alishauri masuala yanayotaka mjadala na mawazo ya wananchi si katika uanzishwaji wa shirikisho peke yake, bali hata katika mambo mengine kama vile soko la pamoja, ushuru wa forodha wa pamoja masuala aliyosema yanatakiwa kujadiliwa sambamba na uanzishwaji wa shirikisho la kisiasa.
Akijibu swali kuhusu maoni ya Tanzania juu ya kuanzishwa kwa serikali ya Afrika, Rais alisema kwamba wazo la kuanzishwa kwa serikali moja, si geni kwani liliasisiwa na Rais wa kwanza wa Ghana, Nkwame Nkrumah.
Alisema kuhusu hilo wapo wenye maoni tofauti juu ya kuanzishwa kwake, wapo wale wanaodhani suala hili lisiamuliwe kwa haraka na badala yake liende hatua kwa hatua.
``Lakini wapo pia wale ambao wanadhani kwamba huu ni wakati muafaka wa kuwa na serikali moja, lakini mtazamo wa viongozi kutoka nchi za SADC na EAC na wengine wengi ni kwamba twende hatua kwa hatua tukianzia na jumuia ya uchumi kwanza,`` akafafanua Rais. Akizungumzia kuhusu vita dhidi ya rushwa, Rais Kikwete alisema kwamba vita hivyo bado vinaendelea ingawa ni kazi nzito kwa kuwa kitendo chenyewe hufanyika kwa siri.
Kuhusu uwezeshwaji wa wananchi, Rais alisema serikali inaendelea na juhudi zake na kwamba anafurahi kwamba baadhi ya benki kama vile CRDB na NMB zimeanza kuutambua ukweli kwamba wajasiriamali wadogo wanakopesheka na wanarejesha mikopo yao.
Katika mazungumzo yao Watanzania hao, walimweleza Rais kwamba kuna fursa za biashara nchini Ghana, hasa katika mazao ya chakula, lakini walikuwa hawajui wawasiliane na nani ili kuwashawishi wafanyabiashara Watanzania kupeleka bidhaa hasa vyakula nchini humo. Nchi ya Ghana ambayo ni maarufu sana katika uzalishaji wa dhahabu na kokoa, asilimia kubwa ya vyakula vinavyoliwa nchi humo, vinaagizwa kutoka nchi jirani na kuuzwa kwa bei kubwa.
``Mheshimiwa Rais huwezi kuamini, unga wa ugali hapa tunanunua kwenye maduka makubwa (supermakert) na kwa bei ghali sana, tunadhani Watanzania wenzetu wanaweza kufanya biashara kubwa sana ya kuleta unga na vyakula vingine lakini hatujui tutawasilina nao vipi,`` alisema Bw. Sanyaj Rughani,Mtanzania na Mkurugenzi Mtendaji wa Standard Chartered nchini Ghana.


____________________________________________________________________


JK AACHE KU PALAGARISE, ANAKUJA HUMU NDANI AKISHASOMA THREADS ZANGU KISHA NA YEYE ANATOA AMRI KWA WATU WAKE. AT LEAST ANGENILIPA!

je unakumbuka thread hii?:

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=989&highlight=foreign

halafu kuna mtu alipost thread ya kuuliza maswali haya:

Hivi tuna Balozi ngapi kwa ujumla?

ZIPI ni za kudumu na zipi ni za muda?

Je Tuna Mabalozi wangapi?

Je Europe ziko ngapi?

Asia nako ziko ngapi?

Bajeti za hivio balozi n kiasi gani?

Waajiriwa toka FOREIGN kwa kila ubalozi wanatakiwa wawe wangapi?

Local staff wako wangapi?

Balozi zipi zingaongoza kwa matumizi?

Assets za Balozi zetu ni Ngapi?

Zaidi ya miradi ya Nyumba, balozi zina vitaga uchumi vingine vipi?

Je System ya kurotate staff na balozi zikoje?

