Tanzania yadhibiti mfumuko wa bei

Tanzania yadhibiti mfumuko wa bei

Kilio cha wengi hugeuka sherehe :


Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inayomiliki zaidi ya asilimia 20 ya Uchumi wote wa dunia hii nayo ni muhanga wa hili,
Jf mnafanya kazi nzuri sana,

Watanzania tunapata ufafanuzi wa mambo mbalimbali kirahisi sana,

Leo nimeelewa kumbe kupanda kwa bei ni dunia nzima,

Nafunga mdomo wangu,
 
Wewe mbwiga you are justifying mfumuko wa bei wa Tanzania kwa kusema kuwa hata huka Marekani na Ulaya pia upo hivyo tusilalamike? Per capital Income ya marekani ni shillings ngapi za Tanzania? Na Per Capital income ya mTanzania ni shilling ngapi? Kufuatana na tofauti hizo za wastani wa kipato huoni kuwa athari za mfumuko huo wa bei utakuwa tofauti kati ya mmarekani na mTanzania? Tanzania haina budi kuthibiti mfumuko wa bei nchini mwake kufuatana na hali halisi ya nchi na sio kutoa visingizio visivyokuwa na maana.
Sijasoma kabisa hii,

Tuache matusi na kejeli tubishane kwa hoja,

Tanzania ni yetu sote
 
Unalelewa na shemeji na hujui Bei ya vtu ndo maana tunakuchkia. Sana Bei ya vitu haishikiki kasba halafu unaleta ujinga wako hapa
Kwani kupanda kwa bei ya vitu ni Tanzania pekee?
 
Msiwe mnasifia kwenye vtu vua kipuuzi sana. Bati bando ilikua ni 350000 now no 430000 hiyo ni asilimia ngp. Huo ni mfano Moja tu.
 
Msiwe mnasifia kwenye vtu vua kipuuzi sana. Bati bando ilikua ni 350000 now no 430000 hiyo ni asilimia ngp. Huo ni mfano Moja tu.
Sasa ukitaka kupata inflation ratio lazima ujumlishe bei zo
 
Tatzo lenu mbulula wa Lumumba hamfikirii kwa kutumia akili zenu. Na mkisha para nafasi hanlmtumii akili zenu. Kila ktu ni kusifia
 
Tatzo lenu mbulula wa Lumumba hamfikirii kwa kutumia akili zenu. Na mkisha para nafasi hanlmtumii akili zenu. Kila ktu ni kusifia
Unataka tukae kimya kwa lipi wakati mambo yanaoneka kutendeka?
 
Yapi yanayoonekana. Huku Bei ya vtu Iko juu kwa asilimia Zaid ya 30 wewe unaleta story za Lumumba hapa
 
Back
Top Bottom