Balozi zipi zinaongoza kwa matumizi mabaya ya Fedha?

Kwa nini Auditors (wakaguzi wa mahesabu) wakitoa ripoti huwa zinatofautiana na ripoti inayotolewa na WIZARA?

JAMANI HAYA MASWALI NI MUHIMU KWANI KUNA TAARIFA KUWA BAADHI YA BALOZI FULANI FUNANI ZINAFANYIWA INTERNAL INVESTIGATION (incuding wa London) KWA UBADHIRIFU WA FEDHA ZA WALIPA KODI NA NAOMBA KAMA CHA KUSEMA BASI TUONDOKANE NA KUPASTE ARTICLES ZA MAGAZETI YETU AMBAYO MENGI HAYANA UKWELI WOWOTE

na zaidi ya hayo nadhani hiyo WEBSITE YA FOREIGN inaweza ikatupa mwanga zaidi kuhusu issue hii:

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=3256

KISHA MIEZI MICHACHE serikali hiyo hiyo IKAKURUPUKA NA HII:

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=3207

na nani atamsahau BWANA MEMBE pale FOREIGN?

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=2197


of course KALAGHE akaewa kazi ya kuwa balozi baada ya kuboronga kama communications director wa JK

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=2750

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=1549


KUTOKANA NA SENSITIVITY YA HII issue HATA jambo forums WALIAMUA KUIFUTA AU KUIONDOA TOKA KWENYE SIASA NA KUIPELEKA WANAKUJUA WAO:

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=2605

NA nyingine hii:

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=1884
 
huyu rais nae anajishushia hadhi kweli kweli, kitu kama hicho wantu wa ikulu wanatakiwa washuhulikie lakini mzee mzima anasema yeye, yaani utoto tu au sijui ndio anajifunza urais bado ! alisema hivi tokea alipochaguliwa na kitu kidogo tu kimemshinda hadi leo, sasa naanza kuelewa kwa nini mambo mengine yanamshinda !
 
Hivi wabongo walio nje wanaohitaji kufanya biashara ndani ya Tanzania wanahitaji kweli web site ili wafanikishe jukumu hilo? Na urasimu uliokuwepo mawizarani wataushughulikia vipi!? Ni bora wachakarike kivyao vyao tu.
 
Huo ulikuwa ni ufisadi na njama zake za siri. Wananchi walioko hapa Tanzania anashindwa kuwalipia ada ya chuo kikuu halafu anapeleka unafiki wake nje. Hawa wafanyakazi na wafanyabiashara ndogondogo wa hapa bongo kwa nini asiwape kazi za serikali badala yake kila kazi inatafutiwa "INTERNATIONAL ORGANIZATION?"

Huu ni muda wa yeye kukaa chini na kufukiria ahadi zake za uchaguzi na sio kupiga mbiu la mgambo nje ya nchi.
 
DrWHO,
Wamelala! usingizi wa pono- hakuna anayejua kinachoendelea! Maneno mengi tu! Foreign- Hiyo spirit ya KASI MPYA, ARI MPYA NA NGUVU MPYA wapi na wapi? Maneno tu matupu- hatujaona kipya. Mf. angalieni MoF Web. ya South Africa jinsi wanavyotoa updates ya nini kinaendelea!
Waamke! Tumechoka!
 
Na mbaya zaidi hata ukiangalia vyama vya UPINZANIna haswa CHADEMA (kwa sababu CUF cant be bothered na hili)of all parties nao wamelala. Hakuna kipya kutufahamisha chochote kuhusu position yao kwenye mambo mbali mbali yahusiyo FOREIGN POLICY na hii ni hatari zaidi.

Kuna umuhimu wa kuweka mambo haya kwenye AGORA na tupate kujua mengi zaidi.Unajua its about time FOREIGN wakafanya revamp ya jinsi wanavyo sun their operations na nadhani kuna watu wako pale for so long with nothing new.I suspect bado tuna Morgenthau quoting civil servants ambao wameshindwa kuevolve with times and learn from our past mistakes.

Kitu kinachonishangaza ni kuwa kwa nini FOREIGN wameshindwa kazi ndogo kama vile kutuwezesha ku understand the aims of our foreign policy, the process of our foreign policy making & the nature and limitations of our international influence.Zaidi ya hayo they should have at least made it easier for us to understand works in our foreign policy and international relations more generally kupitia WEBSITE yao so we can at least evaluate news reports about our foreign policy or official Tanzanian government statements related to foreign policy and international relations

No wonder its so difficult for any Tanznian to discuss and assess our foreign policy in a reasoned fashion since have been kept on a loop na hawa jamaa wa FOREIGN

Its a sad but its also true
 
Hivi mkuu unafikiri kwanza ni wangapi..wanajua hata kutumia hizi computer? Angalia % kubwa ya bureacrats wa serikalini ni wa miaka hiyooooooo...inshort they have nothing to do with IT...sana sana utakuta wana email ya HOTMAIL tuu basi... juzi jamaa alitoa mfano kwamba usishangae kuona mwanafunzi wa UD au Mzumbe anamaliza shule hana email account..so what do you expect? waliosoma kama nyinyi ndo ingebidi mje kuliendeleza jahazi..lakini mko ughaibuni...ndo hivyo..unless we become part of the process...

To my knowledge..kuona hata Ikulu haina website..its a shame, lakini you cant blame JK for everything..kuna watendaji ambao ni kaka zetu, dada zetu, classmates etcs na above all wamesoma......We have ALL failed our country in one way or another! Imagine kuna wizara kama ya sheria, mwanasheria mkuu wa serikali, mahakama..etcs...hawana websites...sasa jiulize...In all swala la IT..linahitaji mwamko wa watendaji, aside ya serikali. Its normal kwenda kwenye ofisi za serikali ukakuta computer imefunikwa na inapigwa vumbi na katibu muhtasi anatumia typewritter!!!!ukiuliza..anayeitumia hayupo, au imetolewa na wafadhili na wahusika hawakuwa prepared bado..ilimradi sababu hazikosi...Kwa hiyo swala la foreign...Membe hawezi kufanya miracles over night-though inabidi aanzishe initiatives...
 
DrWHO,
"You can not teach old dogs new tricks!" They are not trainable/teachable!
Yet JK na EL wanapita kila mahali wanajipiga kifua -eti "SASA TUNAPAA!"
Ila kwa nini as a country hatuko tayari kujifunza hata wenzetu MOFA wanafanyaje? Tutabaki nyuma hadi lini?
 
Meaning what?

"Keep us all guessing?" It works both ways: govt's side, and on the part of some JF's topics. Never explicit; but always indirect, expecting that walengwa will get the picture.
Hard to tell if this technique of presentation of thought is taught in some colleges; or is it self-taught?
 
tukipata wanawake ( jinsia ya kike ) wengi tanzania kama wewe tatu nina uhakika ccm itatolewa madarakani ! angalau mie ccm lakini....................huo ndio ukweli.
 
Dr. WHO, ingawaje macho yangu si mazuri sana bado nashauri upunguze ukubwa wa maherufi kwenye ile post yako ya kwanza.


......... Lakini si nimesikia spika 6 akisema kuwa habari za kwenye internet hazitambiliki? Ya nini sasa.
 
Liberia Opts For a Gradual Process on United States of Africa
07/04/07 - FPA Staff Report


Monrovi a-
The African Union summit held in the Ghanaian capital, Accra ended without a consensus on the formation of a United Sates of Africa.

Addressing journalists in Accra, Monday, Liberia's President Ellen Johnson Sirleaf said the groups are split as one group of countries would like to see the continent move ahead, adopt the proposal and put it into effect immediately; while another group would like African leaders to cautiously handle the situation, taking time and establish a timetable or road map towards the achievement of this goal.


UNITED FRONT

"If all the other regions like SADAC, East African Community set specific timetables, and by a specific period we would all have achieved integration at the sub-continental level then we can truly go forward with a United States of Africa."

Ellen Johnson-Sirleaf, President, Republic of Liberia

On Liberia's position, President Johnson Sirleaf said that Liberia is somewhere in the middle. She said that at meetings like the AU Summit, if one just makes a political commitment and doesn't have the means to ensure the effectuation of that commitment then it just becomes a political game.

aumeet4..jpg


"Our position has been to endorse the concept and the principle of the United States of Africa because we agree that African markets are so small and unless there is an effective integration we'll not be able to compete with the other blocks," the Liberian leader said.


President Johnson Sirleaf furthered that as Liberia wants to be pragmatic, "the progress being made in some of the regional economic commissions, example the Economic Community of West African States (ECOWAS) has made great progress; that they should now set a time table for the integration of the West African countries.

"If all the other regions like SADAC, East African Community set specific timetables, and by a specific period we would all have achieved integration at the sub-continental level then we can truly go forward with a United States of Africa," she said.

On the issue of advocating a United States of Africa when Africans themselves are not united, President Johnson Sirleaf said she was not sure that the assumption was correct, because many countries have on-going public debate about the United States of Africa.

She said the general consensus at the grass root level is that people want to see Africans united. "In fact the kinds of divisions we find in Africa today were in part caused by the artificial geographic distribution of African countries by the colonialists and that we want to make sure through the free movement of people that we do unite."

The Liberian President reiterated that it is a difficult task considering that we're divided by language, and geography.

She said one of the proposals at the just ended summit is to adopt a common African language and passport which are good integrative mechanisms.
 

Na siyo hilo tuuu,In short sijui hao ambao wanamkono katika kuformulate foreign policy yetu huwa wanafikiri nini. Hakuna updates zozote kuhusu ubalozi mpya Brazil, hatujui wanajeshi wetu kule Lebanon wanaendeleaje,na hata issue za Great Lakes region nazo hatujui serikali yetu inasema nini

In short serikali hii iko out of touch na kila Mtanzania aliyewapatia mandate ya kuongoza

Kaka umeibua issue muhimu sana. Ukweli ni kuwa hilo ni tatizo kubwa lililopo katika diplomasia ya nchi yetu. Watanzania wanakosa nafasi ya kujua ama kuchangia misimamo ya nchi yao katika masuala mbalimbali ya mahusiano ya kimataifa.

Mimi naamini kuwa kushindwa kwa vyombo maalum vya serikali kuchukua hatua mbalimbali za kuwahusisha wananchi wake katika masuala ya mahusiano yetu na dunia ya kimataifa haina maana kuwa sisi kama wananch wenye upeo na kuvutiwa na masuala haya hatuwezi kurekebisha mapungufu hayo.

Nadhani wakati umefika wa kuacha kutegemea hawa jamaa zetu serikalini kufanya yote wakati hata sisi tukitaka tunaweza. Ni busara tuwe na uthubutu wa kuanzisha juhudi binafsi kama vile kuwa na midahalo mbalimbali ya mara kwa mara itakayokuwa inakutanisha wasomi, wanasiasa pamoja na wanadiplomasia wetu kuzungumzia maswala haya. Uzoefu unaonyesha kuwa mambo kama haya yanaitaji utundu mdogo na nia thabiti na yote yawezekana.

Tukianza vitu kama hivi ndipo tutakapokuwa tunajenga mazingira ya kuwalazimisha hawa jamaa kuchukua hatua kwa upande wao. Nijuavyo mimi ni kuwa ndani ya bureacracy yetu kuna watu ambao wangependa kuanzisha vitu hivi lakini wanakingwa na fikira mgando zilizohodhi nguvu ya ushawishi katika maofisi yao. Endapo watatokea watundu nje ya bureacray wakapush kwa kuanzisha innitiaves mbalimbali kama hizo tutaweza kuona masuala haya yanatiliwa mkazo unaostahiki.

Kwa hiyo mchango wangu mie ni kuwa na wewe Dr WHO unapaswa kuacha kusubiri serikali ifanye hayo unayofikiri wanapaswa kuyafanya na kuanza kuchukua hatua za kuwajibika wewe mwenyewe.

Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe wakiwa na uthubutu kama alivykuwa Dada yetu Amina..

Tanzanianjema
 
Baada ya kuangalia hawa CHADEMA na sera yao ya nchi za nje i can confirm kuwa better the devil you know than the dove you dont know

Hivi huko CHADEMA ni akina nani wanaoandika hizo sera zenu?

Of Course CUF wako kwenye wilderness hivyo hawapo kabisa kwenye huu mjadala
 
Wataalam huu ni muda mzuri kuichambua hii khotuba ya huyu muungwana

kp_106.jpg


STATEMENT BY H. E. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA,
AT THE 62ND SESSION OF THE UNITED NATIONS


GENERAL ASSEMBLY, NEW YORK,
27th SEPTEMBER 2007

Your Excellency Srgjan Kerim, President of the United Nations General Assembly;
Your Excellency Ban Ki-moon, Secretary-General of the United Nations;
Excellencies Heads of State and Government;
Distinguished Representatives;
Ladies and Gentlemen.

Let me begin by congratulating you, Dr. Kerim, for your well deserved election as President of the 62nd Session of the General Assembly. You can
count on Tanzania's full support and cooperation as you discharge your mandate. I also commend your predecessor, Madam Shaikha Haya Rashed Al Khalifa, for having skillfully presided over the 61st session.



We congratulate Mr. Ban Ki-moon for his unanimous election as the eighth Secretary General of the United Nations, which reflects his distinguished diplomatic track record, integrity and commitment to international diplomacy.



I also thank him for the honour and trust he has bestowed upon my country, by appointing an accomplished Tanzanian academic and diplomat to the post of UN Deputy Secretary General. I take this opportunity to once again congratulate Dr. Asha-Rose Migiro, for her appointment to this high office. I trust that such a combination of diligence and devoted leadership will steer this important institution towards greater heights of success.

Climate Change

Mr. President;
I highly commend the Secretary General for his decision to convene the High Level Event on Climate Change four days ago. The meeting gave us an opportunity to discuss the state of health of our common planet. It also gave us the opportunity to renew our commitment to take the necessary steps to correct the mistakes we have done.




The recent report by the Intergovernmental Panel on Climate Change (IPCC) has confirmed that warming of the earth's climate system is indisputable and is attributable to, by and large, human activities.



Africa and many Small Island States contribute the least to the greenhouse gases that cause this phenomenon; yet, significant impact of climate change is evident on our countries. Most countries are experiencing severe floods, frequent and prolonged droughts, reduced water supply, decline in crop yields, rising sea levels, and an increase in water borne diseases. These impacts of climate change can affect African countries' ability to achieve the Millennium Development Goals (MDGs). Climate change threatens to undo the results of decades of development efforts.




In Tanzania, for certain, the impact of global warming is real and visible. There has been a steady increase in temperature for the past 30 years, adversely affecting almost all sectors of the economy.




Severe droughts have been recurrent in the past few years. Water levels in Lake Victoria and Lake Tanganyika have dropped significantly. There has been a dramatic recession of 7 km of Lake Rukwa in the Western part of the country in the past 50 years. About 80 per cent of the glacier on Mount Kilimanjaro, the highest in Africa, has been lost since 1912.



We have prepared a National Adaptation Program of Action. There is a national programme of planting over 200 million tree seedlings per annum besides having reserved 24 percent of our territory for national parks and 38 percent for forest reserves.
We trust that countries like Tanzania, which have reserved such large tracts of land for protection of wildlife and forests, including an ambitious tree planting programme for global good, would be adequately compensated for their significant contribution to carbon sequestration.



We have prepared a National Adaptation Program of Action (NAPA) and undertaken an indepth analysis of the impact of climate change on agriculture, health, water as well as a technological needs assessment for adaptation and poverty reduction.
Tanzania hopes that the Climate Change Adaptation Fund would be successfully negotiated and concluded together with other proposed innovative sources of financing discussed during the High Level Event earlier this week.


hh.jpg


Mr. President;
Since the causes and consequences of climate change are global, international cooperation and partnership in addressing them is imperative. Tanzania supports the Clean Development Mechanism (CDM), which assists developing countries to achieve sustainable development and requires developed countries to fulfill their commitments under the Kyoto Protocol.



So far Africa has the least number of CDM projects. Of the over 800 projects around the world, Africa has about 20 projects only. This inequitable distribution is of concern to us and must be resolved in order for it to contribute meaningfully to the sustainable development of Africa.



I wish to emphasize that international collective action is critical in developing an effective response to global warming. Indeed a review process to consider further commitment of the Parties under the Kyoto Protocol beyond 2012 is urgent and necessary. Tanzania promises to participate actively at the Bali Summit.



UN Reforms/One UN

Mr. President;
Tanzania welcomes the recent milestones in the UN reform process namely the establishment of the Peace Building Commission, the Human Rights Council and the Central Emergency Relief Fund. We attach great importance to these new initiatives and we want to contribute to their success.



In its report of November 2006 entitled, "Delivering as One", the UN Panel on System-wide Coherence made valuable recommendations, including the establishment of a "One UN" system at the country level. For, we in Tanzania, believe that the development coordination agenda is best served when we have at the country level one programme, one budgetary framework, one leader, and one office.



Tanzania is pleased to be among the eight "One UN" pilot countries. The One UN Programme is for us a logical development from the United Nations Development Assistance Framework (UNDAF), a framework that is fully aligned with our national priorities. The efficiencies in aid delivery expected through "One UN" will certainly contribute to enhancing our capacity to attain the MDGs.




I call upon member states to give our organization, the United Nations, the resources it needs to implement this pilot project. The project should not fail for lack of resources. I also urge the Bretton Woods Institutions to take a keener interest in this initiative and join in the efforts to realize its objectives.
The need to make the UN Security Council more representative is an age old demand of all of us. Time has come to walk the talk. We need to move from rhetoric to action. Now is the time. Tanzania assures the entire UN membership our whole-hearted support and cooperation in this process.





Millennium Development Goals (MDGs)

Mr. President;
We are now halfway through the time-line of 2015 set for achieving the Millennium Development Goals. Yet we are not half-way in realizing the targets as spelt out at the Millennium Summit of 2000. We are in this unfortunate state of affairs because the additional resources expected and promised by the developed countries have not come forth. I urge this august General Assembly to renew its appeal to the developed nations to deliver on their promise.




In this regard, we welcome the initiative mentored by the Norwegian Prime Minister Mr. Jens Stoltenberg to launch a global campaign to mobilize resources for achieving the MDG 4 on reducing infant mortality rates and MDG 5 on reducing maternal mortality rates. Tanzania supports the effort and we are happy to be associated with it. I appeal to all of us to support the initiative. It is our hope that, developed nations will support the campaign by providing the required resources.




On the same vein, we commend Secretary General Ban Ki-moon for establishing the African MDG Steering Group. Africa is excited about it. We trust that it will give new impetus in assisting Africa attain all MDGs.



We also welcome the historic decision taken by the President of the General Assembly to convene a special summit of leaders to discuss the MDGs during this session. We support this wise decision of our President for we believe it will provide the needed momentum for the timely achievement of the MDGs in Africa.


Regional Issues: Africa

Mr. President;
Tanzania has played, and will continue to play, its historic role in the search for peace, security, stability and development in Great Lakes region. I thank the United Nations and the Group of Friends of the Great Lakes for their support to the processes of the International Conference on the Great Lakes. As we all know, at the Nairobi Conference held in December, 2006, an historic Pact on Peace, Security, Stability and Development in the Great Lakes Region was signed. A new era of hope, collective security and cooperation for development was ushered in. For sure, if the letter and spirit of the Pact are implemented, the Great Lakes Region will be a completely new place from the one we are used to know.




We are happy that member states have committed to ratify the Pact by the end of this year. This will enable the Pact to come into force. We look forward to continued support from the UN, friends of the Great Lakes and the international community at large as we endeavour to get durable peace, stability and sustainable development.
Mr. President;



Burundi and DRC

We are happy with the tremendous progress made in Burundi. Peace has been restored and life has come back to normal. Tanzania will continue to work with the region and South Africa to ensure the full operationalization of the peace agreement signed between the Burundi government and the FNL-Palipehutu.



We are concerned with the fluidity of the situation in North Kivu. We hope wisdom will prevail on the parties concerned to give peace a chance. The people of the DRC deserve it. We in Tanzania promise to play whatever part may be required of us.
With restored peace in Burundi and many parts of the Democratic Republic of the Congo (DRC), it is incumbent upon us in the international community to encourage and assist refugees to go back to their respective countries. This is what the Tripartite Commissions involving Tanzania, UNHCR and the respective countries of Burundi and DRC have been doing. Our joint Commissions have been encouraging repatriation of refugees on voluntary basis and we have been assisting those who came forward. The results are encouraging but things could be better. A word of encouragement from this organization could make a difference.



Mr. President;
Tanzania believes that the return of refugees to their country of origin is a sovereign right which should not be denied. It is also the ultimate testimony and guarantor of the peace so attained. It is not fair, it is not right for people to continue to live in refugee camps after peace has been restored in their countries of origin.



Situation in Darfur

Mr. President;
The current progress with regard to Darfur gives us hope. The adoption of Security Council Resolution 1769 to deploy a hybrid force of peacekeepers from the African Union and the United Nations, and the renewed political dialogue among the parties to the conflict, holds promise for the stalled peace process and the humanitarian crisis that unfortunately persists there.
Tanzania applauds the unique partnership which has evolved between the African Union and the United Nations. We stand ready to contribute troops to the hybrid force.



Somalia
Mr. President;
We are encouraged by recent developments with regard to internal political dialogue in Somalia. We are equally happy with the attention given to Somalia by the Security Council and the United Nations Secretary General. We welcome the recent Security Council resolution 1772 (2007) which supports the political process in Somalia and the role of AMISON. As member of the Somali Contact Group, Tanzania promises to continue to be pro-active and offers to contribute in the training of the Somali military.



Western Sahara
Mr. President;
The United Nations should remain seized with the issue of Western Sahara. Tanzania reaffirms its support for the inalienable right of the people of Saharawi to decide and choose the way forward. We urge the United Nations to intensify its efforts to find an honourable and just solution to this longstanding decolonization issue.




The crisis inside the Palestinian territories is a matter of great concern to us. Tanzania remains supportive of efforts aimed at creating two states, Israel and Palestine, living side by side, at peace with each other. This presents, in our view, the best hope for sustainable peace in the region. We applaud and welcome the renewed international interest and effort in line with the relevant UN resolutions.




The Lebanese government and peoples need and deserve the continued support of the UN and all of us in the international community as they reconstruct and stabilize their country. In this regard, Tanzania is glad to be a party to the efforts being expended by the United Nations, through our modest contribution to the Interim Force in Lebanon (UNIFIL). We are ready to increase our contribution whenever required to do so.




Conclusion

Mr. President;
In conclusion, Mr. President, Tanzania reaffirms its belief in and commitment to multilateralism and the United Nations. You can count on Tanzania's continued support to this organization and the ideals it stands for.
I thank you.
 
Back
Top Bottom